Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
- Thread starter
- #41
Hata mapinduzi ya Tunisia yalianzia kwenue kiibodiSawa askari wa kiibodi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mapinduzi ya Tunisia yalianzia kwenue kiibodiSawa askari wa kiibodi
Ushasema tunisia ujueHata mapinduzi ya Tunisia yalianzia kwenue kiibodi
Hata Mimi nayaunga mkonoWaliofanya mapinduzi huko Afrika ya Magharibi kwa sasa wanaonekana ni mashujaa.
Kila kona kwenye mitandao ya kijamii wamapostiwa kuwa ni mashujaa
Ni dhahiri sasa waafrika wengi wamechoshwa na ufisadi na matumizi ya madaraka
View attachment 2709847
Mapinduzi ya kijeshi yana madhara makubwa kuliko faida, inachukuwa muda mpaka nchi kurudi kwenye hali yake ya kawaida baada ya mapinduzi kuna mifano mingi tu ya nchi hapa kwenye bara letu.Waliofanya mapinduzi huko Afrika ya Magharibi kwa sasa wanaonekana ni mashujaa.
Kila kona kwenye mitandao ya kijamii wamapostiwa kuwa ni mashujaa
Ni dhahiri sasa waafrika wengi wamechoshwa na ufisadi na matumizi ya madaraka
View attachment 2709847
Hapa kwetu sio rahisi kuondoa utawala kwa kuraSubiri ukifika Muda wa utawala wa mabavu kwenye hizo tawala za kijeshi ndio uongee. Wewe unadhani ni Kwa Nini Raia wanavumilia utawala wa kiraia ? Kwa sababu utawala wa kiraia hauna ubabe na mambo mengine.
Utawala wa kiraia unaondoka Kwa kura ila utawala wa kijeshi unaondoka kama ulivyoingia, Kwa mapinduzi
Utawala wa kisheria upi?Binafsi sioni tofauti ya tawala za kijeshi na kiraia kwa huku kwetu.Kwani wakiamua kukushughulikia,sheria huwa haiangaliwi.Kinachoangaliwa ni hisia za anayekushughulikia.Mapinduzi ya kijeshi yana madhara makubwa kuliko faida, inachukuwa muda mpaka nchi kurudi kwenye hali yake ya kawaida baada ya mapinduzi kuna mifano mingi tu ya nchi hapa kwenye bara letu.
Nadhani bado kuna namna nyingine ya kudili na viongozi walaghai wa afrika na sio Coup.
Acha utawala wa sheria uendelee.
Mungu ibariki afrika.
Mafisadi na vyama vyao ndivyo huhongwa na wazungu kwa kusaidiwa kudumu madarakaniWaliofanya mapinduzi huko Afrika ya Magharibi kwa sasa wanaonekana ni mashujaa.
Kila kona kwenye mitandao ya kijamii wamapostiwa kuwa ni mashujaa
Ni dhahiri sasa waafrika wengi wamechoshwa na ufisadi na matumizi ya madaraka
View attachment 2709847
😅😅😅Chama cha mapinduziKudai bandari zetu tuu, imekuwa kesi kubwa, hayo mapinduzi sijajua itakuwaje.
Hapa Banana Republic kwanini wanashindwa?Waliofanya mapinduzi huko Afrika ya Magharibi kwa sasa wanaonekana ni mashujaa.
Kila kona kwenye mitandao ya kijamii wamapostiwa kuwa ni mashujaa
Ni dhahiri sasa waafrika wengi wamechoshwa na ufisadi na matumizi ya madaraka
View attachment 2709847
Shida yetu tulipata uhuru bila kibaya kikubwa tunaona yanayoendelea ni kama haituhusu lakini wenzetu walimwaga damu mambo ya nchi yao wanafuatilia sanaHapa Banana Republic kwanini wanashindwa?
1. Ukosefu wa uelewa wa masuala ya nchi ?
2. Kutokumbuka watokako ?
Unfortunately haijawahi Wala hautawasaidia mwendo ni mmja tuu Weusi hawana akili na hawajui wafanyaje.Waliofanya mapinduzi huko Afrika ya Magharibi kwa sasa wanaonekana ni mashujaa.
Kila kona kwenye mitandao ya kijamii wamapostiwa kuwa ni mashujaa
Ni dhahiri sasa waafrika wengi wamechoshwa na ufisadi na matumizi ya madaraka
View attachment 2709847
Wakwetu makada wa ccm hawawezi,ndio maana wakistaafu tu wanaonyesha kadi, ila alichofanya kapteni Ibrahim traore, na ukimsikiliza anachokisema ni mwenye uchungu na hasira juu wala rushwaWaliofanya mapinduzi huko Afrika ya Magharibi kwa sasa wanaonekana ni mashujaa.
Kila kona kwenye mitandao ya kijamii wamapostiwa kuwa ni mashujaa
Ni dhahiri sasa waafrika wengi wamechoshwa na ufisadi na matumizi ya madaraka
View attachment 2709847
Hii ni nchi ya amani tuliyoipata kwa tabu kwa damu kumwagika mnatakaj kuturudisha tulikotoka.Kwa nini unasema hayo mbona umekerwa sana
Ilimwagika lini na wapiHii ni nchi ya amani tuliyoipata kwa tabu kwa damu kumwagika mnatakaj kuturudisha tulikotoka.
Unaliwa makalio. Lini ulimwaga damu wewe shoga?Hii ni nchi ya amani tuliyoipata kwa tabu kwa damu kumwagika mnatakaj kuturudisha tulikotoka.
Kwani hao wanajeshi walipindua ndio hii ufisadi hawafanyi? Tena hao si tu ufisadi unabakia bali pia huwa hawana elimu za kuongoza nchi wala uzoefu, akina Idi Amin, ndio mifano ya watu haoWaliofanya mapinduzi huko Afrika ya Magharibi kwa sasa wanaonekana ni mashujaa.
Kila kona kwenye mitandao ya kijamii wamapostiwa kuwa ni mashujaa
Ni dhahiri sasa waafrika wengi wamechoshwa na ufisadi na matumizi ya madaraka
View attachment 2709847