Waalimu tunadharauliwa sana hivi kwanini?

Waalimu tunadharauliwa sana hivi kwanini?

Kwani serikali si imeweka viwango vya posho public. Mnalia nini?
Kama semina ni siku 5 jumlisha na siku 1 (1/2 +1/2) jumla siku SITA.
Hapo tena unalipwa kulingana na daraja lako .
Sasa munalia nini huku kila kitu kiko wazi?
Kama viwango vya posho viko wazi na anatokea Mtanzania mwenzako (sio mzungu, sio shetani, sio Mungu) anakudhulumu na wewe unakodoa macho maana yake huna akili.
Tahira
ngapi
@@Mpwayungu

Sent from my SM-G998B using JamiiForums mobile

Mm ni mwalimu ila sifundishi namimi nitakuwa kwenye kundi la masikini?
daaaah jamaaa wanadharau sana hata nauli za likizo mpaka sasa hawajatoa malalamiko nimmengi sana
 
Tanzania Wilaya ya Uyui Waalimu tunanyasika sana sijui tatizo nini? Tulikuwa kwenye semina ya mtaala mpya daaa h full vitisho maneno ya kukatishana tammaaaa. Posho hazieleweki za semina yenyewe mnaishia kupewa maji makubwa.

Hii wilaya ina shida serikaki iangalie kwa jicho la pekeee ni wilaya ambayo mpaka sasa haijalipa nauli za likizo tangu mwezi wa 11.

Waziri itupie macho wilaya hii.
Wanaongea kwa vitisho ili msihoji Chochote hata wakila pesa zenu.
 
Tanzania Wilaya ya Uyui Waalimu tunanyasika sana sijui tatizo nini? Tulikuwa kwenye semina ya mtaala mpya daaa h full vitisho maneno ya kukatishana tammaaaa. Posho hazieleweki za semina yenyewe mnaishia kupewa maji makubwa.

Hii wilaya ina shida serikaki iangalie kwa jicho la pekeee ni wilaya ambayo mpaka sasa haijalipa nauli za likizo tangu mwezi wa 11.

Waziri itupie macho wilaya hii.
Wasiliana na CWT wawasaidie kupaza sauti.
 
Tanzania Wilaya ya Uyui Waalimu tunanyasika sana sijui tatizo nini? Tulikuwa kwenye semina ya mtaala mpya daaa h full vitisho maneno ya kukatishana tammaaaa. Posho hazieleweki za semina yenyewe mnaishia kupewa maji makubwa.

Hii wilaya ina shida serikaki iangalie kwa jicho la pekeee ni wilaya ambayo mpaka sasa haijalipa nauli za likizo tangu mwezi wa 11.

Waziri itupie macho wilaya hii.
LAZIMA MDHARAULIKE PAMOJA NA MAISHA MAGUMU MLIYONAYO ETI KWA VIHEREHERE VYENU MNANUNULIA MTU FOMU
 
Tanzania Wilaya ya Uyui Waalimu tunanyasika sana sijui tatizo nini? Tulikuwa kwenye semina ya mtaala mpya daaa h full vitisho maneno ya kukatishana tammaaaa. Posho hazieleweki za semina yenyewe mnaishia kupewa maji makubwa.

Hii wilaya ina shida serikaki iangalie kwa jicho la pekeee ni wilaya ambayo mpaka sasa haijalipa nauli za likizo tangu mwezi wa 11.

Waziri itupie macho wilaya hii.
Sikiliza!

Pale karibu na las vegas tabora Kuna mahakama ya kazi pale!!

Nenda pale utakutana na afisa kazi mkoa!

Mueleze Kwa kina malalamiko yako!

Yule jamaa anaogopeka sana na atafuatilia !

Niliwahi enda pale jamaa yupo humble!!

Ishu yangu ilifanywa faster!!!!

ACHA kulalamika,wale kina karugutu wale wanachukulia advantage ya uoga ulionao!!

Usiogope kama una madai nenda pale!!

Mi walishanishtukia Huwa hawaniiti kwenye seminar za kipuuzi!siogopi nakiwasha!

Niliwahi kukiwasha sehem nyingi na wananijua!!!

Huwa nawalipua Kwa kalamu kwa wahusika wakuu wa juu yao!

Siku wakijichanganya watashangaa mkurugenzi anashtakiwa na hiki kichwa na sitoogopa mtu!!!!

Be humble!click the right button,watakiheshim,japo walinichakachua ukuu was shule eti Nina kiburi but am fine na ninafinancial freedom inayonitosha hasta silambi mtu miguu!!
 
Tanzania Wilaya ya Uyui Waalimu tunanyasika sana sijui tatizo nini? Tulikuwa kwenye semina ya mtaala mpya daaa h full vitisho maneno ya kukatishana tammaaaa. Posho hazieleweki za semina yenyewe mnaishia kupewa maji makubwa.

Hii wilaya ina shida serikaki iangalie kwa jicho la pekeee ni wilaya ambayo mpaka sasa haijalipa nauli za likizo tangu mwezi wa 11.

Waziri itupie macho wilaya hii.
Tatizo serikali inamsikiliza Mpwayungu village
 
Ndio maana mapinduzi ya Elimu kwa kutumia walimu hawa ni ndoto ya Alinacha.

Walimu hufanya kazi ilimradi wapate ugali wao tu intrinsic motivation itatokea wapi kwa mshahara wa 400K month to month
Masilahi ya walimu yaangaliwe, bila hvo sector ya Elimu itaendelea kuddmia, miaka ya sasa unaweza ona mtoto wa darasa la tano hawez kucopy alichoandika mwl ubaoni😀, wazazi fatilieni daftar za watoto wenu msiwaachie walimu tu
 
Mwalimu anayetishwa ujue anatidhika yeye mwenyewe na sio Kwa kuwa ni mwalimu.

Afisa elimu, ni mwalimu mwenzako lakini walimu wanawanyenyekea kama nusu malaika.

Afisa elimu kata, afisa elimu taaluma Hawa kama ni mademu piga mistari day 1 kumuomba gem ili akuogope.


Tatizo la walimu wa msingi ni uoga Kwa viongozi wao. Mko waoga sana na mnajipeneekesa ili mfanyiwe upendeleo.

Walimu sec, zao la TCU sijaona muoga Mimi. Ni mtiti mtiti na mabosi wao. Akitoka unafoka, nikuzinguana tu.

Nawasilisha.
Waache woga ndo maana wanapigishwa semina bure,
 
Umenikumbusha mbali,Mr Karugutu anawapeleka mpera mpera mbaya sana.Afu nyie walimu wa msingi muache uoga,hua mnawanyenyekea sana hao mataita
 
Back
Top Bottom