Waandishi wa habari za michezo hawaipendi Simba

Waandishi wa habari za michezo hawaipendi Simba

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Zama zile wakati Yanga wanaishia kwenye hatua ya makundi mashindano ya CAF, waandishi wa habari za michezo Tanzania waliipachika Yanga jina la "wa kimataifa".

Leo Simba imeingia robo fainali nne za mashindano ya CAF na kusababisha Tanzania kuongezewa timu mbili kwenye mashindano ya CAF, huoni haya yakisemwa kama ni mafanikio zaidi ya kupata dhihaka kwa kuitwa "Mwakarobo"

Mifano ipo mingi sana hata watangazaji wa Azamtv wanavyotangaza mechi za Simba utaona kabisa huwa hawana furaha Simba ikishinda kuliko ikifungwa.

Jee waandishi wengi wa habari za michezo Tanzania ni utopolo?
 
Yanga waliitwa wakimataifa kwakua Simba alikua wa hapahapa/ Mchangani.

Yanga hivi karibuni kacheza fainali hakuna mtu ata angaika na timu inaishia robo mara saba katika mashindano ya CAF.
licha ya kulitia taifa ya kashfa za ulozi hadharani na kupulizia dawa vyumbani ili timu ipate matokeo.
 

Attachments

  • Screenshot_20250302-224836.jpg
    Screenshot_20250302-224836.jpg
    511.1 KB · Views: 1
Yanga waliitwa wakimataifa kwakua Simba alikua wa hapahapa/ Mchangani.

Yanga hivi karibuni kacheza fainali hakuna mtu ata angaika na timu inaishia robo mara saba katika mashindano ya CAF.
licha ya kulitia taifa ya kashfa za ulozi hadharani na kupulizia dawa vyumbani ili timu ipate matokeo.
Wazee wa kujidunga sindano mmekosa hoja
 
Zama zile wakati Yanga wanaishia kwenye hatua ya makundi mashindano ya CAF, waandishi wa habari za michezo Tanzania waliipachika Yanga jina la "wa kimataifa".

Leo Simba imeingia robo fainali nne za mashindano ya CAF na kusababisha Tanzania kuongezewa timu mbili kwenye mashindano ya CAF, huoni haya yakisemwa kama ni mafanikio zaidi ya kupata dhihaka kwa kuitwa "Mwakarobo"

Mifano ipo mingi sana hata watangazaji wa Azamtv wanavyotangaza mechi za Simba utaona kabisa huwa hawana furaha Simba ikishinda kuliko ikifungwa.

Jee waandishi wengi wa habari za michezo Tanzania ni utopolo?
Mimi kama mshabiki kindakindaki wa Simba, nakushauri urudi tu kushabikia timu yako ya Lipuli. Huku hakukufai.
 
Yatima hadeki,ndio vizuri sifa zinaua,simba ikifanikiwa watu wanateseka sana,mateso yao furaha kwetu
 
Mimi kama mshabiki kindakindaki wa Simba, nakushauri urudi ti kushabikia timu yako ya Lipuli. Huku hakukufai.
Nilikuwa naangalia gemu ya Simba kuifunga Yanga 4-1, lakini Bado watangazaji wa Azamtv wakawa wanailaumu Simba 😀😆😆😄
 
Zama zile wakati Yanga wanaishia kwenye hatua ya makundi mashindano ya CAF, waandishi wa habari za michezo Tanzania waliipachika Yanga jina la "wa kimataifa".

Leo Simba imeingia robo fainali nne za mashindano ya CAF na kusababisha Tanzania kuongezewa timu mbili kwenye mashindano ya CAF, huoni haya yakisemwa kama ni mafanikio zaidi ya kupata dhihaka kwa kuitwa "Mwakarobo"

Mifano ipo mingi sana hata watangazaji wa Azamtv wanavyotangaza mechi za Simba utaona kabisa huwa hawana furaha Simba ikishinda kuliko ikifungwa.

Jee waandishi wengi wa habari za michezo Tanzania ni utopolo?
Duh Hata wewe mkuu
 
Zama zile wakati Yanga wanaishia kwenye hatua ya makundi mashindano ya CAF, waandishi wa habari za michezo Tanzania waliipachika Yanga jina la "wa kimataifa".

Leo Simba imeingia robo fainali nne za mashindano ya CAF na kusababisha Tanzania kuongezewa timu mbili kwenye mashindano ya CAF, huoni haya yakisemwa kama ni mafanikio zaidi ya kupata dhihaka kwa kuitwa "Mwakarobo"

Mifano ipo mingi sana hata watangazaji wa Azamtv wanavyotangaza mechi za Simba utaona kabisa huwa hawana furaha Simba ikishinda kuliko ikifungwa.

Jee waandishi wengi wa habari za michezo Tanzania ni utopolo?
Wengi wako kwenye pay roll ya gsm.
Siku akitokea Rais kama Putin,kuna watu watapigwa risasi kwa wizi wa pesa serikalini na kuzichepusha kuisaidia nyuma mwiko ishinde.Sina uhakika kama jamaa analipa kodi serikalini.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom