Waarabu kushangilia huku wakipeperusha bendera ya Tanzania inatuma ujumbe gani?

Waarabu kushangilia huku wakipeperusha bendera ya Tanzania inatuma ujumbe gani?

Kuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje?
Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote za Tanganyika kwa warabu wa DP world ya Dubai alafu tena waonekane warabu wakishangilia kama wamechukua kombe kwa nini?
Kweli viongozi wetu hawaoni hili?View attachment 2741665
Nimejikuta najishangaa kama Fala, ila sijajua wimbo wamanisha nini
 
Hao ni Shia wapo kwenye ibada yao ya Hajj kwenye mji wa Karbala Iraq,mleta mada anahangaika kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla,kaishiwa hoja,amebaki kuokoteza vi clip ambavyo hata havijui na kukimbilia kuanzisha thd JF ili kusambaza chuki.

Uzi ufungwe tu...

Hakuna sababu ya kuendelea kuwepo mada inayoeneza uongo juu ya watu wenye kufanya ibada, pengine hata wakiliombea Taifa kuepushwa na wenye husda, nia mbaya n.k...
 
Hao ni Watanzania walio kwenye mji mtakatifu Iraq walipokwenda kuhiji katika miji mitakatifu ya madhehebu ya Shia ya Najaf kulipo msikiti maarufu mtakatifu na Karbala kulipo kaburi la Imam Husayn .
Lakini hao ni maarufu saana Kwa kuondosha dollars bongo kumpeleka Dubai , halafu wanazileta tena bongo kama wanepata mkopo wenye riba nafuu
 
Mleta mada una akili za kijinga sana,ni umasikini wa akili yako ndio umekufanya kupost hii thd ambayo wala huwajui hao wanaoimba kwenye hiyo clip,

Hiyo ni ibada ya washia wakiwa kwenye mji wao mtakatibu wa Karbala Iraq,na hua wanaenda kwenye mji wao mtakatifu wa Najaf kila mwaka ambako ndio lipo kaburi la Iman Husayn,hii ibada hufanyika kila mwaka ambayo kwao ni Hija hiyo,

Hiyo ibada hua wanaimba kwa lugha ya kishia huku wakijipiga vifua,hiyo lugha sio kiarabu wala hao watu sio waarabu,

Hao waumini ni wabongo,wameamua tu kubeba bendera ya nchi yao,ni kama wewe uende kuangalia mechi ya kombe la Dunia kisha upeperushe bendera ya nchi yako,

Wewe Mama unaishi maisha ya mateso sana kwa chuki zako za kijinga na ukosefu wa elimu pia huna uwezo wa kufikiri na kuchambua mambo kabla ya kukurupuka na kuja kutupia hapa uchafu wako.
Msamehe anatakathread yake ifike 1k comment hajawai fikisha
 
Mikataba inayofuata yote itakuwa siri, hiyo transparency unayoiomba ni ipi?
Yes kikawaida HGA ni confidential ila kufuatia mauzauza ya IGA ya DPW na Bandari, kumetengeneza public interest itakayo ilazimu HGA zake ziwe transparent ili tuone na kujiridhisha zile kasoro za kisheria za IGA ya DPW haziko reflected kwenye HGA.
Public interest surpluses everything!.
P
 
Kuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje?
Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote za Tanganyika kwa warabu wa DP world ya Dubai alafu tena waonekane warabu wakishangilia kama wamechukua kombe kwa nini?
Kweli viongozi wetu hawaoni hili?View attachment 2741665
Acha wasiwasi unaombewa duwa nchi yako namali zako zikunufaishe sio viongozi wadini wanachota na kupeleka nje kazi yako wewe itikia aamina
 
Kuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje?
Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote za Tanganyika kwa warabu wa DP world ya Dubai alafu tena waonekane warabu wakishangilia kama wamechukua kombe kwa nini?
Kweli viongozi wetu hawaoni hili?View attachment 2741665
Kwaiyo viongozi wawazuie watu kushangilia?
 
Ona haka nako,kakiona tu thd inahusu waarabu au DP World lazima kajipitishe huku kanatingisha kalio,wewe hujawahi kua na akili zaidi ya kuandika upuuzi wako tu humu.
Sasa kwanini unahangaishwa na anayeandika upuuzi, hizi sindano nakwambia sitaziacha, nitakuchoma mpaka na minyoo ndani ya tumbo lako nayo isikie maumivu.
 
Sasa kwanini unahangaishwa na anayeandika upuuzi, hizi sindano nakwambia sitaziacha, nitakuchoma mpaka na minyoo ndani ya tumbo lako nayo isikie maumivu.
Lazima tuwe karibu na vichaa kama wewe ili msije mkaleta madhara kwa jamii,
Huna sindano yeyote zaidi ya kujionyesha ni jinsi gani huna kitu upstairs.
 
Bandari haijauzwa, tumewapa bure milele. Bandari ingekuwa imeuzwa serikali I gepata, hela zimeingia mifukoni mwa wajanja wachache
F3CF3BE8-7E4A-4D99-98A5-6635EBDA9EB5.jpeg
 
Nchi imeenda hiyo. T
Kuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje?
Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote za Tanganyika kwa warabu wa DP world ya Dubai alafu tena waonekane warabu wakishangilia kama wamechukua kombe kwa nini?
Kweli viongozi wetu hawaoni hili?View attachment 2741665
Tumeshakuwa ni Koloni la Waarabu
 
Lazima tuwe karibu na vichaa kama wewe ili msije mkaleta madhara kwa jamii,
Huna sindano yeyote zaidi ya kujionyesha ni jinsi gani huna kitu upstairs.
Mtoto una sauti nzuri sana ukilalamika ndio maana huwa sichoki kukuchoma sindano zangu ili niwe naiskia tu
 
Back
Top Bottom