balimar
JF-Expert Member
- Sep 18, 2015
- 7,743
- 13,657
Watu mnafukunyua hatare au hii ni photoshop picture. Mbona makosa mengi hivyo???Tarehe wameeandika 2025
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu mnafukunyua hatare au hii ni photoshop picture. Mbona makosa mengi hivyo???Tarehe wameeandika 2025
Kina PascoView attachment 2909686
Maswali chechefu:
1. Je, gazeti la "Mwanahabari" ni la nani?
2. Je, mwandishi aliyemtaja Naibu Waziri Mkuu, Mhe Dotto Biteko, kama "BITOKE" alikuwa anamuwaza muigizaji EBITOKE?
3. Je, gazeti hili halina Mhariri?
4. Je, gazeti hili linajua kuwa linapaswa kumuomba radhi Mhe Biteko & "Bongolanderz" kwa ujumla ?
NB:
(a) Rais Mkapa:
"Huwa sipendi kuhojiwa na waandishi wa hapa nchini kwavile hawafanyi utafiti na wanauliza maswali ya hovyo yasiyo na msingi"
(b) Rais Kikwete:
"Waandishi wengi wa Tanzania ni makanjanja. Wapo ambao hawajasomea na wengine hawana weledi. Siku hizi mtoto akimaliza "Form 4" akakosa kazi kote, mzazi wake anamwambia "Huna namna, inabidi tu uwe Mwandishi wa habari". Hii si sahihi kwani uandishi wa habari ni "fourth estate". Ni kitu cha muhimu sana kwa maendeleo ya Taifa"
(c) CJ Nyalali
"Waandishi wengi wanakosea sana uandikaji wa masuala ya kesi mahakamani na mara nyingi wanapotosha. Wahariri wahakikishe wanaleta mahakamani waandishi wenye uelewa kwani magazeti yao yanaweza kuchukuliwa hatua".
(d) Samwel Sitta
"Waandishi wawe makini kufuatilia Bunge. Uandishi wa upotoshaji habari za Bunge huko mbeleni unaweza kupelekea Wenye magazeti kuitwa na kuchukuliwa hatua na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge".
(e) Prof. Kabudi
"Mimi niliwahi kuwa Mwandishi wa habari. Waandishi wa enzi zetu ni tofauti kabisa na waandishi wa sasa. Waandishi wengi siku hizi wana uwezo mdogo. Siwabagazi kwani huo ndio ukweli. Kiongozi ukiongea leo, utashangaa kesho magazeti manne yana kichwa cha habari kinachofanana! Wanadeseana! Enzi zetu, Mhariri alikuwa anakuna kichwa kuwaza atokee "angle" gani. Aidha, siku hizi Kiongozi akitoa mada, waandishi hawawezi kabisa kuandika "Summary". Wanasubiri Kiongozi akiwa anatoka ukumbini kwenda kwenye gari lake na kuanza kumkibilia kama kibaka kisha wanamwambia "Mzee, Umesahau kutupa "Press Release". Hii si sawa. Tubadilike"
Loh, amesoma chuo gani?Juzi wakati wa hafla ya mazishi ya Lowassa pale Monduli yule MC wa Ikulu, ambaye ni taaswira ya nchi alisema "Mhe.Rais inayofuata ni nyimbo ya taanzia..." unadhani hao wengine wa mtaani itakuaje?
Kaka Pascal Mayalla ? auKina Pasco
Tafuta muuza magazeti, nunua uone.Watu mnafukunyua hatare au hii ni photoshop picture. Mbona makosa mengi hivyo???
Huenda walichoandika ndio kimejaza mioyo yao.Lakini limepitia mikono mingi hadi kwenda kuchapishwa. Hakuna proof reading ili kuona kama kuna makosa kama hayo. Nakala zinatoka hivyo hivyo na kuuzwa kila mahali. Hawa wanastahiki adhabu.
Sasa sisi tunaojifunza kwa kutumia simu zetu za macho mawili tuende wapi kama mnatuzibia?View attachment 2909686
Maswali chechefu:
1. Je, gazeti la "Mwanahabari" ni la nani?
2. Je, mwandishi aliyemtaja Naibu Waziri Mkuu, Mhe Dotto Biteko, kama "BITOKE" alikuwa anamuwaza muigizaji EBITOKE?
3. Je, gazeti hili halina Mhariri?
4. Je, gazeti hili linajua kuwa linapaswa kumuomba radhi Mhe Biteko & "Bongolanderz" kwa ujumla ?
NB:
(a) Rais Mkapa:
"Huwa sipendi kuhojiwa na waandishi wa hapa nchini kwavile hawafanyi utafiti na wanauliza maswali ya hovyo yasiyo na msingi"
(b) Rais Kikwete:
"Waandishi wengi wa Tanzania ni makanjanja. Wapo ambao hawajasomea na wengine hawana weledi. Siku hizi mtoto akimaliza "Form 4" akakosa kazi kote, mzazi wake anamwambia "Huna namna, inabidi tu uwe Mwandishi wa habari". Hii si sahihi kwani uandishi wa habari ni "fourth estate". Ni kitu cha muhimu sana kwa maendeleo ya Taifa"
(c) CJ Nyalali
"Waandishi wengi wanakosea sana uandikaji wa masuala ya kesi mahakamani na mara nyingi wanapotosha. Wahariri wahakikishe wanaleta mahakamani waandishi wenye uelewa kwani magazeti yao yanaweza kuchukuliwa hatua".
