Na siyo kosa kwa kuwa tumeumbwa hivyo kiasili1. Hatupendani
2. Umimi.
3. Uzalendo haupo
4. Undugu nization umetamalaki.
Hiyo ni asili yetu
Nikisema asili namaanisha
huwezi kushindana na ukweli
Umezaliwa mweusi huwezi kulazimisha kuwa mweupe (mzungu)
Wewe ni mfupi huwezi kulazimisha kuwa mrefu
Paka ni jamii ya chui
Vipi punda na farasi
Jamii za binadamu ndiyo hizo unazozijua
Kila mtu ashinde mechi zake
Akuna cha laana wala nini