Waafrika wawajia juu wanaopendekeza chanjo ya COVID-19 kufanyiwa majaribio Afrika

Waafrika wawajia juu wanaopendekeza chanjo ya COVID-19 kufanyiwa majaribio Afrika

eto.Vaccin.jpeg
 
MUNGU amewaonyesha uwezo yake,waliamini MUNGU hayupo lkn kwa hili janga watamuamini,katuona hatuna ujanja Kama wazungu akatuepusha makusudi,Sasa ni mda wao wapambane na hali zao,sisi huku tunakula bata kwa raha zetu,wao wanapukuchika,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bado umefungwa kifikra..
mzungu katu HAWEZI KULETA KITU KIZURI AFRICA..
Ukiona anaanzia Africa kuna walakini.
Hivi Hawa Etoo na huyu mwenziwe wao ndio wamekua wasemaji wa waafrica?

Waafrica ni watu wa ajabu sana, Hatuna mchango wowote kwenye maendeleo ya ulimwengu halafa tunang'ang'ania lazima tupewe heshima sawa. Nikama vile wanawake wanaodai usawa wakati ni tegemezi tu.

Tuache kulalamika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eto'o tangu astaafu mpira kazi yake kubwa ni kulitetea DIKTETA Paul Biya.

Tangu Cameroon ipate Uhuru lipo mpaka leo na uzeee wote hata kutembea hawezi lakini kang'ang'ania tu.

So Eto'o ni mmoja wa watu wanaoturudisha nyuma sana.

Anakomalia jambo alilo na maslahi nalo tu na anapiga kelele.
 
Miafrika full pumbavu tu, hao maprofesa wamesema ukweli usiopingika, huku Afrika hatuna uwezo wa kuzuia kirusi, tupo tupo tu, ile tu kimetukosa kosa tusibweteke, Ulaya na teknolojia zao ambazo zipo na uwezo zaidi ya mara elfu wanaelekea kushindwa, lazima inatia hofu hicho kirusi kikitua vizuri Afrika tutafutwa kwenye ramani ya dunia.
Hivyo wazungu wako sahihi kuja kutukingia kifua maana wanasayansi wa Kiafrika muda kama huu wamejifungia ndani na wake zao, kazi kutazama TV siku inaisha.
 
Ni bora majaribio ya chanjo yaanzie huko huko kwenye chanzo Cha huo ugonjwa,sidhani kama sisi Afrika tatizo la corona ni kubwa mpaka ifikie hatua kwamba chanjo ifanyiwe majaribu huku.wao wapambane tu na hali zao

Haipaswi kuangalia ukubwa wa madhara, ila unakagua tumjiandaa kivipi, kwa hakika jinsi kirusi kinawatesa watu wenye uwezo mara elfu yetu, ni wazi kikitua Afrika lazifa tufutwe kwenye ramani ya dunia, kwa sasa kimetubip tu, hivyo cheni makelele wazungu wakiwaza jinsi ya kutusaidia kabla hatujapokea muziki.
 
Wanatuchukulia poa sana...

Ndiyo maan wanakufa kama kuku kwa magonjwa mbali mbali... Kwa nini wasijijaribie wenyewe...

Kwanza wao ndiyo wana case nyingi sana za Covid19....



Cc: mahondaw
 
Share please!!
ITALY ---14681 Deaths
China ---3326 Deaths
Spain ---11198 Deaths
USA --- 7403 Deaths
AFRICA(Whole continent) -- 164
and the world wants to Start vaccination in Africa....
WHY ?[emoji848]

SAY NO TO THIS THING
who @WHOAFRO
Screenshot_20200404-121826.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Share please!!
ITALY ---14681 Deaths
China ---3326 Deaths
Spain ---11198 Deaths
USA --- 7403 Deaths
AFRICA(Whole continent) -- 164
and the world wants to Start vaccination in Africa....
WHY ?[emoji848]

