Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Na hiki kitu ndicho wanachokipenda ... Yani mjidharau na Mushi walivyowaaminisha wao kuwa Nyie ni wajinga na sifa zote za hovyo Ni zenu.
Cha Ajabu wao wanafanya upuuzi mbele ya macho na Bado mtaubless wengine watauita ujinga Sayansi wengine akili kubwa.... Pandikizi walizozileta zinafanya kazi.
#Vita ya Ufahamu Hi65
Cha Ajabu wao wanafanya upuuzi mbele ya macho na Bado mtaubless wengine watauita ujinga Sayansi wengine akili kubwa.... Pandikizi walizozileta zinafanya kazi.
#Vita ya Ufahamu Hi65