Wewe huna hoja kabisa, siku hizi tunaona wanawake wanaendesha hadi masemi na wanaenda hadi Congo, Zambia mpaka hata Zimbabwe tena peke yao.
Wengine ni ma -opareta wa magreda, vijiko hadi madoza na wengine wanawachanganyia mafundi udongo au zege wanajenga na wengine ni marais wanakutawala hadi wewe na familia yako halafu unataka kutuambia nini.
Hayo mawazo feki ya kiarabu peleka hukohuko uarabuni sisi sio waarabu.
Wengine ni ma -opareta wa magreda, vijiko hadi madoza na wengine wanawachanganyia mafundi udongo au zege wanajenga na wengine ni marais wanakutawala hadi wewe na familia yako halafu unataka kutuambia nini.
Hayo mawazo feki ya kiarabu peleka hukohuko uarabuni sisi sio waarabu.