Waafrika wanajiona kama wanaonewa muda wote. (Inferiority)

Waafrika wanajiona kama wanaonewa muda wote. (Inferiority)

Alisikika mshamba mmoja wa Kisiju ambaye hajawahi hata kufika Misri,

Ungejua Ubaguzi kwa Waafrica usingeandika hayo.
Mi naomba tu wauendeleze ,maana sisi wenyewe niwabaguzi namba moja,ila tumekazana kuwasingizia wazungu tu, hivi kuna watu wenye roho za kibaguzi na kikatili kama waafrica?
 
Hayo yote yalisababishwa na mababu zetu wa zamani walipokubali kua wanyonge dhidi ya race zingine.Na bado kwasababu yasisi kuendelea kua tegemezi hiyo hali inazidi kuwepo.hadi tutakapoamua kubadilika ndipo unyonge utakapoisha na tutathaminisha rangi ya ngozi yetu dhidi ya ngozi zingine.ila kwasasa tutabaguliwa sana na sisi kwasababu ya ujinga bado tunajiona ni wanyonge ndo maana tunaishiaga kulalamika badala ya kuchukua hatua.Hatua ya kwanza ni kujiamini na kujiamini kutakuja baada ya binadamu mweusi kua timamu wa akili,mwili na uchumi imara.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Ubaguzi upo Tena mkubwa...kwa Hali ya ulaya mashariki nilitaka kushangaa nisisikie visa vya ubaguzi kwenye hii Vita huko Ukraine...na sisi tujirekebishe tumezidi ujinga vichwani mwetu,Mara nyingi hata sisi wenyewe tu tunajibagua na kubaguana kwenye Mambo mengi ya msingi...kwa waliowah kubaguliwa wanafahamu,athari zake ni mbaya sitaki hata kukumbuka...
 
Hayo yote yalisababishwa na mababu zetu wa zamani walipokubali kua wanyonge dhidi ya race zingine.Na bado kwasababu yasisi kuendelea kua tegemezi hiyo hali inazidi kuwepo.hadi tutakapoamua kubadilika ndipo unyonge utakapoisha na tutathaminisha rangi ya ngozi yetu dhidi ya ngozi zingine.ila kwasasa tutabaguliwa sana na sisi kwasababu ya ujinga bado tunajiona ni wanyonge ndo maana tunaishiaga kulalamika badala ya kuchukua hatua.Hatua ya kwanza ni kujiamini na kujiamini kutakuja baada ya binadamu mweusi kua timamu wa akili,mwili na uchumi imara.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa mkuu
 
Ubaguzi upo Tena mkubwa...kwa Hali ya ulaya mashariki nilitaka kushangaa nisisikie visa vya ubaguzi kwenye hii Vita huko Ukraine...na sisi tujirekebishe tumezidi ujinga vichwani mwetu,Mara nyingi hata sisi wenyewe tu tunajibagua na kubaguana kwenye Mambo mengi ya msingi...kwa waliowah kubaguliwa wanafahamu,athari zake ni mbaya sitaki hata kukumbuka...
Kweli kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom