Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie pia naikumbuka sana ,mtu toka mwezini Hahahaha dah , sasa sijui ilikua kweli au kamba tuhii story ni ya kitambo sana, enzi hizo niko shule ya msingi naisoma kwenye gazeti
Waislamu hatukemei majini. Hayo ni mambo yenu huko.Ukienda pale Senegal, kuna UFO ipo pale, alien walikuja nayo na kuiacha, hawajulikani walikwenda wapi.
Alien hapa duniani wanatua popote pale si Marekani tu ila tatizo letu sisi, tukiwaona aliens tunasema ni majini, tunaanza kukemea na kusoma dua.
Tatizo lipo hapo tu. Leo ukikutana na alien usiku, kesho unaenda kanisani, unamwambia pasta uneona jini😂😂😂
Alien sio wa kufikirika, hawahusishwi na dini?Jini ni kiumbe wa kufikirika anayehusishwa na dini, alien wanadhaniwa kuwa ni viumbe kutoka sayari nyingine lakini bado ni mjadala kama wapo kweli na uwepo wao unaelezewa kisayansi zaidi.
Kwahiyo mnayapenda na kuyaheshimu?Waislamu hatukemei majini. Hayo ni mambo yenu huko.
Ni ndugu zetu hawa ni viumbe wa Allah. Angalau wao hata walikubali kuwa waislamu siyo kama wewe mbishi kafir.Kwahiyo mnayapenda na kuyaheshimu?
Wewe ni nyemo chilongani? Maana ndo amekuja na hadithi hizi kule InstagramUkienda pale Senegal, kuna UFO ipo pale, alien walikuja nayo na kuiacha, hawajulikani walikwenda wapi.
Alien hapa duniani wanatua popote pale si Marekani tu ila tatizo letu sisi, tukiwaona aliens tunasema ni majini, tunaanza kukemea na kusoma dua.
Tatizo lipo hapo tu. Leo ukikutana na alien usiku, kesho unaenda kanisani, unamwambia pasta uneona jini[emoji23][emoji23][emoji23]
alien wanatembea namafuta nyuma yamasikio...😂Vipi ukikutana na alien ukaamua kumshushia kipigo atakufanya nini?
dah!Alien ndio nini wakuu wa kazi?
alien wanatembea namafuta nyuma yamasikio...
😃😃sasa mbona hawafanyi hivyoEti kuna story za kutishana allien wanaweza kutua ikulu yoyote duniani na wakafanya yao watakavyo na wanaweza kutua kwenye vinu vya nyuklia wakafanya uharibifu!
ahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,,,,,,jini MAKATA na MAIMUNA!!! lakini sasa mbona yanaingia kichwani?Ukienda pale Senegal, kuna UFO ipo pale, alien walikuja nayo na kuiacha, hawajulikani walikwenda wapi.
Alien hapa duniani wanatua popote pale si Marekani tu ila tatizo letu sisi, tukiwaona aliens tunasema ni majini, tunaanza kukemea na kusoma dua.
Tatizo lipo hapo tu. Leo ukikutana na alien usiku, kesho unaenda kanisani, unamwambia pasta uneona jini😂😂😂