Waafrika/watu weusi tuna matatizo gani?

Waafrika/watu weusi tuna matatizo gani?

Mtazamo wa haraka ni kwamba, sio kwamba wenzetu hawa wana IQ kubwa kutushinda, la hasha. Isipokuwa, wenzetu hawa wanapangilia mambo yao tofauti na sisi. Kwa mfano: mtu (mzungu) anagundua anajua sana kitu fulani (mathalani ufundi cherehani), atajibidisha huko na kuwa expert kwenye eneo hilo. Tofauti na sisi, mtu anataka ajuwe vitu vingi kwa wakati mmoja; hii itamfanya asijuwe kwa undani jambo lolote, kwani kuyashika yote ni vigumu, hata uwe na IQ kubwa kiasi gani. Hapo ndio wanapotupiga bao wenzetu!
Hii ni kweli...wanaspecialize....

Lakin wanaweza kufaya hivyo kwa sababu wana basic needs tayari...sisi hela ya kula huna utaspecialize vip na kitu kimoja
 
Ningependa kuwakaribisha wadau wote kwa majibu yenu juu ya swali hili hapa chini.

SWALI
Ningependa kufahamu kutoka kwenu. Je ni lipi hasa tatizo letu sisi Waafrika/watu weusi hapa duniani, kwa nini tupo nyuma katika mambo mengi tofauti na Wazungu na Waasia?

Karibuni kwa maelezo na majibu yenu wadau wote.
Narudia, chanzo ni dini. Hizi dini za kuletewa ndizo zinatufanya sie kuwa wajinga, tunawaona wazungu na waarab ndiyo Mungu wetu...ujinga wote wanaotuambia tunaona ndiyo ukweli
 
Narudia, chanzo ni dini. Hizi dini za kuletewa ndizo zinatufanya sie kuwa wajinga, tunawaona wazungu na waarab ndiyo Mungu wetu...ujinga wote wanaotuambia tunaona ndiyo ukweli
Sawa
 
Ningependa kuwakaribisha wadau wote kwa majibu yenu juu ya swali hili hapa chini.

SWALI
Ningependa kufahamu kutoka kwenu. Je ni lipi hasa tatizo letu sisi Waafrika/watu weusi hapa duniani, kwa nini tupo nyuma katika mambo mengi tofauti na Wazungu na Waasia?

Karibuni kwa maelezo na majibu yenu wadau wote.
Sio tuko nyuma kwenye mambo bali mambo yoote isipokuwa dini na uchawi tu.
 
Ningependa kuwakaribisha wadau wote kwa majibu yenu juu ya swali hili hapa chini.

SWALI
Ningependa kufahamu kutoka kwenu. Je ni lipi hasa tatizo letu sisi Waafrika/watu weusi hapa duniani, kwa nini tupo nyuma katika mambo mengi tofauti na Wazungu na Waasia?

Karibuni kwa maelezo na majibu yenu wadau wote.

Kaa kimya mkuu hata ujitambui, niambie nchi ulioishi na wazungu ukaona wana akili nyingi kulki wa africa.

Ndo tuanzie hapo
 
Kaa kimya mkuu hata ujitambui, niambie nchi ulioishi na wazungu ukaona wana akili nyingi kulki wa africa.

Ndo tuanzie hapo
Umesoma ukaelewa ndio ukaandika hiki au umesoma bila kuelewa ndio ukaandika hiki ?
 
Nimeishi Hungary na Austria (ulaya) pia nimepitapita India ,china na Bangladesh...ni nchi za kawaida sana..wengine wanatuona sisi waafrica tupo gifted sana. ... Na hii Mimi nimeithibitisha Kwa:-
1: wachezaji football Europe na Asia wengi ni ngozi nyeusi..
2: wasanii wakubwa wa mziki na filamu asilimia nyingi ni blacks..
3: Wanariadha wengi ni blacks
4: maprofessor katika vyuo vikuu vya ulaya na marekani wamejaa blacks...hakuna chuo hata kimoja ulaya kisichokuwa na black lecturer..
5: hata hao wachina mnaowapa tenda za barabara tz mara nyingi blacks ndio wapo site..wachina wanashinda wanavuta sigara tu...
CHA MSINGI WAAFRICA WAJIKUBALI
Acha kutusifia ujinga
 
Back
Top Bottom