Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Wakati gani waarabu walishawahi kuandamana kupinga wananchi wa nchi nyingine wasionewe?
Wenye kujua nijuzeni.
Wenye kujua nijuzeni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thubutuu ,,, wapo kidini zaidi, mtu aliyegoma kufuata dini ya mababu wa kiarabu wao humuona kama sio binaadamuWakati gani waarabu walishawahi kuandamana kupinga wananchi wa nchi nyingine wasionewe?
Wenye kujua nijuzeni.
Uarabuni Hakuna demokrasia kabisa, kitendo cha kuandamana hadharani Watawala wa huko wanakihesabia kama ni Uasi dhidi ya Serikali, hivyo Waandamanaji hukabiliwa na kitisho kikubwa cha moja kwa moja cha kuweza kuuawa na Askari Polisi wa huko tena ni kuuawa bila onyo lolote like. Hali ilivyo katika nchi nyingi za ki-Arab ni sawa sawa na hali jinsi ilivyo hapa Tanzania, hakuna tofauti.Wakati gani waarabu walishawahi kuandamana kupinga wananchi wa nchi nyingine wasionewe?
Wenye kujua nijuzeni.
Somalia si waislam. Sudan je?Thubutuu ,,, wapo kidini zaidi, mtu aliyegoma kufuata dini ya mababu wa kiarabu wao humuona kama sio binaadamu
Wataandamana kesho kutwa tarehe 23 kumuunga mkono mbowe na wahuni wenzake a.k.aWakati gani waarabu walishawahi kuandamana kupinga wananchi wa nchi nyingine wasionewe?
Wenye kujua nijuzeni.
Aisee.Wataandamana kesho kutwa tarehe 23 kumuunga mkono mbowe na wahuni wenzake a.k.a
MAKHLUUQU TABU.
مخلوق تعب.
Kwa roho ipi waliyonayo?Wakati gani waarabu walishawahi kuandamana kupinga wananchi wa nchi nyingine wasionewe?
Wenye kujua nijuzeni.
Leo umeenda jumuiya?Kwa roho ipi waliyonayo?
Wakati gani waarabu walishawahi kuandamana kupinga wananchi wa nchi nyingine wasionewe?
Wenye kujua nijuzeni.
Ni majinga yanatakaga wote tuwe na akili za kipumbavu kama IranThubutuu ,,, wapo kidini zaidi, mtu aliyegoma kufuata dini ya mababu wa kiarabu wao humuona kama sio binaadamu
Huko Jordan, Pakistan, Yemen huandamana Sana kuitetea PalestineWakati gani waarabu walishawahi kuandamana kupinga wananchi wa nchi nyingine wasionewe?
Wenye kujua nijuzeni.
Kwa ivo mwanaume hatakiwi kuwazungumzia waarabu? Kwa nini?Hamuna kazi za kufanya sio? Kila siku kuwazungumzia waarabu, mwanamme mzima kuwa na aibu
Mhuni babakoWataandamana kesho kutwa tarehe 23 kumuunga mkono mbowe na wahuni wenzake a.k.a
MAKHLUUQU TABU.
مخلوق تعب.
Umepigwa kwenye mshono makhluq tabu wewe.Mhuni babako
Kwa ivo mwanaume hatakiwi kuwazungumzia waarabu? Kwa nini?