Waandishi wetu jamani, eti maswali yao kwa Marumo Gallats ni kuhusu Mayelle na Mzize

Waandishi wetu jamani, eti maswali yao kwa Marumo Gallats ni kuhusu Mayelle na Mzize

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Tunatia aibu kama taifa kuwa na waandishi wa aina hii. TCRA iinue kiwango cha vyuo vinavyotoa taaluma ya habari, wanafunzi wanaojiunga na vyuo vya habari na watu wanaofanya kazi za habari. Products ziko chini sana mpaka wageni wanawashangaa waandishi wetu. Yaani hawa waandishi kwa namna nyingine walikuwa wanawachongea na kuwachomea nguru Mayelle na Mzize kwa benchi na wachezaji wa Marumo. Yaani wanauza ramani ya vita ya yanga kwa adui yao, wakimaanisha kuwa wachezaji wa kuangaliwa sana ni mayelle na Mzize. Huu ni upuuzi wa hali ya juu, mbinu chafu za Simba.

 
Tunatia aibu kama taifa kuwa na waandishi wa aina hii. TCRA iinue kiwango cha vyuo vinavyotoa taaluma ya habari, wanafunzi wanaojiunga na vyuo vya habari na watu wanaofanya kazi za habari. Products ziko chini sana mpaka wageni wanawashangaa waandishi wetu. Yaani hawa waandishi kwa namna nyingine walikuwa wanawachongea na kuwachomea nguru Mayelle na Mzize kwa benchi na wachezaji wa Marumo. Yaani wanauza ramani ya vita ya yanga kwa adui yao, wakimaanisha kuwa wachezaji wa kuangaliwa sana ni mayelle na Mzize. Huu ni upuuzi wa hali ya juu, mbinu chafu za Simba.
Unawezaje kuihusisha timu kubwa na bora Afrika SIMBA SC katika hizi takataka!!!!!timu kubwa unaihuaishaje na kombe la LOSER?????


HUNA AKILI.
 
Tunatia aibu kama taifa kuwa na waandishi wa aina hii. TCRA iinue kiwango cha vyuo vinavyotoa taaluma ya habari, wanafunzi wanaojiunga na vyuo vya habari na watu wanaofanya kazi za habari. Products ziko chini sana mpaka wageni wanawashangaa waandishi wetu. Yaani hawa waandishi kwa namna nyingine walikuwa wanawachongea na kuwachomea nguru Mayelle na Mzize kwa benchi na wachezaji wa Marumo. Yaani wanauza ramani ya vita ya yanga kwa adui yao, wakimaanisha kuwa wachezaji wa kuangaliwa sana ni mayelle na Mzize. Huu ni upuuzi wa hali ya juu, mbinu chafu za Simba.


Kwa hata ramani yenyewe.mnayo 🤣🤣🤣🤣
 
Unawezaje kuihusisha timu kubwa na bora Afrika SIMBA SC katika hizi takataka!!!!!timu kubwa unaihuaishaje na kombe la LOSER?????


HUNA AKILI.
Kula chuma hicho
IMG_20230429_200940.jpg
 
Unashambulia elimu ya waandishi unaacha ya kwako. Hivi mtu mwenye akili timamu anaweza kuwahusisha vipi simba kama sio akili uchwara?
Ni mtu mwenye akili kubwa TU (critical thinker) ndie anaweza kuona Nia ovu ya muuliza swali, mwandishi anauliza swali lilelile la mayelle na Mzize ambalo limeshaulizwa na mwanamke mwenzake na kujibiwa kikamilifu. Hii inaonyesha kuwa Kuna mtu aliwaambia nendeni kaulizeni hili swali kwa lengo la kuwapa habari marumo kuwa wasimsahau Mzize kwenye mipango yao anaweza kuingizwa kucheza. Hebu jiulizwe swali la mayelle na Mzize lilikuwa na maana gani kwa wasikilizaji au kwa marumo.
 
Ni mtu mwenye akili kubwa TU (critical thinker) ndie anaweza kuona Nia ovu ya muuliza swali, mwandishi anauliza swali lilelile la mayelle na Mzize ambalo limeshaulizwa na mwanamke mwenzake na kujibiwa kikamilifu. Hii inaonyesha kuwa Kuna mtu aliwaambia nendeni kaulizeni hili swali kwa lengo la kuwapa habari marumo kuwa wasimsahau Mzize kwenye mipango yao anaweza kuingizwa kucheza. Hebu jiulizwe swali la mayelle na Mzize lilikuwa na maana gani kwa wasikilizaji au kwa marumo.
Ndio maana nimesema akili yako ina walakini. Umehoji elimu ya waandishi halafu hapo hapo unasema itakuwa wametumwa na simba. Sasa hapo unatofauti gani na waandishi?
 
Wewe mwenyewe mleta habari una uwezo mdogo ndo maana umeihusisha simba kwenye jambo ambalo haliwahusu.ikua na hoja nzuri lakini ulipoingiza ushabiki mandazi hoja yako imekosa mashiko.
 
Ndio maana nimesema akili yako ina walakini. Umehoji elimu ya waandishi halafu hapo hapo unasema itakuwa wametumwa na simba. Sasa hapo unatofauti gani na waandishi?
Ndio maana namimi nasema akili yako ni nyembamba sana, Yanga Haina adui hapa nchini kuwazidi madundukaa. Hebu ona Yale maswali ya Mzize na mayelle, hebu ona "caf" na "TFF" walivyoisambaza mitandaoni haraka taarifa kuwa Yanga kupigwa faini ya 82m siku moja kabla ya mechi dhidi ya marumo. Hii haitofautiani na Ile ya Faisal kutoroshwa Yanga siku moja kabla ya mechi Yao na Azam. Huu ni mfululizo wa hujuma za nje ya uwanja na ndani ya uwanja,
 
Wewe mwenyewe mleta habari una uwezo mdogo ndo maana umeihusisha simba kwenye jambo ambalo haliwahusu.ikua na hoja nzuri lakini ulipoingiza ushabiki mandazi hoja yako imekosa mashiko.
Nimekwambia mimi naongea lugha ya kimpira sio ushabiki wa kijingajinga tu, hata kama timu yangu inabananga ninaichana live ili ijirekebishe maana mpira una njia zake.
 
Back
Top Bottom