SAY NO TO THIS THING
who @WHOAFRO View attachment 1408529

Sent using Jamii Forums mobile app
Pia yatubidi tukatae hela zao za misaada na vifaa vyao wanavyotupatia kupambana na hili gonjwa.
Pia na
 
Mpumbavu katika ubora wake ,hata iweje waafrika haiwezekan kufutwa Kwenye uso wa dunia kwa korona unataka kunambia mzungu ndio anasababisha waafrika mpaka leo hii wapo na sio kwaajili ya mwenyezimungu!!
Miafrika full pumbavu tu, hao maprofesa wamesema ukweli usiopingika, huku Afrika hatuna uwezo wa kuzuia kirusi, tupo tupo tu, ile tu kimetukosa kosa tusibweteke, Ulaya na teknolojia zao ambazo zipo na uwezo zaidi ya mara elfu wanaelekea kushindwa, lazima inatia hofu hicho kirusi kikitua vizuri Afrika tutafutwa kwenye ramani ya dunia.
Hivyo wazungu wako sahihi kuja kutukingia kifua maana wanasayansi wa Kiafrika muda kama huu wamejifungia ndani na wake zao, kazi kutazama TV siku inaisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tena moto utawawakia kama wanataka kutuua Mungu yupo upande wetu hawezi tuacha yaaani hivo vifo wanavyoviona vitakua x2
 
Mpumbavu katika ubora wake ,hata iweje waafrika haiwezekan kufutwa Kwenye uso wa dunia kwa korona unataka kunambia mzungu ndio anasababisha waafrika mpaka leo hii wapo na sio kwaajili ya mwenyezimungu!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Ona hii picha nani mpumbavu sasa, upo unaomba msaada kutoka kwa wale wale mabeberu ambao wameathirika zaidi yako. Ni kama uende sehemu kwa msiba halafu uombe msaada kwa waliofiwa badala ya wewe kuwapa misaada, hapo ina maana aidha utakua maskini wa kutupwa au mkichwani huna lolote.

2356624_FB_IMG_1585883783081.jpg
 
Hivi Hawa Etoo na huyu mwenziwe wao ndio wamekua wasemaji wa waafrica?

Waafrica ni watu wa ajabu sana, Hatuna mchango wowote kwenye maendeleo ya ulimwengu halafa tunang'ang'ania lazima tupewe heshima sawa. Nikama vile wanawake wanaodai usawa wakati ni tegemezi tu.

Tuache kulalamika.
Wametoa maoni yao kama ww unavyofanya hapa
 
Supastaa wa zamani wa Inter Milan na Chelsea, Samuel Eto'o amewatolea uvivu maprofesa nchini Ufaransa kufuatia matamshi yao yasiyofaa juu ya Afrika kipindi hiki ambacho ulimwengu unatafuta ufumbuzi dhidi ya kupambana na ugonjwa wa Virusi vya Corona.

Hakuna dawa ambazo zinaweza kuzuia ugonjwa huu, lakini wanasayansi wamegundua chanjo ya BCG, inayotumika kupunguza makali ya ugonjwa huo.

Kupitia kituo cha televisheni cha Ufaransa LCI, Profesa Jean-Paul Mira, mkuu wa kitengo cha huduma ya wagonjwa katika hospitali ya Cochin (Paris) na Profesa Camille Locht, mkurugenzi wa utafiti huko Inserm alipendekeza ufanisi wa chanjo hiyo inapaswa kufanyiwa majaribio Afrika.

Kauli hiyo, ilimchukiza Eto'o na kutumia mtandao wake wa kijamii kwa kuandika. "Afrika sio uwanja wako wa kucheza."

Nyota wa kimataifa wa Senagel, Demba Ba, alionekana kukerwa na msomi huyo kwa kuandika, "Karibu Magharibi, ambapo watu weupe wanajiamini kuwa bora zaidi kwamba ubaguzi wa rangi na ujasusi huwa kawaida. Wakati wa kuinuka."

