Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo mapinduzi yenyewe mbona nayo ufisadi mtupu kina Babangida, Abacha mpaka Museveni.Waliofanya mapinduzi huko Afrika ya Magharibi kwa sasa wanaonekana ni mashujaa.
Kila kona kwenye mitandao ya kijamii wamapostiwa kuwa ni mashujaa
Ni dhahiri sasa waafrika wengi wamechoshwa na ufisadi na matumizi ya madaraka
View attachment 2709847
Unaliwa mavi
Sawa Mkuu, nakubali kabisa!Hilo neno wapiga kura liondoe,hamna kiongozi wa afrika anayeingia kwa kura halali madarakani ndio maana hawawajali raia wao
Nchi ya amani ya upuuzi wakati ufisadi umeshamiri,miradi haitekelezwi vizuri,wanaingia mikataba mibovu.soon or latter kama serikali ya CCM haitabadilika watapinduliwa.muda wa mabadiliko ukifika hakuna wa kuyazuia.Hii ni nchi ya aman mapinduzi yenu pelekeni burundi huko au nyuma ya kibodi mnakopigania deile hamna tofauti na mange yeye anawahamasisha akiwa instagram akiliwa uroda na wazungu ila uraiani hatokei.
Hauna ubabe!? Umeishawahi kuwekwa rumande?Subiri ukifika Muda wa utawala wa mabavu kwenye hizo tawala za kijeshi ndio uongee. Wewe unadhani ni Kwa Nini Raia wanavumilia utawala wa kiraia ? Kwa sababu utawala wa kiraia hauna ubabe na mambo mengine.
Utawala wa kiraia unaondoka Kwa kura ila utawala wa kijeshi unaondoka kama ulivyoingia, Kwa mapinduzi
Boko haram tu inawato nishai hao.Washenzi xnaa hao ecowas hapo ndio wameonyesha kua kwel Africa bdo inataka kuendelea kutawaliwa
Yaani watu wanapambania nchi yao kuwaondoa wanyonyaji wakizungu we unapambana waendelee kuwepo pumbav xnaa hasa hio nigeria
Ni Kweli ndugu,Endelea kuungwa mkono na wajinga wenzako wasiojua mambo. Huko Niger na Bukrina Faso hayo sio mapinduzi ya kwanza. Miaka nenda rudi hizo nchi zina mapinduzi ila ndo nchi masikini hadi zinatia kinyaa. Kama Mapinduzi yangekuwa ndo maendeleo basi hizo nchi zingeongoza kwa maendeleo Afrika
Elewa yafuatayo;Endelea kuungwa mkono na wajinga wenzako wasiojua mambo. Huko Niger na Bukrina Faso hayo sio mapinduzi ya kwanza. Miaka nenda rudi hizo nchi zina mapinduzi ila ndo nchi masikini hadi zinatia kinyaa. Kama Mapinduzi yangekuwa ndo maendeleo basi hizo nchi zingeongoza kwa maendeleo Afrika
Amani ndio kigezo cha kuibiwa?Hii ni nchi ya aman mapinduzi yenu pelekeni burundi huko au nyuma ya kibodi mnakopigania deile hamna tofauti na mange yeye anawahamasisha akiwa instagram akiliwa uroda na wazungu ila uraiani hatokei, mtoa mada bila shaka umefuata nyayo za muasisi wenu wa vita ya 3 ya dunia ya mtandaoni huku umeshikishwa ukuta.
Kwan ww Kamanda Asiyechoka umeibiwa niniAmani ndio kigezo cha kuibiwa?
Sawa keyboard warrior I salute you endelea na mapambano.Pumbafu! Wewe nani uzuie?
Unasifia wanaume wenzako? Kwanini na wewe usijaribu hapa ukione cha mtema kuni? Pumbavu!!!Waliofanya mapinduzi huko Afrika ya Magharibi kwa sasa wanaonekana ni mashujaa.
Kila kona kwenye mitandao ya kijamii wamapostiwa kuwa ni mashujaa
Ni dhahiri sasa waafrika wengi wamechoshwa na ufisadi na matumizi ya madaraka
View attachment 2709847
Tuko tayari kwa mapinduzi ya kijeshi, kuliko kuendelea kutawaliwa na CCM kwa shuruti. Kwa kuwa CCM inategemea mbeleko ya vyombo vya dola kukaa madarakani, ni vyema hivyo vyombo vya dola vichukue madaraka ili nchi yetu ianze upya kiutawala.Subiri ukifika Muda wa utawala wa mabavu kwenye hizo tawala za kijeshi ndio uongee. Wewe unadhani ni Kwa Nini Raia wanavumilia utawala wa kiraia ? Kwa sababu utawala wa kiraia hauna ubabe na mambo mengine.
Utawala wa kiraia unaondoka Kwa kura ila utawala wa kijeshi unaondoka kama ulivyoingia, Kwa mapinduzi
Kama CCM inaendelea kukaa madarakani kwa shuruti, ni bora mapinduzi ya kijeshi ili tuanze upya.Waliofanya mapinduzi Niger ni zaidi ya mafisadi. Serikali iliyopinduliwa Niger ni serikali iliyopo madarakani kwa kura za halali tena kwa asilimia zisizozidi 6.
Waliopinduwa hawatafanikiwa kwa kwa wao ndio mafisadi wa kwanza. Hayo yalikuwa ni mambo ya miaka ya mwanzo Afrika kuanza kujitawala. Sasa hapana, Waafrika tusikubali kabisa mambo hayo.
Tukikubali hayo, tutatumiwa milele.
We kahaba umeielewa mada husika?Unasifia wanaume wenzako? Kwanini na wewe usijaribu hapa ukione cha mtema kuni? Pumbavu!!!