Waandamanaji wachoma moto Biashara za Wabunge zikiwemo Hotel, Maduka na Mabasi, Ofisi ya Kimani yateketezwa!

Waandamanaji wachoma moto Biashara za Wabunge zikiwemo Hotel, Maduka na Mabasi, Ofisi ya Kimani yateketezwa!

Hii sasa ni mbaya jamani Biashara za Mbunge ni za kifamilia

Waandamanaji Nchini Kenya wameharibu Mali na Biashara mbalimbali za wabunge waliopigia Kura ya Ndio Finance Bill

Aidha Ofisi za Kiongozi wa Walio wengi Bungeni mh Kimani na zile za Gavana wa Nairobi zimechomwa moto

Mali hizo zimeoneshwa na Citizen Tv zikiteketea

Wanadai Zakayo Ashuke
Kwanini tusimshikie betina!
 
1719334306592.png

1719334319949.png

1719334347520.png

1719334379903.png

1719334425032.png

1719334440761.png

1719334457256.png

1719334503073.png
 
Hii sasa ni mbaya jamani Biashara za Mbunge ni za kifamilia

Waandamanaji Nchini Kenya wameharibu Mali na Biashara mbalimbali za wabunge waliopigia Kura ya Ndio Finance Bill

Aidha Ofisi za Kiongozi wa Walio wengi Bungeni mh Kimani na zile za Gavana wa Nairobi zimechomwa moto

Mali hizo zimeoneshwa na Citizen Tv zikiteketea

Wanadai Zakayo Ashuke
Safi sana. ccm wasome alama za nyakati. Pamoja na kwamba inaeleweka Watanzania ni waoga hasa kutokana na katiba mbovu,itafika wakati
 
Hii sasa ni mbaya jamani Biashara za Mbunge ni za kifamilia

Waandamanaji Nchini Kenya wameharibu Mali na Biashara mbalimbali za wabunge waliopigia Kura ya Ndio Finance Bill

Aidha Ofisi za Kiongozi wa Walio wengi Bungeni mh Kimani na zile za Gavana wa Nairobi zimechomwa moto

Mali hizo zimeoneshwa na Citizen Tv zikiteketea

Wanadai Zakayo Ashuke
Picha hata moja huna
 
Hii sasa ni mbaya jamani Biashara za Mbunge ni za kifamilia

Waandamanaji Nchini Kenya wameharibu Mali na Biashara mbalimbali za wabunge waliopigia Kura ya Ndio Finance Bill

Aidha Ofisi za Kiongozi wa Walio wengi Bungeni mh Kimani na zile za Gavana wa Nairobi zimechomwa moto

Mali hizo zimeoneshwa na Citizen Tv zikiteketea

Wanadai Zakayo Ashuke
Vurugu za kuonyesha hasira huishia kuleta hasara ya kiuchumi.
 
John

Hii mbaya una maana gani? Si mbaya kukandamiza na kudharau wananchi ila ni mbaya kuchoma za watu wanaokandamiza na kuwadharau wenye nchi?
Nimewapenda sana wakenya. Wanajua kupiga pale panapouma. Hili la kuchoma mali na nyumba za wabunge zitafanya mtu akiwa mbunge ajue wajibu wake ni kusikiliza matakwa ya wananchi na siyo kuwa kibaraka wa serikali.
 
Nimewapenda sana wakenya. Wanajua kupiga pale panapouma. Hili la kuchoma mali na nyumba za wabunge zitafanya mtu akiwa mbunge ajue wajibu wake ni kusikiliza matakwa ya wananchi na siyo kuwa kibaraka wa serikali.
Macho mkuu,

Jioni nilikuwa na rafiki yangu mmoja ni mkenya anasema hii kitu mpaka mwili unamsisimka. Anakuambia Leo viongozi wengi watalala kwenye mahoteli makubwa na kuhamisha familia zao.

Hawa vijana wamekewa kumbukumbu ambayo haitafutika katika vizazi vijavyo❤️
 
Imho

Ndio maana tukauliza kama mtu anakukandamiza unamwambia ndugu yangu embu fanya hivi ili na mimi nisiumie niishi kwa amani, akitoka hapo anaendelea kukukandamiza na kukudharau na wakati yeye ndio analo hilo jukumu ungechukua hatua gani?
Lichome Bunge kama walivyofanya Burkina Faso lakini kuja kwenye Kioski changu kukichoma ati unahasira na Wabunge haimake sense.
 
Back
Top Bottom