Waafrika weusi ni 15% tu ya idadi ya watu duniani, ni ushenzi kusema tuna overpopulation!

Waafrika weusi ni 15% tu ya idadi ya watu duniani, ni ushenzi kusema tuna overpopulation!

Afrika nimeishi nafahamu mengi kuhusu Afrika kiukweli bado ipo nyuma sana haihitaji watu kuendelea kuongezeka bila kudhibitika.

Ongezeko la watu lisipo zuiliwa umasikini utaendelea kuongezeka Afrika serikali za Afrika zibadilike

Mkuu hata 1% yako hufikirii
Je kinachosababisha umasikini ni population au Unequal distribution of resources??
Kama population ndo tatzo bas China ,India ndo zingekua masikini wakutupwa na nchi zenye watu wachache kama Tuvalu zingekua tajiri??

Lakin cha ajabu n opposite!! Mkuu kufiri huwezi hata picha kuona shida?
 
Afrika itajikomboa lakini si karne hii labda ijayo...wajinga bado wapo wengi...wanaofikiri kwa akili za kuazima...waafrika hatuitaji kuambiwa chochote na mtu yoyote hasa hao watu wa mabara mengine, hawana lolote la kutuambia zaidi ya kujali maslahi yao ndani ya bara hili. Sisi waafrika bado tupo wachache sana ukilinganisha na wao lakini bado wamefanya mengi kuangamiza kizazi chetu.
 
9k=.jpg

Pia watch the movie The Constant Gardener utaona experimentation of trial drugs kwenye kambi za wakimbizi...whether is true or not I don't know
 
Ni ushenzi na ushetani mkubwa sana. Kuna syndicate za kukimaliza kizazi cha black people kama kilivyomalizwa kizazi cha Red Indians huko Marekani. Kampeni kama zile zinazoendeshwa na kina Bill Gates, Makampuni ya mbegu kina Monsanto kwa kuratibiwa na Mashirika kama UNFPA , WHO na kadhalika zina lenga kuhakikisha kizazi cha watu weusi hakiongezeki na kinatoweka baada ya muda hata kama ni mrefu

Jambo la kushangaza ni kwamba watu weusi wa mwanzo kua brain washed na mabeberu hawa ni "wasomi' wetu. Ukieleza kuhusu mbinu chafu hizi zinazofanywa na wazungu basi ujue "wasomi" wetu watakwambia hizo ni Conspiracy Theories tu na hazina uhalisia ingawa ushahidi wa mambo hayo upo wazi kabisa

Ukweli ni kwamba walikua wanaua black race kwa silaha kupitia vita na hata kuchochea mapigano ya wenyewe kwa wenyewe. Sasa hivi wanatengeneza magonjwa kwenye maabara ili watu wafe na kupungua njia ambayo wanaona ni more ethical kuliko kuwauwa kwa vita!
Hao wachache ni hatari kuliko mabilioni weupe.
Huko Ulaya wao ndio magaidi.
Huko USA wao ndio wanaongoza kwa mauaji na kuuza madawa ya kulevya.
Huko Africa wao ndio wanaongoza kutoroka na kukimbilia Ulaya na America.
Huko Africa Kusini wao ndio wanaongoza kwa wizi migodini na kwenye majumba mbali na wizi wa Magari.
Wao ndio wanaongoza kwa serikali za kidikteta na kuficha mali kwa wazungu.
 
Jinga kweli wewe, hujiulizi kwanini miaka ya sitini tu hapo mwanamke alikuwa akizaa watoto wachache basi ni watoto 12, mimi mwenyewe baba yangu ni mtoto wa 11 kati ya watoto 12 tena bila operesheni na kajifungulia nyumbani, wote walizaliwa salama! sasa nionyeshe ni wamama wangapileo hii wanauwezo wa kuzaa kama hivyo, kushika hata mimba moja tu hadi mkatapeliwa kwa dokta mwaka na kwa Mwingira, na tena kuzaa ni kwa operesheni, we huoni kuna vitu ambavyo tayari tunalishwa kidogo kidogo?
Wewe una wangapi mkuu 14?. Kwanini kama hapana.

Kabla ya kutuambia haya ya wazungu na hila zao, tunaziona hila za viongozi wetu katika masuala ya maendeleo kama kikwazo namba moja.

Nadhani Sub Saharan tuna matatizo sana katika suala la uongozi, na mtu mmoja mmoja.

Maisha yakiwa mazuri watu wataongezeka tu. Hao wa zamani set up ya maisha yao japo ilikuwa ni ya kijijini haikuwa na mahitaji mengi.

Mfano mtu anaolewa na miaka 14 au 16, anaeoa ana miaka 20 lazima watazaa wengi, siku hizi huo ni umri wa shule na suluba za ajira.

