Waafrika/watu weusi tuna matatizo gani?

Waafrika/watu weusi tuna matatizo gani?

Civilization ilianzia Africa, wathungu wanatuambia ni Misri lakini siwaamini hawa wadhungu, kuna Mansa Musa ambaye ni wakwanza kuanzisha University wa Mali emperor!
Lakini sasa tuna jikuta sisi ndio hatujui na hawa wanaojiita Dunia ya kwanza wadhungu Ndio wanatuendesha kama gari bovu!
Shida kubwa tunaiona vividly jinsi tunavyo jichukia wenyewe kwa wenyewe na kuwainua watu weupe, tuna chukia nchi zetu!
Mfano mkubwa pia walibya walivyo muua Ghadafi, kiini kikubwa kabisa alikuwa anataka kuiondoa American Dollar na kuweka Gold!
Badala yake akauwawa na sasa wana nchi wake wamekuwa mamalaya wa Dunia!
Kitu kikubwa ni Upendo kwa mwafrika mwenzako na nchi zetu za Africa!
Kuombea kwa juhudi nchi yetu kama vile tunavyo ombea nyumba zetu!
Mwenye Enzi Mungu ibariki Tanzania [emoji1241] na watu wake na Africa yote kwa ujumla!
Maombi yata tusaidia vipi kuwa fikia wazungu na waasia katika mambo mbalimbali ?
 
Mtazamo wa haraka ni kwamba, sio kwamba wenzetu hawa wana IQ kubwa kutushinda, la hasha. Isipokuwa, wenzetu hawa wanapangilia mambo yao tofauti na sisi. Kwa mfano: mtu (mzungu) anagundua anajua sana kitu fulani (mathalani ufundi cherehani), atajibidisha huko na kuwa expert kwenye eneo hilo. Tofauti na sisi, mtu anataka ajuwe vitu vingi kwa wakati mmoja; hii itamfanya asijuwe kwa undani jambo lolote, kwani kuyashika yote ni vigumu, hata uwe na IQ kubwa kiasi gani. Hapo ndio wanapotupiga bao wenzetu!
Anhaa sawa.
 
Mtazamo wa haraka ni kwamba, sio kwamba wenzetu hawa wana IQ kubwa kutushinda, la hasha. Isipokuwa, wenzetu hawa wanapangilia mambo yao tofauti na sisi. Kwa mfano: mtu (mzungu) anagundua anajua sana kitu fulani (mathalani ufundi cherehani), atajibidisha huko na kuwa expert kwenye eneo hilo. Tofauti na sisi, mtu anataka ajuwe vitu vingi kwa wakati mmoja; hii itamfanya asijuwe kwa undani jambo lolote, kwani kuyashika yote ni vigumu, hata uwe na IQ kubwa kiasi gani. Hapo ndio wanapotupiga bao wenzetu!
aya kwa huku fanya umejikita kwenye hiyo cherehani mwisho wa mwisho....,
Ni kwamba tulichezewa mchezo ktk akili na fikra zetu hivyo tunataka kuwaza na kuishi kama wao ilihali hatupo kama wao na mazingira siyo kama yao!
 
Sababu kubwa ni kuwa Sisi ni kenge kwenye msafara wa Mamba(wazungu).
Mungu katuumba na low IQ sana hata kama humu tunajiita ma GREAT THINKER.
Kuna uwezekano mkubwa Plan ya Mungu amuumbe binadamu Mzungu sisi tumetokeza tu.
Sio kweli
 
Ningependa kuwakaribisha wadau wote kwa majibu yenu juu ya swali hili hapa chini.

SWALI
Ningependa kufahamu kutoka kwenu. Je ni lipi hasa tatizo letu sisi Waafrika/watu weusi hapa duniani, kwa nini tupo nyuma katika mambo mengi tofauti na Wazungu na Waasia?

Karibuni kwa maelezo na majibu yenu wadau wote.
Naona tulichokosea ni tumeridhi/kubali mfumo ambao hautaki sisi tuendelee, mfano kwenye DINI kila Jumapili Wakatoliki wanaoenda kanisani ni Mil 1 kwa DSM, wakitoka sadaka kila Mmoja Tsh 1,000/= ina maana kanisa linakusanya Bilioni moja na kuzipeleka wanapojua. Je, tungekuwa tunachanga hizo hela kila Jpili kujenga shule, hospital, kuboresha sayansi, Kilimo tungekuwa hivi?
Mfumo wa kielimu-ni mzuri lakini hauna manufaa kwa mazingira yetu. Mfano, leo hii Wanafunzi wanaomaliza vyuo wanakimbilia kuuza nguo (outfit) , simu, earphone, perfumes, je walitumia rasilimali nyingi na muda mwingi kuja kuuza nguo? Au matatizo ya WaTZ aliyoyaoainisha Mwl Nyerere wanayafanyia kazi?watakujibu hakuna ajira lakini hawajatafuta ajira zinazoendana na taaluma zao.
Ulafi(Umimi) wa viongozi wanaopewa fursa kuongoza baadhi ya Idara.
Kubeza ulichonacho na kuamini cha mwingine (mfano Mzungu) ni kizuri kuliko chako, sio kweli.
 
