Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Wakuu Wenzetu Waarabu na Wahindi Wanawaandaa Watoto Wao kuwa na uwezo wa ku manage Biashara kubwa kama hii ya mabus wakiwa vijana wadogo.
Huyu Anaitwa Amran Ally Mohamed Said au Amran Kifaru ndio mmiliki na msimamizi Mkuu wa Mabus ya Ally's Star.
Ally Star ni Mabus yanayofanya Root za Dar To Mwanza, Kuna Mwanza to Tabora, Kuna Mwanza Kahama, Kuna Mwanza To Dom nk.
Mzee Wake Amran Kifaru ameamua kumwachia umiliki na usimamizi Wa Hii Biashara Kubwa huyu Kijana Mdogo Kabisa.
Je, Sisi Tunakosea wapi Kwenye kuwaandaa Watoto wetu kufanya Na Kusimamia miradi mikubwa Kama Hii?
Huyu Anaitwa Amran Ally Mohamed Said au Amran Kifaru ndio mmiliki na msimamizi Mkuu wa Mabus ya Ally's Star.
Ally Star ni Mabus yanayofanya Root za Dar To Mwanza, Kuna Mwanza to Tabora, Kuna Mwanza Kahama, Kuna Mwanza To Dom nk.
Mzee Wake Amran Kifaru ameamua kumwachia umiliki na usimamizi Wa Hii Biashara Kubwa huyu Kijana Mdogo Kabisa.
Je, Sisi Tunakosea wapi Kwenye kuwaandaa Watoto wetu kufanya Na Kusimamia miradi mikubwa Kama Hii?