Waandishi wa Mwananchi Washambuliwa Wakifuatalia Maandalizi ya Mkutano wa CHADEMA Temeke, Gari Lavunjwa Vioo, Waibiwa Simu

Hahahaha hicho ni kikundi cha magaidi wa akina mbowe wameandaliwa ili kuongeza misaada toka kwa mabwana zao ulaya.
 
Hao vijana ni wa Chadema na washabiki wa Yanga waliokuwa wakienda kwa Che Nkapa! Masau Bwire akiwajua uzuri walipomuibia simu zake! Ahahahahaha!!!
 
Yawezekana ni tukio la kutengenezwa ili ipatikane sababu ya kusema kuna viashiria vya vurugu mkutano wa kesho.

Awachelewi hao. Haya mambo ya bandari yamewaweka pabaya viongozi, hivi mbinu za kila namna zitatumika ili kuzuia mkutano huo.
 
Shehe Mwaipopo anahusika.
 
Duu...!
P
 
Ni jitihada za kutaka kudhoofisha mapambano ya haki!. Kesho ndio kesho hakuna kurudi nyuma!
Hapa inatolewa elimu kwa uma, wananchi wakipata uelewa kwa mitazamo tofauti ndiyo muhimu kwa mustakabali mwema wa taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…