Waafrika/watu weusi tuna matatizo gani?

Waafrika/watu weusi tuna matatizo gani?

Utambuzi wa kuelewa ulizaliwa uje ufanye nini duniani ndo sababu kubwa inayopelekea ngozi nyeusi aonekane kama ni kilaza manake amekuwa ni mtu wa kufuata tu kama mkia na si mtu wa kuongoza.

Jiulize kwanini mtu mwenye nyumba na gari Africa anasomeka kama ni mtu aliefanikiwa. Ni vichekesho kwa kweli.
 
Kama kuna huyo Mungu katuumba sisi na Low IQ ili tuwe kenge katika msafara wa mamba[ wazungu ] kama ulivyo sema, yeye sasa anapata faida gani sisi kuwa hivi ?
Sisi tulitokea tu kama ajali mkuu kibahati mbaya ndiyo ikawa basi tena
 
Utambuzi wa kuelewa ulizaliwa uje ufanye nini duniani ndo sababu kubwa inayopelekea ngozi nyeusi aonekane kama ni kilaza manake amekuwa ni mtu wa kufuata tu kama mkia na si mtu wa kuongoza.

Jiulize kwanini mtu mwenye nyumba na gari Africa anasomeka kama ni mtu aliefanikiwa. Ni vichekesho kwa kweli.
Hatari sana mkuu.
 
Sisi tulitokea tu kama ajali mkuu kibahati mbaya ndiyo ikawa basi tena
Mwanangu mimi na wewe tumezaliwa kwenye kundi la Low IQ na tunajitambua so tuhakikishe sisi tuwe angalau wenye nafuu maana kujitambua tatizo lako ni hatua ya kwanza kuelekea kujitibu.
Nashauri tuwe chongo kwenye nchi ya vipofu.
 
Kama huyo mungu aliumba hivi basi naye ni msenge tu. Maana mungu halisi aliumba mwanadamu kwa mfano wake hawa miungu wengine tunaoletewa sjui mungu wa msalabani au mungu asiesikia lugha zingine hapa ndipo tatizo lilipoanzia
Anashindwaje kuumba hivyo kama kwa sasa yupo bize kutuandalia Moto ili atuchome kwa sababu ya dhambi zetu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umemaliza kila kitu mkuu mungu akutuumba sawa na rangi nyeupe ile kawapendelea kila kitu
1.Wameumbwa na akili kubwa Kila siku wanagundua ma vitu kibao sisi bado tunaamini nyota zetu za mafanikio zimechuliwa na jirani mbio kwa Mwamposa wengine kwa waganga
2.Mungu kawapa nywele nzuri zetu kipilipili wadada zetu wapo bize kutupiga vizinga wakazinunue
3.Mungu kawapa weupe sisi tunautafuta kwa kujichubua na kujikoboa kama kenge
 
Mwanangu mimi na wewe tumezaliwa kwenye kundi la Low IQ na tunajitambua so tuhakikishe sisi tuwe angalau wenye nafuu maana kujitambua tatizo lako ni hatua ya kwanza kuelekea kujitibu.
Nashauri tuwe chongo kwenye nchi ya vipofu.
Kabisa mzee Billie. Naunga mkono hoja mzimamzima.
 
Kusema ukwel wazungu wana akili nyingi ebu fikiria mtu kuunda ndege ipae, simu je? Kugundua umeme na Mambo mengine makubwa yameanzia huko, Tukubali tu kuwa tuliumbwa au kuzaliwa na akili ndogo,.Mwenye akili acha aabudiwe
 
Hao jamaa usijilinganishe nao, they are not humans hao ni majusi. Umeshawahi kusikia uwezo wa aliens, majini au malaika kupitia vitabu mbali basi usidhani hao ni viumbe wa ajabu bali ndio hao hao wazungu.

Dunia hii ni ya mtu mweusi hawa jamaa walivamia kutoka sayari za mbali wakajipenyeza na kuanzisha vizazi na makazi na ndiomaana hapo kale walikuwa ni watu wa kuhangaika kuizuru dunia kuona uzuri wake na kutambua maeneo sahihi ya wao kuweza kuishi. Hata leo usishangae NASA bado wanahangaika na elimu ya anga sio kwamba wanapenda kuujua ulimwengu tu bali bado wanauhitaji wa vizazi vyao kuishi salama kwa miaka mamilioni ijayo baada ya dunia hii kuharibika.

Hawa jamaa ni ma genius we can't fight them in any way, historia wametuandikia tunasoma na kujifunza walichoandaa wao. Hatuwawezi sababu wanasiri kubwa kati ya muumbaji na uumbaji.

Kwaakili ya kawaida sio rahisi kugundua ndege kusafiri anga za mbali, kujua mzunguko na umbo la dunia na mengine mengi. Sio kwamba hakuna watu weusi wenye uvumbuzi lakini ni wangapi na wamegundua kupitia nini au baada ya kusoma nini kilichoandaliwa na nani? Think!

Usipanik haya ni mawazo ya kufikirika lakini yenye maana halisi ya kufikiri 🤣
Hawa watu Wana akili sana, sijui ni akili zao wenyewe ama laah
 
Kuna siri kubwa katika ulimwengu huu, wacha tuishi maisha yetu ya kawaida lakini elewa KUNA MENGI HATUYAJUI
Ebu fikiria hata wazo la kuunda engine kwa akili ya kawaida kama hizi za kiafrika ni ngumu sana, walahi kuna sehemu hawa watu wanapatia elimu za siri
 
Waafrika hatujawahi kukubali kuwa hatuna akili, lakini huo ndo ukwel
 
Ebu fikiria hata wazo la kuunda engine kwa akili ya kawaida kama hizi za kiafrika ni ngumu sana, walahi kuna sehemu hawa watu wanapatia elimu za siri
Kuna mengi ya kujiuliza mkuu
 
Back
Top Bottom