Waafrika weusi wafurushwa Tunisia baada ya amri ya Rais

Utaona mdengereko kutoka rufiji ana sijida kubwaaaa anakwambia muislamu ndugu yake ni muislamu akijiganganya muafrica mweusi ndugu yake ni mwarabu[emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25]
No room for racism kwenye kandanda ni kampeni ya kupinga nini,na kwa nini!?...tatizo huwa mnawaona waarabu ndiyo waislam Sana,hao miongoni mwao wengi tu Wana ukafiri Kama mlio nao nyinyi na wengi tu watakua motoni,Qur'an inasema 'mbora miongoni ni mchamungu'
 
Wanayo taarifa wanaounga mkono udikteta bwashee

Ooh Putin ni mwanaume mara ooh Putin ni nomaaaaaaa ok sawa, wambie Putin wa Africa huyo hapo wamsapoti
 
Kwani waislam ni akina nani bwashee??
Uislam ni Arab culture ok, so nawe ni muarabu??
 
Huwa mumeaminishwa vitu vya aibu hadi kulipukia watu mabomu kisa mwarabu kasema, halafu mwarabu mwenyewe huwaona weusi kama mbwa...hebu ona huyu hapa

Siku akiphilwa huyo uliyemnukuu utadai uislam unaruhusu Hilo,huyo mwarabu ana ukafiri tu Kama ulio nao wewe,umeulizwa kule kwenu Kenya mbona m abaguana kikabila na hushangai unaenda kushangaa washenzi wenzio wa kiarabu kubagua weusi..jibu
Kwani waislam ni akina nani bwashee??
Uislam ni Arab culture ok, so nawe ni muarabu??
Kakwambia nani uislam ni Arab culture!?..mtume alipoanza kuhubiri uislam Makkah alifukuzwa akakimbilia Madina,Makkah walisema analeta mapya!?.. waarabu walikua na miungu 365,wakiua watoto wa kike,wakilewa,wakila riba, wanawake wakitembea bila hijab,uislam inakataza yote hayo...Sasa inakuaje uislam ni Arab culture!?
 
Uislam ni Arab culture, acha longolo bwashee kwani madina ni wapi na makkha ni wapi?

Africa tujikomboe na hizi ujinga wa dini, sasa hivi Africa viongozi hawajielewi wakoloni wako bize na ujinga unaoitwa ushoga kupumbaza watu wao
 
Uislam ni Arab culture, acha longolo bwashee kwani madina ni wapi na makkha ni wapi?

Africa tujikomboe na hizi ujinga wa dini, sasa hivi Africa viongozi hawajielewi wakoloni wako bize na ujinga unaoitwa ushoga kupumbaza watu wao
Inaelekea hukusoma kabisa nilichoandika,au una shida ya uelewa,shule walimu walihitaji msaada wa viboko kukuelewesha
 
Huwa mumeaminishwa vitu vya aibu hadi kulipukia watu mabomu kisa mwarabu kasema, halafu mwarabu mwenyewe huwaona weusi kama mbwa...hebu ona huyu hapa

Duuuuh,
 
Mtume alikuwa mwarabu au mmatumbi?
 
Aise hii ndo Africa bwashee, kwamba utaki ukweli kisa muarabu, unatetea ujinga, unatetea na kukuza culture ya wenzako ndani kwako!! Ukiambiwa tatizo bwashee basi nisamehe bure
culture yako wewe mwafrika,mtanzania ni ipi!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…