SASA HIVI SI WANATUITA TUKAWE WATUMWA HUKO HUKO ULAYA NA WATU WANAKIMBILIA. KILA MTU UTASKIA NATAKA KWENDA CANADA🤣.

NI SUALA LA SERIKALI ZETU DHAIFU ZINAZOTUPA SHIDA NA MATESO ZAIDI KULIKO HILA ZA MZUNGU.
CCM Oyee
 
acha nikurudishe kwenye topic za form two/three kwenye somo la history.

anachotaka mzungu ni total control ya resources zote za africa.

africa ndio bara pekee lenye natural resources nyingi sana chini ya ardhi. lakini pia ndio bara ambalo chochote utakacho otesha juu ya ardhi yake lazime kichipue na kistawi,hapa namaisha mbegu za mazao yote ya chakula na mazao ya kibiashara.

na kukusaidia tu, hata hiyo hewa unayovuta bure, mzungu angekuwa na uwezo angeimiliki yeye halafu angekutengezea utaratibu wenye masharti mengi magumu ili uivute.

hii dunia acheni tu... ina wenyewe. soma article mbalimbali zinazozungumzia kikundi kidogo chenye nguvu cha familia 13 zenye udugu wa damu kinachoimiliki dunia( 13 illuminati bloodline families that control/own the world)
Achana na mawazo mgando adui wa mtu mweusi anafahamika ni mweusi mwenzake, mzungu anachagiza tu tuvaane.

Hao kina Rockefeller na kina Rothschild ni wafanyabiashara smart tu walijua jinsi ya kujitajirisha na kupanga mipango yao.

Kubali tu Sub Saharan hakuna good governance, na kuna upuuzi mwingi kuliko sehemu yoyote duniani. Tubadilike.

Sisi ndio watu tunaweza kupigana na kuzuiana ktk njia za mafanikio kwa sababu ya dini.
Dini zenyewe tumezipokea tu hatujui kama ni kweli au la(kipengele tu kama hiki hata watu smart humu JF wakijadili utagundua walivyo na vikamasi flani kichwani).

Kabla ya kulaumu wazungu, na ni wazungu tu hauoni expansionism of Asiatic people ni Africa katika major business, na possibly through corruption. Wafanyabiashara wakubwa zaidi Afrika Mashariki ni wahindi na waarabu.

Kabla ya kulaumu wazungu na wageni, tujiangalie wenyewe tunavyojitawala na mambo tunayofanyiana.
Mtu anaomba rushwa mpaka kwa masikini ambae mke wake mimba imekaa vibaya kashaishiwa nguvu na huyo ni muuguzi ana mshahara. TUJIANGALIE TUNALALAMA MNO NA KUTOA HOJA ZA VISINGIZIO
 
Haya ni mawazo ya kijiwe!!!Inferiority complex.Maviongoz ya africa mabinafs ambayo ni humanless ndio yanayoua kizazi kwa njaa,magonjwa na vita.Acha mawazo mgando kusingizia wazungu!!
Safi mkuu tatizo la Afrika tushajua ni serikali zetu, we cheki kila wakipinduliwa unakuta mtu ana mabegi makubwa ya dollars.

Rushwa kibao, ubinafsi na wizi...tungeanzia hapa yakikaa sawa basi, hata hiyo issue ya population itaji solve.

Tuambiwe vizuri tu mfano Tanzania kama case study, una political stability, population, natural resources kibao, mungu kakujalia haukumbwi na majanga makubwa ya asili kama kimbunga, mafuriko e.t.c

Kwanini zikitajwa nchi 20 hadi 30 masikini zaidi duniani unaingia katika list. Na hili ni wazungu kweli?😊😊😊
 
Na sasa mmeletewa na mmeukumbatia ushoga na usagaji ili msizaane.
 
Wewe una wangapi mkuu 14?. Kwanini kama hapana.

Kabla ya kutuambia haya ya wazungu na hila zao, tunaziona hila za viongozi wetu katika masuala ya maendeleo kama kikwazo namba moja.

Nadhani Sub Saharan tuna matatizo sana katika suala la uongozi, na mtu mmoja mmoja.

Maisha yakiwa mazuri watu wataongezeka tu. Hao wa zamani set up ya maisha yao japo ilikuwa ni ya kijijini haikuwa na mahitaji mengi.

Mfano mtu anaolewa na miaka 14 au 16, anaeoa ana miaka 20 lazima watazaa wengi, siku hizi huo ni umri wa shule na suluba za ajira.

SASA HIVI SI WANATUITA TUKAWE WATUMWA HUKO HUKO ULAYA NA WATU WANAKIMBILIA. KILA MTU UTASKIA NATAKA KWENDA CANADA🤣.

