Waandishi wa Habari wa Tanzania mnajisikiaje hakuna hata Mmoja wenu aliyechukua Tuzo huko Mkutanoni SADC leo alikoenda 'Mama' yenu Mpendwa?

Waandishi wa Habari wa Tanzania mnajisikiaje hakuna hata Mmoja wenu aliyechukua Tuzo huko Mkutanoni SADC leo alikoenda 'Mama' yenu Mpendwa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani Tuzo zote za Categories za Radio, Television na Print zimeenda kwa Waandishi wa Habari wanaojua nini wanakifanya na wasio Wapumbavu, Wanafiki na Waongo wa nchi za Angola, Lesotho, Namibia, South Africa, Malawi na Zimbabwe, ila cha Kusikitisha wala hakuna kutoka Tanzania. Hii ni Aibu kwa Tanzania, Rais wa Tanzania na Watanzania wote kwa ujumla.

Haya Waandishi wa Habari wa Tanzania kama vipi waombeni Waandaji wa Shindano hili hawa SADC kuwa mnawaomba kwa Msimu ujao / mpya wa Shindano kama ikiwapendeza basi waweke Kipengele kipya cha Tuzo Maalum kwa Waandishi wa Habari wenye Uzoefu mkubwa wa Kujipendekeza kama siyo Kujikomba kwa Watawala Wao ili wakumbukwe katika Teuzi.
 
Yaani Tuzo zote za Categories za Radio, Television na Print zimeenda kwa Waandishi wa Habari wanaojua nini wanakifanya na wasio Wapumbavu, Wanafiki na Waongo wa nchi za Angola, Lesotho, Namibia, South Africa, Malawi na Zimbabwe, ila cha Kusikitisha wala hakuna kutoka Tanzania. Hii ni Aibu kwa Tanzania, Rais wa Tanzania na Watanzania wote kwa ujumla.

Haya Waandishi wa Habari wa Tanzania kama vipi waombeni Waandaji wa Shindano hili hawa SADC kuwa mnawaomba kwa Msimu ujao / mpya wa Shindano kama ikiwapendeza basi waweke Kipengele kipya cha Tuzo Maalum kwa Waandishi wa Habari wenye Uzoefu mkubwa wa Kujipendekeza kama siyo Kujikomba kwa Watawala Wao ili wakumbukwe katika Teuzi.
Tanzania kuna Waandishi wa Habari au Kuna WAHANDISI WA HABARI za 'Kusifu na Kuabudu' watawala?
 
Yaani Tuzo zote za Categories za Radio, Television na Print zimeenda kwa Waandishi wa Habari wanaojua nini wanakifanya na wasio Wapumbavu, Wanafiki na Waongo wa nchi za Angola, Lesotho, Namibia, South Africa, Malawi na Zimbabwe, ila cha Kusikitisha wala hakuna kutoka Tanzania. Hii ni Aibu kwa Tanzania, Rais wa Tanzania na Watanzania wote kwa ujumla.

Haya Waandishi wa Habari wa Tanzania kama vipi waombeni Waandaji wa Shindano hili hawa SADC kuwa mnawaomba kwa Msimu ujao / mpya wa Shindano kama ikiwapendeza basi waweke Kipengele kipya cha Tuzo Maalum kwa Waandishi wa Habari wenye Uzoefu mkubwa wa Kujipendekeza kama siyo Kujikomba kwa Watawala Wao ili wakumbukwe katika Teuzi.
Maisha unayoita ya kunipendekeza ni ya faida kuliko hizo tuzo
 
Yaani Tuzo zote za Categories za Radio, Television na Print zimeenda kwa Waandishi wa Habari wanaojua nini wanakifanya na wasio Wapumbavu, Wanafiki na Waongo wa nchi za Angola, Lesotho, Namibia, South Africa, Malawi na Zimbabwe, ila cha Kusikitisha wala hakuna kutoka Tanzania. Hii ni Aibu kwa Tanzania, Rais wa Tanzania na Watanzania wote kwa ujumla.

Haya Waandishi wa Habari wa Tanzania kama vipi waombeni Waandaji wa Shindano hili hawa SADC kuwa mnawaomba kwa Msimu ujao / mpya wa Shindano kama ikiwapendeza basi waweke Kipengele kipya cha Tuzo Maalum kwa Waandishi wa Habari wenye Uzoefu mkubwa wa Kujipendekeza kama siyo Kujikomba kwa Watawala Wao ili wakumbukwe katika Teuzi.
Huku hata iweje huwezi kuwa mkweli maslahi madogo sana na manyanyaso kibao
 
Back
Top Bottom