Acehood
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,653
- 2,792
Toka juzi nafuatilia matukio yanayotokea huko Ukraine kupitia Twitter, ila kuba hili suala la waafrika kujiona kama wanaonewa hasa kupewa hifadhi na access kwenye safe zones inasikitisha sana.
Kuna clips zinasambaa mojawapo ni waafrika hasa wanaijeria wanalalamika hawaruhusiwi kuingia Poland wakitishiwa kupigwa risasi na wanajeshi wa Poland Lakini ukiangalia ile video clip inaonyesha ni mchanganyiko wa races mbalimbali. Lakini sababu kubwa ambayo ina mashiko ni kwamba kuna foleni kubwa ila waafrika wengi wanapiga kelele kulalamika wakiamini hawatoruhusiwa kabla hata ya zamu zao kufika.
Nyingine nimeona kuna video clip ya mama na mtoto wake mdogo wa miezi kadhaa (African) naye analalamika kwamba amekwama sehemu na hasaidiwi kupelekwa sehemu nzuri kisa tu yeye ni african na wakati huohuo kuna races zingine wako na watoto wadogo sana eneo hilo.
Waafrika tuache kujiweka kwenye kundi moja na wenye uhitaji wa huduma maalumu kama walemavu n.k. Black race isiwe sababu ya kumwagiwa maji bahati mbaya na white race ukaona ni racial discrimination.
"I tried so hard and got so far, but in the end it doesn't even matter".
Kuna clips zinasambaa mojawapo ni waafrika hasa wanaijeria wanalalamika hawaruhusiwi kuingia Poland wakitishiwa kupigwa risasi na wanajeshi wa Poland Lakini ukiangalia ile video clip inaonyesha ni mchanganyiko wa races mbalimbali. Lakini sababu kubwa ambayo ina mashiko ni kwamba kuna foleni kubwa ila waafrika wengi wanapiga kelele kulalamika wakiamini hawatoruhusiwa kabla hata ya zamu zao kufika.
Nyingine nimeona kuna video clip ya mama na mtoto wake mdogo wa miezi kadhaa (African) naye analalamika kwamba amekwama sehemu na hasaidiwi kupelekwa sehemu nzuri kisa tu yeye ni african na wakati huohuo kuna races zingine wako na watoto wadogo sana eneo hilo.
Waafrika tuache kujiweka kwenye kundi moja na wenye uhitaji wa huduma maalumu kama walemavu n.k. Black race isiwe sababu ya kumwagiwa maji bahati mbaya na white race ukaona ni racial discrimination.
"I tried so hard and got so far, but in the end it doesn't even matter".