(d) Samwel Sitta
"Waandishi wawe makini kufuatilia Bunge. Uandishi wa upotoshaji habari za Bunge huko mbeleni unaweza kupelekea Wenye magazeti kuitwa na kuchukuliwa hatua na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge".
(e) Prof. Kabudi
"Mimi niliwahi kuwa Mwandishi wa habari. Waandishi wa enzi zetu ni tofauti kabisa na waandishi wa sasa. Waandishi wengi siku hizi wana uwezo mdogo. Siwabagazi kwani huo ndio ukweli. Kiongozi ukiongea leo, utashangaa kesho magazeti manne yana kichwa cha habari kinachofanana! Wanadeseana! Enzi zetu, Mhariri alikuwa anakuna kichwa kuwaza atokee "angle" gani. Aidha, siku hizi Kiongozi akitoa mada, waandishi hawawezi kabisa kuandika "Summary". Wanasubiri Kiongozi akiwa anatoka ukumbini kwenda kwenye gari lake na kuanza kumkibilia kama kibaka kisha wanamwambia "Mzee, Umesahau kutupa "Press Release". Hii si sawa. Tubadilike"
Tatizo sio chuo, ni mazoea ya kijinga tu. Mtu mzima kama yule anashindwaje kufahamu vitu vidogo kama hivyo?Loh, amesoma chuo gani?
Umenena yaliyo kweli kabisa.Tasnia ya habari ni kaa la moto ndani ya taifa hili,Wamiliki wa vyombo vingi wamekuwa sehemu ya kuharibu weredi wa waandishi ule wa ku-report Objective,Leo mtu akiwa maarufu kwenye social media kesho unasikia ni mwajiliwa wa media x.Taaluma ya uandishi wa habari ni moja kati ya taaluma ambayo inatakiwa kufanyiwa reform hapa nchini vinginevyo itaendelea kuwa namba moja kwenye taaluma zilizopoteza weledi wa kazi na hii ni kutokana na mambo yafuatayo
1. Kuajiriwa kwa watangazaji na waandishi ambao hawajasomea kazi hiyo
2. Kuwepo kwa wahariri wavivu na wenye uelewa mdogo wa maudhui wanayo hariri.
3. Uwepo wa social media na online channels ambazo yoyote anaweza ku-post habari hii inaongeza chance ya upotoshaji kwani habari inatengenezwa kwa kuzingatia kupata likes na comment jambo ambalo linapelekea upotoshaji.
4. Serikali yenyewe ni tatizo na ina mchango wake katika kuibomoa taaluma hii kwani imekuwa ikitoa maelekezo ya nini kifanyike kwa vyombo vya habari, Bahati mbaya maelekezo yenyewe ni ya kichawa zaidi yaani kama vile kazi ya vyombo vya habari ni kuisifu serikali na kuimba mapambio kwa Rais. This is shame kwa wizara husika. BADILIKENI!
Hakuna cha typing error wamemuona anafanya usanii Kwenye ishu ya umeme.
Nadhani ndio hivyo. Kuna gazeti huko Uingereza, The Sun, lipo tayari kotoa taarifa za uongo kumuhusu mtu mwenye wadhifa au mwenye hadhi katika jamii. Kwa kufanya hivyo, gazeti hili ambalo ni la udaku, huuza nakala nyingi sana huko nchini Uingereza. Wako tayari kulipa kiasi chochote cha pesa ambayo Mahakama itadai wamlipe yule waliyemharibia hadhi yake kama fidia. Sina uhakika kama hili gazeti nalo ni la udaku.Huenda walichoandika ndio kimejaza mioyo yao.
The Sun wanweza fanya prpaganda mpaka waziri mkuu anajiuzulu.Nadhani ndicho hivyo. Kuna gazeti huko Uingereza, The Sun, lipo tayari kotoa taarifa za uongo kumuhusu mtu mwenye wadhifa au mwenye hadhi katika jamii. Kwa kufanya hivyo, gazeti hili ambalo ni la udaku, huuza nakala nyingi sana huko nchini Uingereza. Wako tayari kulipa kiasi chochote cha pesa ambayo Mahakama itadai wamlipe yule waliyemharibia hadhi yake kama fidia. Sina uhakika kama hili gazeti nalo ni la udaku.
Daah hii ni interpretative commentHakuna cha typing error wamemuona anafanya usanii Kwenye ishu ya umeme.
Hata wakisahihisha ila ujumbe umefika
Hajakosea. Na wala siyo typing error. Acheni kuingilia kazi za watu. Uandishi wa habari ni rare proffession.Siasa sayansi. Typing error hiyo
Fafanua mkuuWatu wanaotumia "ugoro" ndio huwa wanapishanisha herufi na namba namna hii.
Gazetiblenyewe la mchongo hilo, hakuna edit hapo kitu pure hiyoWatu mnafukunyua hatare au hii ni photoshop picture. Mbona makosa mengi hivyo???
Rare profession, my foot!Hajakosea. Na wala siyo typing error. Acheni kuingilia kazi za watu. Uandishi wa habari ni rare proffession.