Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tulitokea tu kama ajali mkuu kibahati mbaya ndiyo ikawa basi tenaKama kuna huyo Mungu katuumba sisi na Low IQ ili tuwe kenge katika msafara wa mamba[ wazungu ] kama ulivyo sema, yeye sasa anapata faida gani sisi kuwa hivi ?
Hatari sana mkuu.Utambuzi wa kuelewa ulizaliwa uje ufanye nini duniani ndo sababu kubwa inayopelekea ngozi nyeusi aonekane kama ni kilaza manake amekuwa ni mtu wa kufuata tu kama mkia na si mtu wa kuongoza.
Jiulize kwanini mtu mwenye nyumba na gari Africa anasomeka kama ni mtu aliefanikiwa. Ni vichekesho kwa kweli.
Mwanangu mimi na wewe tumezaliwa kwenye kundi la Low IQ na tunajitambua so tuhakikishe sisi tuwe angalau wenye nafuu maana kujitambua tatizo lako ni hatua ya kwanza kuelekea kujitibu.Sisi tulitokea tu kama ajali mkuu kibahati mbaya ndiyo ikawa basi tena
Tunayo ila kwa mbaaaaaaaaaaaaaaliiiiiiiKwa hiyo hatuna maana wala faida yoyote hapa duniani ?
Anashindwaje kuumba hivyo kama kwa sasa yupo bize kutuandalia Moto ili atuchome kwa sababu ya dhambi zetu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama huyo mungu aliumba hivi basi naye ni msenge tu. Maana mungu halisi aliumba mwanadamu kwa mfano wake hawa miungu wengine tunaoletewa sjui mungu wa msalabani au mungu asiesikia lugha zingine hapa ndipo tatizo lilipoanzia
Kutoka homo habilis kwenda homo sapiens tukaishia hapo ila wazungu wameenda mbali zaidiKi vipi mkuu umeni changanya hapo ?
1.Wameumbwa na akili kubwa Kila siku wanagundua ma vitu kibao sisi bado tunaamini nyota zetu za mafanikio zimechuliwa na jirani mbio kwa Mwamposa wengine kwa wagangaUmemaliza kila kitu mkuu mungu akutuumba sawa na rangi nyeupe ile kawapendelea kila kitu
UmemalizaKutoka homo habilis kwenda homo sapiens tukaishia hapo ila wazungu wameenda mbali zaidi
Kabisa mzee Billie. Naunga mkono hoja mzimamzima.Mwanangu mimi na wewe tumezaliwa kwenye kundi la Low IQ na tunajitambua so tuhakikishe sisi tuwe angalau wenye nafuu maana kujitambua tatizo lako ni hatua ya kwanza kuelekea kujitibu.
Nashauri tuwe chongo kwenye nchi ya vipofu.
Hawa watu Wana akili sana, sijui ni akili zao wenyewe ama laahHao jamaa usijilinganishe nao, they are not humans hao ni majusi. Umeshawahi kusikia uwezo wa aliens, majini au malaika kupitia vitabu mbali basi usidhani hao ni viumbe wa ajabu bali ndio hao hao wazungu.
Dunia hii ni ya mtu mweusi hawa jamaa walivamia kutoka sayari za mbali wakajipenyeza na kuanzisha vizazi na makazi na ndiomaana hapo kale walikuwa ni watu wa kuhangaika kuizuru dunia kuona uzuri wake na kutambua maeneo sahihi ya wao kuweza kuishi. Hata leo usishangae NASA bado wanahangaika na elimu ya anga sio kwamba wanapenda kuujua ulimwengu tu bali bado wanauhitaji wa vizazi vyao kuishi salama kwa miaka mamilioni ijayo baada ya dunia hii kuharibika.
Hawa jamaa ni ma genius we can't fight them in any way, historia wametuandikia tunasoma na kujifunza walichoandaa wao. Hatuwawezi sababu wanasiri kubwa kati ya muumbaji na uumbaji.
Kwaakili ya kawaida sio rahisi kugundua ndege kusafiri anga za mbali, kujua mzunguko na umbo la dunia na mengine mengi. Sio kwamba hakuna watu weusi wenye uvumbuzi lakini ni wangapi na wamegundua kupitia nini au baada ya kusoma nini kilichoandaliwa na nani? Think!
Usipanik haya ni mawazo ya kufikirika lakini yenye maana halisi ya kufikiri 🤣
Kuna siri kubwa katika ulimwengu huu, wacha tuishi maisha yetu ya kawaida lakini elewa KUNA MENGI HATUYAJUIHawa watu Wana akili sana, sijui ni akili zao wenyewe ama laah
Ebu fikiria hata wazo la kuunda engine kwa akili ya kawaida kama hizi za kiafrika ni ngumu sana, walahi kuna sehemu hawa watu wanapatia elimu za siriKuna siri kubwa katika ulimwengu huu, wacha tuishi maisha yetu ya kawaida lakini elewa KUNA MENGI HATUYAJUI
Kuna mengi ya kujiuliza mkuuEbu fikiria hata wazo la kuunda engine kwa akili ya kawaida kama hizi za kiafrika ni ngumu sana, walahi kuna sehemu hawa watu wanapatia elimu za siri