hip hop uchwara
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,616
- 1,282
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ngapiKwani serikali si imeweka viwango vya posho public. Mnalia nini?
Kama semina ni siku 5 jumlisha na siku 1 (1/2 +1/2) jumla siku SITA.
Hapo tena unalipwa kulingana na daraja lako .
Sasa munalia nini huku kila kitu kiko wazi?
Kama viwango vya posho viko wazi na anatokea Mtanzania mwenzako (sio mzungu, sio shetani, sio Mungu) anakudhulumu na wewe unakodoa macho maana yake huna akili.
Tahira
daaaah jamaaa wanadharau sana hata nauli za likizo mpaka sasa hawajatoa malalamiko nimmengi sanaMm ni mwalimu ila sifundishi namimi nitakuwa kwenye kundi la masikini?
Wanaongea kwa vitisho ili msihoji Chochote hata wakila pesa zenu.Tanzania Wilaya ya Uyui Waalimu tunanyasika sana sijui tatizo nini? Tulikuwa kwenye semina ya mtaala mpya daaa h full vitisho maneno ya kukatishana tammaaaa. Posho hazieleweki za semina yenyewe mnaishia kupewa maji makubwa.
Hii wilaya ina shida serikaki iangalie kwa jicho la pekeee ni wilaya ambayo mpaka sasa haijalipa nauli za likizo tangu mwezi wa 11.
Waziri itupie macho wilaya hii.
Sasa unaandika vipi departure bila kuona muamala?ngapi
daaaah jamaaa wanadharau sana hata nauli za likizo mpaka sasa hawajatoa malalamiko nimmengi sana
Uthubutu wa kusema wanao basi.Subirini akija Makonda muwasemee hao wahusika.
Wasiliana na CWT wawasaidie kupaza sauti.Tanzania Wilaya ya Uyui Waalimu tunanyasika sana sijui tatizo nini? Tulikuwa kwenye semina ya mtaala mpya daaa h full vitisho maneno ya kukatishana tammaaaa. Posho hazieleweki za semina yenyewe mnaishia kupewa maji makubwa.
Hii wilaya ina shida serikaki iangalie kwa jicho la pekeee ni wilaya ambayo mpaka sasa haijalipa nauli za likizo tangu mwezi wa 11.
Waziri itupie macho wilaya hii.
LAZIMA MDHARAULIKE PAMOJA NA MAISHA MAGUMU MLIYONAYO ETI KWA VIHEREHERE VYENU MNANUNULIA MTU FOMUTanzania Wilaya ya Uyui Waalimu tunanyasika sana sijui tatizo nini? Tulikuwa kwenye semina ya mtaala mpya daaa h full vitisho maneno ya kukatishana tammaaaa. Posho hazieleweki za semina yenyewe mnaishia kupewa maji makubwa.
Hii wilaya ina shida serikaki iangalie kwa jicho la pekeee ni wilaya ambayo mpaka sasa haijalipa nauli za likizo tangu mwezi wa 11.
Waziri itupie macho wilaya hii.
wewe nani tukuwekee majina hapa?Tuwekee majina ya hao wanaowanyanyasa hapa.
Sikiliza!Tanzania Wilaya ya Uyui Waalimu tunanyasika sana sijui tatizo nini? Tulikuwa kwenye semina ya mtaala mpya daaa h full vitisho maneno ya kukatishana tammaaaa. Posho hazieleweki za semina yenyewe mnaishia kupewa maji makubwa.
Hii wilaya ina shida serikaki iangalie kwa jicho la pekeee ni wilaya ambayo mpaka sasa haijalipa nauli za likizo tangu mwezi wa 11.
Waziri itupie macho wilaya hii.
Duh yan posho laki wamewapa teni😭😭Huku nyan'ghwale geita wamepewa buku teni. Yani hawa mbwa wanaonaje walimu.
Katika kada za taaluma hapa Tz,ualimu ni alama ya uoga, upumbavu na umaskini.
Tatizo serikali inamsikiliza Mpwayungu villageTanzania Wilaya ya Uyui Waalimu tunanyasika sana sijui tatizo nini? Tulikuwa kwenye semina ya mtaala mpya daaa h full vitisho maneno ya kukatishana tammaaaa. Posho hazieleweki za semina yenyewe mnaishia kupewa maji makubwa.
Hii wilaya ina shida serikaki iangalie kwa jicho la pekeee ni wilaya ambayo mpaka sasa haijalipa nauli za likizo tangu mwezi wa 11.
Waziri itupie macho wilaya hii.
Masilahi ya walimu yaangaliwe, bila hvo sector ya Elimu itaendelea kuddmia, miaka ya sasa unaweza ona mtoto wa darasa la tano hawez kucopy alichoandika mwl ubaoni😀, wazazi fatilieni daftar za watoto wenu msiwaachie walimu tuNdio maana mapinduzi ya Elimu kwa kutumia walimu hawa ni ndoto ya Alinacha.
Walimu hufanya kazi ilimradi wapate ugali wao tu intrinsic motivation itatokea wapi kwa mshahara wa 400K month to month
Waache woga ndo maana wanapigishwa semina bure,Mwalimu anayetishwa ujue anatidhika yeye mwenyewe na sio Kwa kuwa ni mwalimu.
Afisa elimu, ni mwalimu mwenzako lakini walimu wanawanyenyekea kama nusu malaika.
Afisa elimu kata, afisa elimu taaluma Hawa kama ni mademu piga mistari day 1 kumuomba gem ili akuogope.
Tatizo la walimu wa msingi ni uoga Kwa viongozi wao. Mko waoga sana na mnajipeneekesa ili mfanyiwe upendeleo.
Walimu sec, zao la TCU sijaona muoga Mimi. Ni mtiti mtiti na mabosi wao. Akitoka unafoka, nikuzinguana tu.
Nawasilisha.