KING ASSENGA
JF-Expert Member
- Oct 8, 2016
- 928
- 1,478
DaaahNyie endeleeni kuleta uzungu kwenye mambo ya kimiujiza , ila mimi siachi kutembea na mfupa wa mbuzi katoliki
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DaaahNyie endeleeni kuleta uzungu kwenye mambo ya kimiujiza , ila mimi siachi kutembea na mfupa wa mbuzi katoliki
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Niliambiwa ukiwa nao mfukoni eti si jini wala shetani yeyote atakugusa .Mfupa wanguruwe mkuu ndio unao tebea nao mfukon??
Anhaaa njoo Mbeya utakula huyo kitifire mpaka upate kifafa maana kila sehemu akina Mwaisa wanafungua buchaDokta naomba unibakizie mnofu wa kitimoto [emoji23]
Anhaaa yaani sikuwahi kukutana na kibwengo wala jini mara sijui Aliens wote wanapita mbali na mimi .Unakusaidia nini huo mfupa
[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] naomba picha siku nikikutana nae nisiende kutoa ushuhuda kwa Mwamposa
[emoji23][emoji23]Nikutane allien ana kwato kama za ngombe macho kama goroli mara awe mfupi mara awe mrefu halafu ni usiku, napiga ukunga ni jini/kibwengo hicho kimenitokea
Siku ukikutana na yanayokula kitimoto ndo utaelwaAnhaaa yaani sikuwahi kukutana na kibwengo wala jini mara sijui Aliens wote wanapita mbali na mimi .
Walisema hata wachawi wataniogopa ndiyo maana nikiwa bar nalewa kwa raha zangu siwazi habari za kurudi nyumbani usiku wa manane eti sijui nitakutana na ujinga wwote[emoji3][emoji3]
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Unasaidia kwa kiasi gani mkuu?Nyie endeleeni kuleta uzungu kwenye mambo ya kimiujiza , ila mimi siachi kutembea na mfupa wa mbuzi katoliki
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
AiseeNiliambiwa ukiwa nao mfukoni eti si jini wala shetani yeyote atakugusa .
Basi mimi ni mwendo wa kubadilisha mifuko ya suruali [emoji3]
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Alien anakula hadi kitimoto na bia bloanguNyie endeleeni kuleta uzungu kwenye mambo ya kimiujiza , ila mimi siachi kutembea na mfupa wa mbuzi katoliki
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Wewe! Hacha kudanganya umma! Alien ni majini! Ni mashetani! Mungu aliumba mtu kwa sura na mfano wa Mungu! Sasa kutokana na kuongezeka kwa maovu na elimu ya mambo ya giza ya kishetani, shetani kwa kushirikiana na wachawi wanakuja na maumbo ya viumbe vinavyoitwa "allien" ili tufungamane navyo! Hayo ni mashetaniUkienda pale Senegal, kuna UFO ipo pale, alien walikuja nayo na kuiacha, hawajulikani walikwenda wapi.
Alien hapa duniani wanatua popote pale si Marekani tu ila tatizo letu sisi, tukiwaona aliens tunasema ni majini, tunaanza kukemea na kusoma dua.
Tatizo lipo hapo tu. Leo ukikutana na alien usiku, kesho unaenda kanisani, unamwambia pasta uneona jini😂😂😂
Wewe unaonaje mkuu??Swali hili ndio limebeba Mada yako mKuu.
Alien Ndio hayohayo majini.
Weee,kakudanganya nani,kuna majini wanakula kitimoto kama kawa na bia piaNiliambiwa ukiwa nao mfukoni eti si jini wala shetani yeyote atakugusa .
Basi mimi ni mwendo wa kubadilisha mifuko ya suruali [emoji3]
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Itakuwa mizimu sio majini haya haya ya bongo movie yanayovuka barabarani kwa tahadhaliWeee,kakudanganya nani,kuna majini wanakula kitimoto kama kawa na bia pia