NI SUALA LA SERIKALI ZETU DHAIFU ZINAZOTUPA SHIDA NA MATESO ZAIDI KULIKO HILA ZA MZUNGU.
CCM Oyee
Hayo ni sawa, tunachoongelea hapa ni kusambaziana magonjwa, madawa ya uzazi wa mpango nk. Au kusambaziana magonjwa na kuua vizazi kwa wanaume na wanawake ni sawa? Acha watu wazae kwa kadri ya wanavyoweza, kama mtu anaweza kuzaa watoto 10 aachwe, si analima yeye kwa jasho lake kulea familia yake, wao wanaumia nini?
 
Tumia walau hata 1% ya uwezo wako kufikiri tu, wazungu wangetaka kuwamaliza ingekuwa simple sana na wasingetumia hizo njia ndeefu za kuwahimiza mtumie uzazi wa mpango

Mnaagiza, nguo, dawa, vinywaji kama cocacola, sijui maji, juice, kutoka kwa wazungu, mkikumbwa na janga wazungu ndio wanawapa dawa na vyakula, sasa wazungu wangeamua kuweka kemikali zinazoua taratibu na au kuondoa uwezo wa kuzaa wasingeweza?

Vifaa vya umeme, ujenzi, magari, mafuta, vifaa vya jikoni n.k wangeamua kuviwekea hata kemikali zinazoua taratibu au kuharibu vizazi wasingeweza?

Hitler aliua wayahudi milioni 6 miaka ya 1940s, kwa kutumia sumu, silaha na njaa hivi wazungu wangetaka kuuwa Waafrika kipindi kile wanawatawala wasingeweza?


Mpo overpopulated kwa sababu hamuwezi kujilisha, mnaharibu vyanzo vya maji ,misitu, masalia ya samaki, hamuwezi kulima kilimo chenye tija, kila mwaka ikitokea ukame kidogo tu mnakufa kama kumbikumbi sababu mnategemea mvua hadi karne hii..! Kenya hapo mvua imekata kunyesha kidogo tu watu wanakufa tayari, likitokea janga kidogo mpaka wazungu waje wawasaidie

mfano nisaada ambayo mnapewa na wazungu kwenye kila janga kimbunga hapo msumbiji, malawi na zimbabwe, janga la ebola hapo DRC, na Afrika magharibi, Malaria mnapewa misaada ya dawa, UKIMWI ndio nyie mnaongoza mnapewa misaada ya ARV na Condom, Miji yenu hamuwezi kuipangilia, Hamna mifumo mizuri ya maji taka na maji safi, mpaka mje muwekewe na wazungu au wachina, milipuko ya kipindupindu haiishi

Wazungu unawaita mashetani ila kama sio hao wazungu pengine Ukimwi, njaa, ebola, na malaria zingekwishawamaliza nyie WATU WEUSI


Vijana wenu wanajitoa mhanaga ili tu wafike Ulaya au Uarabuni kufanya kazi za ndani

Yaani Waafrika hamuwezi kujiendesha na kujisimamia wenyewe kwa mpangilio mzuri mkiwa wachache kiasi hiki, mkizaliana na kujilimbikiza si ndio itakuwa balaa kabisa?

Mnapikia mkaa manakata miti yenu kwa kasi ya ajabu kiasi kwamba ndani ya miaka 50 ijayo mnaweza mkawa mmeimaliza, na vyanzo vya maji kukauka, hamuwaonei huruma hao watoto mtakao wazaa watakavyoteseka? Au unafikiri watazamia Ulaya na watapokelewa?

hamuwezi kutengeneza bidhaa zozozte zile, viwanda vya maana kwenye nchi zenu vinaendeshwa na na wahindi au waarabu vingine vyote mnaotoa China ama Ulaya

Inafaa mzaliane kwa uangalifu mpaye watoto mtakaoweza kuwapa huduma bora za afya, chakula, malezi na elimu bora,
Pengine wakiwa na elimu bora wataweza kujimudu zaidi kuliko kizazi cha sasa

IMG_2847.jpg

IMG_2848.jpg

Population ya china Vs Africa

IMG_2850.jpg

IMG_2849.jpg

China land vs Africa Land

Bado unasema tuko over populated?? Unafikiria kwa matako au akili we jamaa!!

Kuna land Over 4,000,000 square miles haina watu ukilinganisha na china au india!!

Unaelewa maana ya overpopulation au unatetea mabwana zako hao!!
Anyway unaweza ukawa shoga huna haja na kizazi wala huoni umuhimu wa kuzaliana
 
 
Back
Top Bottom