Waandishi wambwaga Freeman Mbowe Mahakamani. Nyumba yaachiwa

ufafanuzi wa hukumu ya Mahakama:

Mdaiwa kwenye kesi ya Msingi ni Dudley Mbowe na siyo Freeman Mbowe

Nyumba iliyokamatwa na dalali wa Mahalama ni Mali binafsi ya
Freeman Mbowe

Dudley Mbowe ndiye Mdaiwa kwenye kesi ya Msingi na siyo Freeman Mbowe

Kesi ya Msingi ya utekelezaji wa Tuzo ya CMA imeondolewa na itawasilishwa upya kwa ajili ya utekelezaji na kuwawezesha wadai kulipwa Haki yao

Hakuna gharama zozote atakazolipwa Freeman Mbowe in
kupitia kesi hii aliyofungua kupinga nyumba yake kutakakuuzwa

Dalali alitekwleza amri ya Mahakama kuiweka nyumba ya Freeman Mbowe kwenye mnada
Dudley Mbowe Bado anatakiwa kuwalipa Fedha anazodaiwa na Waandishi hao wa habari waliokuwa wafanyakazi wa gazeti la TANZANIA Daima
 
Waandishi siyo nyumbu kama wewe
Lakini mh mbowe amewachezea waandishi uchwara kama kaka yetu Achraf Hakimi wa morocco waandishi wamekodi daladala kama malodi lofa wamekopa mikopo umiza huko wakijua mambo yashawanyokea wanakutana na kipigo ninavyojua mikopo umiza lazima tayari huko washabebewa vitu vya ndani magodoro, masufuria wanaenda kuanza maisha upya kama watoto wa form 1, nyie dunia hii.
 
Utakuwa nimua dishi magazeti ya kichawa ambayo yanaongezeka kila uchao, sijui ni akina nani wa wanaoyanunuaga
 
Nyumbu wanamuita tajiri kumbe hana hata mil62 ya kulipa waandishi!!
Ukiwakuta wanamwongelea utadhania ana maajabu sana!
Mara ana nyumba na biashara Dubai mara South Africa na blahblah kibao!
Matajiri kwenye wa uhakika ni Shabiby,Abood na Kishimba hata historia ianawatetea japo wako kwenye siasa ila Mbowe hapana!
 
Njama zilizosukwa toka 2015

Utawala wa kidiktekta wa mwendazake rais John Pombe Joseph Magufuli uliuwa biashara nyingi ikiwemo vyombo vya habari, ndiyo maana hadi Leo Tanzania haina magazeti ya maana katika ukanda huu wa Afrika ya Mashariki, Maziwa Makuu na Kusuni mwa Afrika

TOKA MAKTABA:



 
CCM ilaaniwe Kwa kuwa na uongozi mbovu 2015 - 2021 na kusababisha biashara nyingi kuyumba, kutetereka na zingine kufa kabisa huku mamia ya ajira za moja kwa moja bila kusahau mnyororo mzima uliokuwa ukutegemea biashara iliyokuwa kuathiriwa maisha ya watanzania wengi

2020 23 Juni
πŸ”΄#BREAKING: PIGO, GAZETI LA TANZANIA DAIMA LAFUTIWA LESENI


View: https://m.youtube.com/watch?v=IrWIMa9yTa0Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo idara ya Habari Maelezo imelifungia Gazeti la Tanzania Daima, ambapo kuanzia juni 24, 2020 gazeti hilo halitaruhusiwa kuchapishwa wala kusambazwa popote nchini au nje ya nchi kufuatia uamuzi wa kusitisha leseni uendeshaji na usambazaji wa Gazeti hilo.
 
Huyu ndo anataka kupewa nchi???!!! Dhuluma hii ya wazi kabisa anatesa familia za masikini yeye na mtoto wake, inamaana ameshindwa kumlipia mtoto wake madeni just 62ml kwake Ni Kubwa kiasi cha kujichafua namna hii?!..
 
Mbona hao waandishi ndio wamebwgwa? Umeandika kichwa Cha habari Kama unakimbizwa bila kuangalia yaliyomo kwenye taarifa.
 
Waandishi wa kisasa. Waandishi ndio wameshindwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…