Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Tofauti ya ‘Alien’ na ‘Jini’ ni ipi?
Swali hili ndio limebeba Mada yako mKuu.
Alien Ndio hayohayo majini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofauti ya ‘Alien’ na ‘Jini’ ni ipi?
Hamna kapicha ka huyo Alien ili tuone ???
Dokta naomba unibakizie mnofu wa kitimoto 😂Nyie endeleeni kuleta uzungu kwenye mambo ya kimiujiza , ila mimi siachi kutembea na mfupa wa mbuzi katoliki
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Mkuu UFO ni nini na alien nini?Ukienda pale Senegal, kuna UFO ipo pale, alien walikuja nayo na kuiacha, hawajulikani walikwenda wapi.
Alien hapa duniani wanatua popote pale si Marekani tu ila tatizo letu sisi, tukiwaona aliens tunasema ni majini, tunaanza kukemea na kusoma dua.
Tatizo lipo hapo tu. Leo ukikutana na alien usiku, kesho unaenda kanisani, unamwambia pasta uneona jini😂😂😂
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] naomba picha siku nikikutana nae nisiende kutoa ushuhuda kwa Mwamposa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nyie endeleeni kuleta uzungu kwenye mambo ya kimiujiza , ila mimi siachi kutembea na mfupa wa mbuzi katoliki
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Ukienda pale Senegal, kuna UFO ipo pale, alien walikuja nayo na kuiacha, hawajulikani walikwenda wapi.
Alien hapa duniani wanatua popote pale si Marekani tu ila tatizo letu sisi, tukiwaona aliens tunasema ni majini, tunaanza kukemea na kusoma dua.
Tatizo lipo hapo tu. Leo ukikutana na alien usiku, kesho unaenda kanisani, unamwambia pasta uneona jini😂😂😂
Hiyo apoHamna kapicha ka huyo Alien ili tuone ???
Hahahaaa! Naona kaeka pozi hanaa mudaaaa
Hahahaha hii ya kitambo sana, watoto wa sasa hawawezi kujua hii storiHivi ile story ya mtu wa mwezini kukamatwa marekani wakamfunga pingu iliishia wapi, na huyo mtu mweupe kama karatasi walimpeleka wapi?
Jini ni kiumbe wa kufikirika anayehusishwa na dini, alien wanadhaniwa kuwa ni viumbe kutoka sayari nyingine lakini bado ni mjadala kama wapo kweli na uwepo wao unaelezewa kisayansi zaidi.Tofauti ya ‘Alien’ na ‘Jini’ ni ipi?
hii story ni ya kitambo sana, enzi hizo niko shule ya msingi naisoma kwenye gazetiHahahaha hii ya kitambo sana, watoto wa sasa hawawezi kujua hii stori
😁Hahahaaa! Naona kaeka pozi hanaa mudaaaa
Unakusaidia nini huo mfupaNyie endeleeni kuleta uzungu kwenye mambo ya kimiujiza , ila mimi siachi kutembea na mfupa wa mbuzi katoliki
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app