ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Chuma alikuwa haogopagi wazungu kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ngapi Africa wanafanya refinery? Hiyo technology ya kuchakata mafuta ghafi tumeanza lini? Sisi Afrika bado Sana kwenye ishu hizi za petroleum.
TPDC ni mchimbaji Kama wachimbaji wengine, na mtoa leseni za utafiti na uchimbaji wa gasDangote anaanzisha hivi karibuni. Hivi TPDC kazi yake ni nini? Nilifikiri ni kuchakata mafuta ghafi.
Usiku wa Leo ujenge tipper, kesho ukazoe mafuta,? meli ya kuyaleta utaitoa kwa nani?Tunakwenda kununua ready made kaka. Ni heri hata tukaifufua tipper yetu
Uchumi wa China na India inazidi kupaa wakati dunia ikiyasusia mafuta ya Urusi kibwege
Afrika tumerogwa kwelikweli, hatununui mafuta ya Urusi eti tunaunga mkono shida za watu wanaotudai madeni makubwa sana wakati China na India na wajanja wengine wanaitumia fursa ya vikwazo vya mafuta kupata mafuta ya bei nafuu kutoka Urusi na kutengeneza faida kubwa.
Pamoja na kuwasaidia kuweka vikwazo lakini fedha zao walizotukopesha wanazitaka vilevile.
Afrika tusiwe mazuzu twendeni tukachukue mafuta ya Chee kutoka Urusi.
Nchi ngapi Africa wanafanya refinery? Hiyo technology ya kuchakata mafuta ghafi tumeanza lini? Sisi Afrika bado Sana kwenye ishu hizi za petroleum.
Madeni ya China je?!Aaah twende Urusi tukazoe mafuta ya bei nafuu ili tupate nguvu ya kulipa madeni ya Magharibi.
Tanzania ina uwezo wa kuhimili mikiki ya US ?Uchumi wa China na India inazidi kupaa wakati dunia ikiyasusia mafuta ya Urusi kibwege
Afrika tumerogwa kwelikweli, hatununui mafuta ya Urusi eti tunaunga mkono shida za watu wanaotudai madeni makubwa sana wakati China na India na wajanja wengine wanaitumia fursa ya vikwazo vya mafuta kupata mafuta ya bei nafuu kutoka Urusi na kutengeneza faida kubwa.
Pamoja na kuwasaidia kuweka vikwazo lakini fedha zao walizotukopesha wanazitaka vilevile.
Afrika tusiwe mazuzu twendeni tukachukue mafuta ya Chee kutoka Urusi.
Tulikuwa na Tipper ilikuwa inafanya refine sema wajanja wakaiua lakini mitambo bado itakuwepoNchi ngapi Africa wanafanya refinery? Hiyo technology ya kuchakata mafuta ghafi tumeanza lini? Sisi Afrika bado Sana kwenye ishu hizi za petroleum.
Ni kweli hakuna vikwazo kwenye mafuta ya Urusi?
Kupanga ni kuchagua..Uchumi wa China na India inazidi kupaa wakati dunia ikiyasusia mafuta ya Urusi kibwege
Afrika tumerogwa kwelikweli, hatununui mafuta ya Urusi eti tunaunga mkono shida za watu wanaotudai madeni makubwa sana wakati China na India na wajanja wengine wanaitumia fursa ya vikwazo vya mafuta kupata mafuta ya bei nafuu kutoka Urusi na kutengeneza faida kubwa.
Pamoja na kuwasaidia kuweka vikwazo lakini fedha zao walizotukopesha wanazitaka vilevile.
Afrika tusiwe mazuzu twendeni tukachukue mafuta ya Chee kutoka Urusi.
Mbaya zaidi hata insurance zinanyimwa na makampuni yao.Mzigo hauna shipping permit, hauna document yoyote utapita tu? Halafu US akupe hela za msaada wewe ukanunue mafuta ya Urusi?
Hata ndoo za kubebea hatuna!Nchi ngapi Africa wanafanya refinery? Hiyo technology ya kuchakata mafuta ghafi tumeanza lini? Sisi Afrika bado Sana kwenye ishu hizi za petroleum.
Kwann uwaogope wazungu ni kuishi kwa akili tuChuma alikuwa haogopagi wazungu kabisa
Hivi unaijua jografia ya Dunia? Tanzania na suezi wapi na wapi?Chuma ndie engepitisha meli Suez canal?