marisi schwein
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 1,037
- 3,146
Kwa mara ya kwanza nimekubali JPM was right kumshughulikia huyu Makengeza. Huwezi kuwadhulumu waandishi wenye kipato cha chini halafu unataka chama cha familia yako wapewe nchi. Huyu kengeza akipewa nchi atadhulumu sana wanyonge wa nchi hii