Waafrika twendeni tukazoe mafuta ya chee Urusi kama wanavyofanya China na India

Waafrika twendeni tukazoe mafuta ya chee Urusi kama wanavyofanya China na India

Acha kupotosha.

Hakuna vikwazo kwenye mafuta na gesi ya Urusi. Hata ulaya bado wananunua gesi ya Urusi.
Uchumi wa China na India inazidi kupaa wakati dunia ikiyasusia mafuta ya Urusi kibwege

Afrika tumerogwa kwelikweli, hatununui mafuta ya Urusi eti tunaunga mkono shida za watu wanaotudai madeni makubwa sana wakati China na India na wajanja wengine wanaitumia fursa ya vikwazo vya mafuta kupata mafuta ya bei nafuu kutoka Urusi na kutengeneza faida kubwa.

Pamoja na kuwasaidia kuweka vikwazo lakini fedha zao walizotukopesha wanazitaka vilevile.

Afrika tusiwe mazuzu twendeni tukachukue mafuta ya Chee kutoka Urusi.
 
Uchumi wa China na India inazidi kupaa wakati dunia ikiyasusia mafuta ya Urusi kibwege

Afrika tumerogwa kwelikweli, hatununui mafuta ya Urusi eti tunaunga mkono shida za watu wanaotudai madeni makubwa sana wakati China na India na wajanja wengine wanaitumia fursa ya vikwazo vya mafuta kupata mafuta ya bei nafuu kutoka Urusi na kutengeneza faida kubwa.

Pamoja na kuwasaidia kuweka vikwazo lakini fedha zao walizotukopesha wanazitaka vilevile.

Afrika tusiwe mazuzu twendeni tukachukue mafuta ya Chee kutoka Urusi.
Tanzania ina uwezo wa kuhimili mikiki ya US ?
 
Acha kupotosha.

Hakuna vikwazo kwenye mafuta na gesi ya Urusi. Hata ulaya bado wananunua gesi ya Urusi.
Ni kweli hakuna vikwazo kwenye mafuta ya Urusi?
 
Nchi inayotegemea mikopo na misaada kutoka kwa mabeberu haiwezi kamwe kujihusisha na siasa za duniani, kwa sababu tu ya kuogopa kuwekewa vikwazo.
 
Uchumi wa China na India inazidi kupaa wakati dunia ikiyasusia mafuta ya Urusi kibwege

Afrika tumerogwa kwelikweli, hatununui mafuta ya Urusi eti tunaunga mkono shida za watu wanaotudai madeni makubwa sana wakati China na India na wajanja wengine wanaitumia fursa ya vikwazo vya mafuta kupata mafuta ya bei nafuu kutoka Urusi na kutengeneza faida kubwa.

Pamoja na kuwasaidia kuweka vikwazo lakini fedha zao walizotukopesha wanazitaka vilevile.

Afrika tusiwe mazuzu twendeni tukachukue mafuta ya Chee kutoka Urusi.
Kupanga ni kuchagua..

Uende Russia kufuata mafuta ya bei Chee then ukumbane na Rungu la America na Wafuasi wao Ulaya ilhali wao ndio wanatusaidia kwa kila kitu kuanzia Uwekezaji hadi mikopo ya Kiuchumi..

Hiyo Russia hakuna anachoweza kufanya maana wakati Zimbabwe inaadhibiwa alikuwa anatumbua mimacho tuu..

So we can't sucrifice Welfare ya Nchi Kisa tuu tunataka mwananchi anunue mafuta Kwa bei ya juu..
Opportunity cost yake ni unbearable.
 
Back
Top Bottom