mrembo wa kiafrika
New Member
- Apr 18, 2013
- 4
- 3
Nimeskia kuna baadhi ya waalim waloajiriwa mwaka huu wamerudi makwao kwa kukosekana fedha za kujikimu katika wilaya walikopangwa. Lengo la serikali kwa vjana hao lilikuwa ni nini?
Je ni sahihi kuwalipa mishahara huku wakiwa majumbani?
Je ni sahihi kuwalipa mishahara huku wakiwa majumbani?