Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Mwandishi wa Wasafi ambae jina sijalipata, kapata tip huko mtaani vibarua wa Tanesco wanalipwa elfu 15 kwa mwezi nae kaibeba kama ilivyo kaja nayo redioni bila hata kufanya kitafiti kidogo.
Angejiuliza tu 15,000 ukiigawa kwa siku 30 unapata jero kila siku, tenahapo akadai na NSSF wanaikata. Huyu mtu alipe nauli kiasi gani, mchana ale nini nk. na aende na utaratibu huo wa maisha kwa zaidi ya mwaka mmoja.
Pamoja na mtangazaji mwenzake, Zembwela kujaribu kukosoa malipo hayo hayawezekani bado akashikilia
Angejiuliza tu 15,000 ukiigawa kwa siku 30 unapata jero kila siku, tenahapo akadai na NSSF wanaikata. Huyu mtu alipe nauli kiasi gani, mchana ale nini nk. na aende na utaratibu huo wa maisha kwa zaidi ya mwaka mmoja.
Pamoja na mtangazaji mwenzake, Zembwela kujaribu kukosoa malipo hayo hayawezekani bado akashikilia