Naona tulichokosea ni tumeridhi/kubali mfumo ambao hautaki sisi tuendelee, mfano kwenye DINI kila Jumapili Wakatoliki wanaoenda kanisani ni Mil 1 kwa DSM, wakitoka sadaka kila Mmoja Tsh 1,000/= ina maana kanisa linakusanya Bilioni moja na kuzipeleka wanapojua. Je, tungekuwa tunachanga hizo hela kila Jpili kujenga shule, hospital, kuboresha sayansi, Kilimo tungekuwa hivi?
Mfumo wa kielimu-ni mzuri lakini hauna manufaa kwa mazingira yetu. Mfano, leo hii Wanafunzi wanaomaliza vyuo wanakimbilia kuuza nguo (outfit) , simu, earphone, perfumes, je walitumia rasilimali nyingi na muda mwingi kuja kuuza nguo? Au matatizo ya WaTZ aliyoyaoainisha Mwl Nyerere wanayafanyia kazi?watakujibu hakuna ajira lakini hawajatafuta ajira zinazoendana na taaluma zao.
Ulafi(Umimi) wa viongozi wanaopewa fursa kuongoza baadhi ya Idara.
Kubeza ulichonacho na kuamini cha mwingine (mfano Mzungu) ni kizuri kuliko chako, sio kweli.
Asante kwa mchango wako mzuri ndugu.
 
Bob Marley alijibu hili swali kwenye ule wimbo wake wenye maneno aliyokuwa anatuambia sisi weusi. Baadhi ya hayo maneno ni:-

"EMANCIPATE YOURSELVES FROM MENTAL SLAVERY..."

Sisi kweli ni WATUMWA kwenye namna yetu ya kufikiri.

1. Africa (na weusi kwa ujumla), tuna watu wenye IQ kubwa sana, na wana uwezo mkubwa pia katika fani mbalimbali ikiwepo mpira, muziki, n.k.

2. MATATIZO MAKUU ya Waafrika ni MATATU

a) KUFURAHIA KUTAWALIWA

b) UBINAFSI WA KUTISHA

C) KUAMINI UCHAWI KWENYE KILA JAMBO

Tunafurahia
kutawaliwa kisiasa, na kiuchumi. Akija mzungu au mhindi au mwarabu akisema anataka kuwekeza, anatetemekewa na wahusika wote, japo amekuja na pesa kidogo tu. Anaenda ardhi, anapewa eneo la kuwekeza. Anaenda benki, anakopa, kwa kuweka dhamana ardhi yetu tuliyompa.

Anatoa rushwa kidogo anapewa vibali vyote. Anakopa mpaka mashine za kuchimbia madini.

Wewe mwananchi KAMWE HUTAPEWA FURSA KAMA HIZO. Upewe halafu "kesho utajirike"? Hakuna !! Utumwa wa akili (mental slaver) aliouimba Bob Marley.

Baya zaidi, mchimba madini anadaiwa ASILIA NNE TU (just 4%) ya thamani ya madini YETU !!

Kama sio UTUMWA WA AKILI kukubali kupokea 4% ya madini yaliyochimbwa (badala basi hata kugawana nusu) ni nini? Mbona Botwsana wanapata nusu ya kile kilichovunwa ?

Yaani KIUKWELI tunafurahia wageni WATUTAWALE (hata kama sio kisiasa) KIMAPATO.

Hilo la UCHAWI nadhani linaeleweka. Miaka kadhaa iliyopita, mbunge Msukuma Kasheku ALISEMA BUNGENI (na kwenye hansard rekodi ipo) kwamba anaamini HAKUNA MBUNGE ambae hajaenda kwa mganga wakati wa kusaka ubunge. (Kumbuka mawaziri wanatokana na wabunge). HAKUNA MBUNGE YEYOTE ALIYETOA TAARIFA YA KUPINGA MANENO HAYO.

Kwa misimamo kama hiyo, unadhani tutakaa tuendelee?
 
Kama kuna huyo Mungu katuumba sisi na Low IQ ili tuwe kenge katika msafara wa mamba[ wazungu ] kama ulivyo sema, yeye sasa anapata faida gani sisi kuwa hivi ?
Na je anapata faida gani kuumba moto ili atuchome sisi watoto wake. Kama aliweza kuumba moto ajili ya binadamu ni rahisi kuumba mweusi awe kijakazi wa fikra wa Mzungu
 
Sababu kubwa ni kuwa Sisi ni kenge kwenye msafara wa Mamba(wazungu).
Mungu katuumba na low IQ sana hata kama humu tunajiita ma GREAT THINKER.
Kuna uwezekano mkubwa Plan ya Mungu amuumbe binadamu Mzungu sisi tumetokeza tu.
Kipindi wazungu wapo kwenye mapango wanajipaka matope kulikuwa na mataifa kibao ya Ki Africa yapo vizuri.

Maendeleo ya wazungu yamekuja hivi karibuni na muda si mrefu Asia ita take over, kutesa kwa zamu hakuna Race ama rangi fulani ambayo ni superior kushinda nyengine.
 
Sababu kubwa ni kuwa Sisi ni kenge kwenye msafara wa Mamba(wazungu).
Mungu katuumba na low IQ sana hata kama humu tunajiita ma GREAT THINKER.
Kuna uwezekano mkubwa Plan ya Mungu amuumbe binadamu Mzungu sisi tumetokeza tu.
Kwaiyo mkuu unataka kuniambia hasili yako wewe kumbe ni nyani?
 
Back
Top Bottom