Waafrika wakimuona Alien, wanajua ni jini au mauzauza, kesho unawakuta kanisani na msikitini wakikemea

Waafrika wakimuona Alien, wanajua ni jini au mauzauza, kesho unawakuta kanisani na msikitini wakikemea

Nitumie picha wakat wapo huko UFO Chap nataka niwaoneshe watu hapa wananibishia fanya chap please
 
Ukienda pale Senegal, kuna UFO ipo pale, alien walikuja nayo na kuiacha, hawajulikani walikwenda wapi.

Alien hapa duniani wanatua popote pale si Marekani tu ila tatizo letu sisi, tukiwaona aliens tunasema ni majini, tunaanza kukemea na kusoma dua.

Tatizo lipo hapo tu. Leo ukikutana na alien usiku, kesho unaenda kanisani, unamwambia pasta uneona jini😂😂😂
Mkuu UFO ni nini na alien nini?
Kwanini isiwe sawa kuwaita alien jini?
Historically ukifuatilia haya mambo Mayan civilization wanadai walikuwa wanaita hawa aliens Mungu...
Same kwa egyptians... So kwanini iwe nongwa waafrika kuwaita majini au mashetani?
By the way UFO ni kifupi cha unidentified flying object. Huenda hata hapa kwetu vimepita sana vyombo vya namna hiyo
 
Ukienda pale Senegal, kuna UFO ipo pale, alien walikuja nayo na kuiacha, hawajulikani walikwenda wapi.

Alien hapa duniani wanatua popote pale si Marekani tu ila tatizo letu sisi, tukiwaona aliens tunasema ni majini, tunaanza kukemea na kusoma dua.

Tatizo lipo hapo tu. Leo ukikutana na alien usiku, kesho unaenda kanisani, unamwambia pasta uneona jini😂😂😂

Senegal ipi hiyo yenye UFO?
 
Alien ndo nn tena jmn?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hamna kapicha ka huyo Alien ili tuone ???
Hiyo apo
1704463223090.jpg
 
Tofauti ya ‘Alien’ na ‘Jini’ ni ipi?
Jini ni kiumbe wa kufikirika anayehusishwa na dini, alien wanadhaniwa kuwa ni viumbe kutoka sayari nyingine lakini bado ni mjadala kama wapo kweli na uwepo wao unaelezewa kisayansi zaidi.
 
Back
Top Bottom