Kiungo wa zamani wa Ufaransa na kiungo wa Inter Milan, Olivier Dacourt alionyesha msimamo wake katika Twitter.

"Je! Ni kweli wapo siriazi?" aliuliza.

Kuna watu wamekuwa wakikimbilia Ulaya ili wasaidiwe kisiasa lakini hivi ndivyo wazungu wanavyotuchukulia

Chanzo cha habari ni gazeti la Mwanaspoti
Sawa, waje wajaribu kisha hatimiliki watupe sisi, wao ndio waje kununua kwetu, waambie nimewatukana matusi ya nguoni
 
Mbona hela zao mnafurahi kuzipangia matumizi?Jana tu mbunge wa chama chakavu ,msukuma amefurahi sana ujio wa fedha za wazungu kwa hilo waacheni waje kujaribia hiyo mitambo

Sent from my itel S32 using Tapatalk

Huo si mkopo na tutalipa au!
 
Wana JF,

Baada ya kusoma makala fulani nimeona wazungu wanavyotuandama kwa ubaguzi, na hawako na nia njema wanataka tufe tuishe waje wajichukulia mali kama ilivyo kawaida yao. mada za kibaguzi hawazifichi wanazisema laive bila kupepesa macho.

Tangu kuingia kwa Covid 19 kumekuwepo tetesi za kufanyiwa majaribia kwa waafrica dawa zao pia na hcanjo mbali mbali ambazo huwa wanatupa. Kuna siku tutakuta maafrica wengi tumezaa mazezeta maana mtoto yeoyote azaliwaye ni lazima apate chanjo tano.

Soma hii habari:

Two French doctors have been accused of racism after a TV debate in which one suggested trials in Africa to see if a tuberculosis vaccine would prove effective against coronavirus.

During the debate on TV channel LCI, Camille Locht, head of research at the Inserm health research group, was talking about a trial in Europe and Australia.

Jean-Paul Mira, head of intensive care at Cochin hospital in Paris, then says: “If I can be provocative, shouldn't we be doing this study in Africa, where there are no masks, no treatments, no resuscitation?”

“A bit like as it is done elsewhere for some studies on Aids. In prostitutes, we try things because we know that they are highly exposed and that they do not protect themselves.”

Dr Mira had earlier questioned whether the study would work as planned on healthcare workers in Europe and Australia because they had access to personal protective equipment to prevent them catching the virus.

Didier Drogba plays for Chelsea in 2014


“You are right,” Dr Locht responded.

"We are in the process of thinking about a study in parallel in Africa," he said, referencing the existing trials in countries in other continents.

What has the reaction been?
The comments received an angry response on social media, including from former footballers Didier Drogba and Samuel Eto’o.

“I would like to vividly denounce those demeaning, false and most of all deeply racist words,” Drogba tweeted.

“Do not take African people as human guinea pigs! It’s absolutely disgusting,” he added.

It is totally inconceivable we keep on cautioning this.

Africa isn’t a testing lab.

I would like to vividly denounce those demeaning, false and most of all deeply racists words.

Helps us save Africa with the current ongoing Covid 19 and flatten the curve.

View image on Twitter
Presentational white space
Eto'o called the doctors "murderers".

But Inserm said in a statement that the video was “the subject of erroneous interpretations”.

“Clinical trials to test the efficacy of the BCG vaccine against Covid-19 are... about to be launched in European countries and in Australia,” it said.

“If there is indeed a reflection around a deployment in Africa, it would be done in parallel with these. Africa must not be forgotten or excluded from research because the pandemic is global."

On Friday Dr Mira apologised for his comments, saying in a statement released by his employer: "I want to present all my apologies to those who were hurt, shocked and felt insulted by the remarks that I clumsily expressed on LCI this week."
 
Back
Top Bottom