Ndo Maana Nimekwambia kutesa kwa Zamu,Sasa nini kimebaki hapo Mali ? Na kwa sasa Italy na China zipo wapi ?
Kwanza kabiza ni unafiki., pii tunapemda uongo , ukishakuwa na combibation ya vitu hivi viwili huwezi kuishi kwa uhalisia na mara nyingi ndo huleta umasikini.Ningependa kuwakaribisha wadau wote kwa majibu yenu juu ya swali hili hapa chini.
SWALI
Ningependa kufahamu kutoka kwenu. Je ni lipi hasa tatizo letu sisi Waafrika/watu weusi hapa duniani, kwa nini tupo nyuma katika mambo mengi tofauti na Wazungu na Waasia?
Karibuni kwa maelezo na majibu yenu wadau wote.
Watu wote, wanyama wowote wana uwezo wa kujenga vyote hatimaye hivyo ikiwa wana lugha moja.Kusema ukwel wazungu wana akili nyingi ebu fikiria mtu kuunda ndege ipae, simu je? Kugundua umeme na Mambo mengine makubwa yameanzia huko, Tukubali tu kuwa tuliumbwa au kuzaliwa na akili ndogo,.Mwenye akili acha aabudiwe
Duuuh! Hatari1.Wameumbwa na akili kubwa Kila siku wanagundua ma vitu kibao sisi bado tunaamini nyota zetu za mafanikio zimechuliwa na jirani mbio kwa Mwamposa wengine kwa waganga
2.Mungu kawapa nywele nzuri zetu kipilipili wadada zetu wapo bize kutupiga vizinga wakazinunue
3.Mungu kawapa weupe sisi tunautafuta kwa kujichubua na kujikoboa kama kenge
Mkuu una ona kuna siku sisi tuta piga hatua ? Chukulia mfano tu nchi yako Tanzania kwa haya yanayo endelea hapa nchini.Na hiki kitu ndicho wanachokipenda ... Yani mjidharau na Mushi walivyowaaminisha wao kuwa Nyie ni wajinga na sifa zote za hovyo Ni zenu.
Cha Ajabu wao wanafanya upuuzi mbele ya macho na Bado mtaubless wengine watauita ujinga Sayansi wengine akili kubwa.... Pandikizi walizozileta zinafanya kazi.
#Vita ya Ufahamu Hi65
Kama unakubali wao walituletea pandikizi na zinafanya kazi , kwa nini sisi blacks hatukuwawahi na kupandikiza mindsets zetu kwao ili na wao wajidharau?,Na hiki kitu ndicho wanachokipenda ... Yani mjidharau na Mushi walivyowaaminisha wao kuwa Nyie ni wajinga na sifa zote za hovyo Ni zenu.
Cha Ajabu wao wanafanya upuuzi mbele ya macho na Bado mtaubless wengine watauita ujinga Sayansi wengine akili kubwa.... Pandikizi walizozileta zinafanya kazi.
#Vita ya Ufahamu Hi65
Actually Mungu anapata hasara kubwa mnooo kwa matendo yetu, sema hana la kufanya kwa sababu siku ya malipo aliyoiweka kwa wote haijafika. Ni sawa na mwalimu baada ya kufundisha wanafunzi wake kwa term nzima ile siku ya mtihani anapopita kuona majibu ya vijana wake kwenye paper anaishia kusikitika tuu..Kama kuna huyo Mungu katuumba sisi na Low IQ ili tuwe kenge katika msafara wa mamba[ wazungu ] kama ulivyo sema, yeye sasa anapata faida gani sisi kuwa hivi ?
Ungeyataja hayo mambo unayoyaona tupo nyuma nayo ili tuchangie vizuri.Ningependa kuwakaribisha wadau wote kwa majibu yenu juu ya swali hili hapa chini.
SWALI
Ningependa kufahamu kutoka kwenu. Je ni lipi hasa tatizo letu sisi Waafrika/watu weusi hapa duniani, kwa nini tupo nyuma katika mambo mengi tofauti na Wazungu na Waasia?
Karibuni kwa maelezo na majibu yenu wadau wote.
1. UchumiUngeyataja hayo mambo unayoyaona tupo nyuma nayo ili tuchangie vizuri.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Siku ya malipo ya nini ?Actually Mungu anapata hasara kubwa mnooo kwa matendo yetu, sema hana la kufanya kwa sababu siku ya malipo aliyoiweka kwa wote haijafika. Ni sawa na mwalimu baada ya kufundisha wanafunzi wake kwa term nzima ile siku ya mtihani anapopita kuona majibu ya vijana wake kwenye paper anaishia kusikitika tuu..
Yes kwani unafikiri hizi dini ndiyo zimetuletea maendeleo?Kwa hiyo tuki achana na dini za ng'ambo na kurejea za mababu tutakuwa tuna kimbizana na wazungu na waasia katika mambo mbalimbali.