Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #21
Masuala ya CCM mim siyajui kabisa mkuu. I am sorry for that.Mbona CCM wanapoiba tunataja Katibu Mkuu achota bilioni 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masuala ya CCM mim siyajui kabisa mkuu. I am sorry for that.Mbona CCM wanapoiba tunataja Katibu Mkuu achota bilioni 2
Iman ni kiongozi wa kidini na sio wa kijamii. Kiongozi wa kijamaa ianongozi wote lakini wa kidini anaongoza watu kadhaa wa imani yake.Uimamu wake ni Uislamu au Uimamu wake ni cheo chake katika jamii yake..
Akimtambua mhalifu kwa uongozi wake wa kidini inasaidia nini kama sio kudhalilisha wengine wenye nafasi kama yake katika dini husika?Ulichofanya wewe ni kutusaidia sisi, tu-perceive uimamu wa muhalifu una uhusiano na Uislamu wake.. Ila inawezekana katika habari hiyo lengo la kuweka Uimamu ni kumtambua muhalifu kwa cheo chake katika jamii.
Kwanini uhisi mwandishi amedhalilisha?Huyo mwanahabari ndio amedhalilisha nafasi ya kiongozi wa dini, na sasa Imam wote wataanza kuonekana kama wezi wa nguruwe.
Je, ni sahihi kuwaita Bokoharama kuwa ni "magaidi wa kiislam" ilhali uislamu unakataza uhalifu wa ugaidi?...Kwanini uhisi mwandishi amedhalilisha?
Je, ni sahihi kuwaita al shabaab kuwa ni "magaidi wa kiislam"?
Imam ni cheo chake hajamsingizia!! Pia ni sawa na mtu kuitwa "Dr.Fulani" huo udaktari ni wa kwake yeye na ni utambulisho wake hauna uhusiano na madaktari wote duniani.Akimtambua mhalifu kwa uongozi wake wa kidini inasaidia nini kama sio kudhalilisha wengine wenye nafasi kama yake katika dini husika?
Masuala ya CCM mim siyajui kabisa mkuu. I am sorry for that.
Je, ni sahihi kuwaita Bokoharam kuwa ni "magaidi wa kiislam" ilhali uislamu unakataza ugaidi?...Terrorist jihadist
Jihad ni fundamental ya dini gani?
Wao wanadai wanachokifanya ni jihad na sio ugaidi, na jihad imeruhusiwaJe, ni sahihi kuwaita Bokoharama kuwa ni "magaidi wa kiislam" ilhali uislamu unakataza uhalifu wa ugaidi?...
Wewe naye umeamua kukolezea tu wakati mwingine jia la mtu huambatana na wadhifa wake ili kumbainisha bayana. Ni kawaida mtu kumsikia akisema mkuu wa kituo cha polisi X ndugu....., afikishwa mahakamani kujibu tuhuma kadhaa. Mbona poa tu. Na hii imekaa vizuri kweli kweli. Au nasema uongo ndugu zangu?Huyo mwanahabari ndio amedhalilisha nafasi ya kiongozi wa dini, na sasa Imam wote wataanza kuonekana kama wezi wa nguruwe.
Hajasema maimamu wote ni wezi..!! Kwa uzi wako nimeshatambua wewe ni wa imani gani. Uwe wazi tu kuwa, kinachokukwaza ni huyo mheshimiwa kutuhumiwa kubeba bidhaa ambayo kwa imani yake hata kuigusa tu hiyo malighafi ni haraam so kuiiba itakuwa kaenda extra mile. Najua mtanikumbuka kwa mema siyo kwa mabaya.Akimtambua mhalifu kwa uongozi wake wa kidini inasaidia nini kama sio kudhalilisha wengine wenye nafasi kama yake katika dini husika?
Ona unavyozidi kuwadhalilisha. Mwizi ni huyo imam mmojaHuyo mwanahabari ndio amedhalilisha nafasi ya kiongozi wa dini, na sasa Imam wote wataanza kuonekana kama wezi wa nguruwe.
Magaidi WOTE ni WAISLAM ila sio waislam wote ni magaidi omeraJe tuwaite waisalm ni magaidi kwa kuwa Al Shabaab wanafanya ugaidi?
Je, ni sahihi kuwaita Bokoharama kuwa ni "magaidi wa kiislam" ilhali uislamu unakataza uhalifu wa ugaidi?...
Hivi unazungumza nini Omera??? Kwahiyo hayo makundi ya kigaidi yanaua kwa misingi ya dini ipi yakhee?Je, ni sahihi kuwaita al shabaab kuwa ni "magaidi wa kiislam"?
Mkuu, sipendi kuona dini za wengine zinadhalilishwa kisa kosa la mtu mmoja tu.
Huu ni udhalilishaji mkubwa sana kwa waislamu. Watanzania wote ni ndugu.Kwanini uhalifu alioufanya Salum Yusuph wa kwenda kuiba nguruwe uhusishwe na nafasi ya ungozi wa kidini (Imam) ilhali kitendo hicho (wizi) sio muongozo sahihi wa dini ya kiislam?
Wanaua kwa chuki zao binafsi tu na miongozo ya kishetani...Hivi unazungumza nini Omera??? Kwahiyo hayo makundi ya kigaidi yanaua kwa misingi ya dini ipo yakhee?