Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Matumizi ya "are" ni mtihani hapo!We are recognize GNU!! Tunatambua Serikali ya umoja wa kitaifa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matumizi ya "are" ni mtihani hapo!We are recognize GNU!! Tunatambua Serikali ya umoja wa kitaifa!
Tumefikia kwa wahariri kina Sypiriani.Hizi picha ni za kweli kabisa? Si "photoshop"?
Maana lazima niulize.
Kama za kweli.
Tumetoka siku za kina Benjamin Mkapa, Sammy Mdee, Paul Sozigwa, Mustapha Nyang'anyi, Ulli Mwambulukutu, Wilson Kaigarula na wengine wengi kama hao.
Waandishi na wanahabari waliofanya kazi kwa umakini sana.
Tumefikake hapa?
Lina haririwa Lumumba hiloView attachment 1644102
Kwa kweli hii ni aibu kubwa kama wasomi tunaabishwa sana. Nani mwandishi na mhariri wa gazeti hili?
To meet with stakeholder....stakeholders to reveals reasons....we are recognize national unity. Hii ni lugha gani wakuu. Naona ni lugha inayofanana na Kingereza lakini sio chenyewe
Hili sio la IPP mkuu?Lina haririwa Lumumba hilo
Hapana la kina Musiba hiloHili sio la IPP mkuu?
Mbona kafanana na marehemu wa 92 Yule aliyekunywa sumu?
Rais wetu punguza jazba. Kumbe hii ndio ID yako humu?Aibu gani? Msafara ulikosa mkalimani kiswahili kwenda kiingereza nchi Zimbabwe! Inatosha hivyo hivyo asiyependa asinunue akachapishe lakwake asome na shangazi yake.
Mbona Pasco yupo? Sasa hivi anavizia teuzi za wakuu wa vitongojiHizi picha ni za kweli kabisa? Si "photoshop"?
Maana lazima niulize.
Kama za kweli.
Tumetoka siku za kina Benjamin Mkapa, Sammy Mdee, Paul Sozigwa, Mustapha Nyang'anyi, Ulli Mwambulukutu, Wilson Kaigarula na wengine wengi kama hao.
Waandishi na wanahabari waliofanya kazi kwa umakini sana.
Tumefikake hapa?
Kashaukubali "mhimili uliochimbiwa chini zaidi" mwenyewe.Mbona Pasco yupo? Sasa hivi anavizia teuzi za wakuu wa vitongoji
Eti TIMES OBSERVERHapana la kina Musiba hilo