Waalimu tunadharauliwa sana hivi kwanini?

Waalimu tunadharauliwa sana hivi kwanini?

Maji makubwa🤣🤣 poleni Sana, walimu wengi hawana intrinsic
motivation wanafanya kazi ili mradi tu. Ndo maana kila mwalimu anaejiendeleza kielimu anataka aachane na ualimu. Maboss pia huwa grade walimu Kama wanafunzi 🤣🤣
 
Maji makubwa🤣🤣 poleni Sana, walimu wengi hawana intrinsic
motivation wanafanya kazi ili mradi tu. Ndo maana kila mwalimu anaejiendeleza kielimu anataka aachane na ualimu. Maboss pia huwa grade walimu Kama wanafunzi 🤣🤣
hilo ni kweli kaka wanatuona kama mbuzi
 
Tunaua Elimu yetu Kwa kutikuwajali walimu.

Uchaguzi u karibu, onyesheni hasira zenu huko, pia walimu mna HAKI kisheria kugoma kupitia chama chenu Cha wafanyakazi, tumieni njia huyo kukata minyororo iliyowafunga.
Huwa wanatishwa sana kama watoto.Maafisa Elimu na HROs wakiongoza kwa kuwasumbua,kuwanyanyasa,kuwadhulumu na kuwatisha.
 
Kwani serikali si imeweka viwango vya posho public. Mnalia nini?
Kama semina ni siku 5 jumlisha na siku 1 (1/2 +1/2) jumla siku SITA.
Hapo tena unalipwa kulingana na daraja lako .
Sasa munalia nini huku kila kitu kiko wazi?
Kama viwango vya posho viko wazi na anatokea Mtanzania mwenzako (sio mzungu, sio shetani, sio Mungu) anakudhulumu na wewe unakodoa macho maana yake huna akili.
Tahira
 
Kwani serikali si imeweka viwango vya posho public. Mnalia nini?
Kama semina ni siku 5 jumlisha na siku 1 (1/2 +1/2) jumla siku SITA.
Hapo tena unalipwa kulingana na daraja lako .
Sasa munalia nini huku kila kitu kiko wazi?
Kama viwango vya posho viko wazi na anatokea Mtanzania mwenzako (sio mzungu, sio shetani, sio Mungu) anakudhulumu na wewe unakodoa macho maana yake huna akili.
Tahira
sh ngapi mkuu tuanzie hapo?
 
sh ngapi mkuu tuanzie hapo?
Kwa junior 100k per day while 250k per day.
Taasisi zingine junior 150k , zingine junior 200k.
Sasa ukilipwa nusu kataa na andika barua kwa katibu mkuu Utumishi wa umma nakala kwa Mkurugenzi wako , nakala CWT, nakala Tamisemi. Halafu kabla hujapost kwa EMS na kwa mtandao mwambie mapema unayemshitaki.
Mavi yatamtoka atakupa pesa yako yote .
 
Tanzania Wilaya ya Uyui Waalimu tunanyasika sana sijui tatizo nini? Tulikuwa kwenye semina ya mtaala mpya daaa h full vitisho maneno ya kukatishana tammaaaa. Posho hazieleweki za semina yenyewe mnaishia kupewa maji makubwa.

Hii wilaya ina shida serikaki iangalie kwa jicho la pekeee ni wilaya ambayo mpaka sasa haijalipa nauli za likizo tangu mwezi wa 11.

Waziri itupie macho wilaya hii.
Tatizo ni walimu wenyewe, wengi wenu hamjitambui unakuta mwalimu ana maisha magumu madeni kibao ila akiskia Bashite yuko hapo wilayani mbio kwenda kujaza uwanja sasa namna hiyo mtaachaje kudharauliwa??
 
Tanzania Wilaya ya Uyui Waalimu tunanyasika sana sijui tatizo nini? Tulikuwa kwenye semina ya mtaala mpya daaa h full vitisho maneno ya kukatishana tammaaaa. Posho hazieleweki za semina yenyewe mnaishia kupewa maji makubwa.

Hii wilaya ina shida serikaki iangalie kwa jicho la pekeee ni wilaya ambayo mpaka sasa haijalipa nauli za likizo tangu mwezi wa 11.

Waziri itupie macho wilaya hii.
Mtalipwa uchaguzi mkuu ukikaribia ili msahau taabu zenu.

Ni vizuri wawabane zaidi ili akili zitoke tumboni na kurejea kichwani.
 
Tanzania Wilaya ya Uyui Waalimu tunanyasika sana sijui tatizo nini? Tulikuwa kwenye semina ya mtaala mpya daaa h full vitisho maneno ya kukatishana tammaaaa. Posho hazieleweki za semina yenyewe mnaishia kupewa maji makubwa.

Hii wilaya ina shida serikaki iangalie kwa jicho la pekeee ni wilaya ambayo mpaka sasa haijalipa nauli za likizo tangu mwezi wa 11.

Waziri itupie macho wilaya hii.
Mpo cheap mno
 
Nikiona mada kama hizi hua namtumia sister 100k ya kula kuku angalau kuniepusha na aibu na fedheha na dharau kama hizo wanazopitia walimu.

Miaka ile natakiwa kwenda chuo kikuu, nikakosa mkopo kwa fani niliyokua naitaka, wakaniambia nibadili nisome ualimu nitapata mkopo 100%. Sister akakataa, siwezi kusoma fani siipendi kisa mkopo, akaahidi atalipia.

Leo hii nakula kuku kwa mrija, naishi kwenye ndege kama Vasco da gama wa mchongo. Isingekua sister ningeishia kua mwalimu huko Singida porini vumbi kama lote, dharau hadi na bodaboda.
Hongera sana boss kiukweli walimu wengi wamekuwa walimu kwa sababu ya umaskini tu.

Bahati mbaya sana ukiingia huko kutoka nako ni kugumu sana ( comfort zone).

KAMWE UALIMU SIO KAZI YA KUFANYA. NI KAZI YA MASKINI NA WASIO JIWEZA KIUCHUMI. HAWA WATU HAWAWEZI KUIBADILISHA NCHI KAMA WAO WENYEWE WAMESHINDWA KUBADILI MAISHA YAO.
 
Maji makubwa[emoji1787][emoji1787] poleni Sana, walimu wengi hawana intrinsic
motivation wanafanya kazi ili mradi tu. Ndo maana kila mwalimu anaejiendeleza kielimu anataka aachane na ualimu. Maboss pia huwa grade walimu Kama wanafunzi [emoji1787][emoji1787]
Ndio maana mapinduzi ya Elimu kwa kutumia walimu hawa ni ndoto ya Alinacha.

Walimu hufanya kazi ilimradi wapate ugali wao tu intrinsic motivation itatokea wapi kwa mshahara wa 400K month to month.
 
Ndio maana mapinduzi ya Elimu kwa kutumia walimu hawa ni ndoto ya Alinacha.

Walimu hufanya kazi ilimradi wapate ugali wao tu intrinsic motivation itatokea wapi kwa mshahara wa 400K month to month.
Kuna watu na degree zao hawana huo mshahara nyie mnaudharau
 
Kuna watu na degree zao hawana huo mshahara nyie mnaudharau
Hata walimu wasio na ajira wanautamani huo mshahara ILA wakiingia huko ni majuto yasio na mwisho.

Sikiliza utautamani huo mshahara kwa sababu ya umaskini na njaa tu ila kiukweli ni pesa ndogo mno.
 
Mm ni mwalimu ila sifundishi namimi nitakuwa kwenye kundi la masikini?
 
Back
Top Bottom