4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Nimejikuta najishangaa kama Fala, ila sijajua wimbo wamanisha niniKuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje?
Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote za Tanganyika kwa warabu wa DP world ya Dubai alafu tena waonekane warabu wakishangilia kama wamechukua kombe kwa nini?
Kweli viongozi wetu hawaoni hili?View attachment 2741665
Ndio maana wanaongopa kuwa hakuna uhaba wa $$ huku wanahangaika kwenda kutembeza bakuli kwa wafadhiri!! Hela za Royal Tour wamekwisha zificha Uarabuni kwa wajomba !Bandari haijauzwa, tumewapa bure milele. Bandari ingekuwa imeuzwa serikali I gepata, hela zimeingia mifukoni mwa wajanja wachache
Hao ni Shia wapo kwenye ibada yao ya Hajj kwenye mji wa Karbala Iraq,mleta mada anahangaika kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla,kaishiwa hoja,amebaki kuokoteza vi clip ambavyo hata havijui na kukimbilia kuanzisha thd JF ili kusambaza chuki.
Mikataba inayofuata yote itakuwa siri, hiyo transparency unayoiomba ni ipi?Hakuna hata milimita moja ya ardhi ya JMT iliyouzwa!. Mchakato wa DPW na Bandari zetu unaendelea !. Baada ya IGA ya DPW na Bandari zetu, licha ya mapungufu, HGA yake inakuja. Ombi kwa Serikali yetu sikivu, tunaomba Maximum Transparency kwenye HGA
P
Lakini hao ni maarufu saana Kwa kuondosha dollars bongo kumpeleka Dubai , halafu wanazileta tena bongo kama wanepata mkopo wenye riba nafuuHao ni Watanzania walio kwenye mji mtakatifu Iraq walipokwenda kuhiji katika miji mitakatifu ya madhehebu ya Shia ya Najaf kulipo msikiti maarufu mtakatifu na Karbala kulipo kaburi la Imam Husayn .
Msamehe anatakathread yake ifike 1k comment hajawai fikishaMleta mada una akili za kijinga sana,ni umasikini wa akili yako ndio umekufanya kupost hii thd ambayo wala huwajui hao wanaoimba kwenye hiyo clip,
Hiyo ni ibada ya washia wakiwa kwenye mji wao mtakatibu wa Karbala Iraq,na hua wanaenda kwenye mji wao mtakatifu wa Najaf kila mwaka ambako ndio lipo kaburi la Iman Husayn,hii ibada hufanyika kila mwaka ambayo kwao ni Hija hiyo,
Hiyo ibada hua wanaimba kwa lugha ya kishia huku wakijipiga vifua,hiyo lugha sio kiarabu wala hao watu sio waarabu,
Hao waumini ni wabongo,wameamua tu kubeba bendera ya nchi yao,ni kama wewe uende kuangalia mechi ya kombe la Dunia kisha upeperushe bendera ya nchi yako,
Wewe Mama unaishi maisha ya mateso sana kwa chuki zako za kijinga na ukosefu wa elimu pia huna uwezo wa kufikiri na kuchambua mambo kabla ya kukurupuka na kuja kutupia hapa uchafu wako.
Yes kikawaida HGA ni confidential ila kufuatia mauzauza ya IGA ya DPW na Bandari, kumetengeneza public interest itakayo ilazimu HGA zake ziwe transparent ili tuone na kujiridhisha zile kasoro za kisheria za IGA ya DPW haziko reflected kwenye HGA.Mikataba inayofuata yote itakuwa siri, hiyo transparency unayoiomba ni ipi?
Acha wasiwasi unaombewa duwa nchi yako namali zako zikunufaishe sio viongozi wadini wanachota na kupeleka nje kazi yako wewe itikia aaminaKuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje?
Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote za Tanganyika kwa warabu wa DP world ya Dubai alafu tena waonekane warabu wakishangilia kama wamechukua kombe kwa nini?
Kweli viongozi wetu hawaoni hili?View attachment 2741665
Duh!Wamefanikiwa kupenyeza insider wao kwenye system na yupo top
Kwaiyo viongozi wawazuie watu kushangilia?Kuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje?
Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote za Tanganyika kwa warabu wa DP world ya Dubai alafu tena waonekane warabu wakishangilia kama wamechukua kombe kwa nini?
Kweli viongozi wetu hawaoni hili?View attachment 2741665
mzee?Wamefanikiwa kupenyeza insider wao kwenye system na yupo top
Sasa kwanini unahangaishwa na anayeandika upuuzi, hizi sindano nakwambia sitaziacha, nitakuchoma mpaka na minyoo ndani ya tumbo lako nayo isikie maumivu.Ona haka nako,kakiona tu thd inahusu waarabu au DP World lazima kajipitishe huku kanatingisha kalio,wewe hujawahi kua na akili zaidi ya kuandika upuuzi wako tu humu.
Lazima tuwe karibu na vichaa kama wewe ili msije mkaleta madhara kwa jamii,Sasa kwanini unahangaishwa na anayeandika upuuzi, hizi sindano nakwambia sitaziacha, nitakuchoma mpaka na minyoo ndani ya tumbo lako nayo isikie maumivu.
Bandari haijauzwa, tumewapa bure milele. Bandari ingekuwa imeuzwa serikali I gepata, hela zimeingia mifukoni mwa wajanja wachache
Tumeshakuwa ni Koloni la WaarabuKuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje?
Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote za Tanganyika kwa warabu wa DP world ya Dubai alafu tena waonekane warabu wakishangilia kama wamechukua kombe kwa nini?
Kweli viongozi wetu hawaoni hili?View attachment 2741665
Mtoto una sauti nzuri sana ukilalamika ndio maana huwa sichoki kukuchoma sindano zangu ili niwe naiskia tuLazima tuwe karibu na vichaa kama wewe ili msije mkaleta madhara kwa jamii,
Huna sindano yeyote zaidi ya kujionyesha ni jinsi gani huna kitu upstairs.