Waarabu kushangilia huku wakipeperusha bendera ya Tanzania inatuma ujumbe gani?

Sasa hapo upotoshaji uko wapi? Nimeamini kilicho semwa ni cha kiimani na kipo sawa.
 
Halafu nchi hii kuna watu wa ajabu sana, kwani hakuna waarabu wa Tanzania? hakuna wahindi wa Tanzania? hakuna waajemi wa Tanzania? kuna waarabu wengi sana wa Tanzania. Tusianze kutaka kufungua makaburi hapa kuna watu wana majina ya kitutsi na kihutu wengi tu lakini wa Tanzania, tena kule kwa wazee wa waraka majina mengi ya Kihutu na Tustsi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…