Waarabu na Wahindi wanawezaje ku-manage biashara kubwa wakiwa na umri mdogo?

Waarabu na Wahindi wanawezaje ku-manage biashara kubwa wakiwa na umri mdogo?

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Wakuu Wenzetu Waarabu na Wahindi Wanawaandaa Watoto Wao kuwa na uwezo wa ku manage Biashara kubwa kama hii ya mabus wakiwa vijana wadogo.

Huyu Anaitwa Amran Ally Mohamed Said au Amran Kifaru ndio mmiliki na msimamizi Mkuu wa Mabus ya Ally's Star.

Ally Star ni Mabus yanayofanya Root za Dar To Mwanza, Kuna Mwanza to Tabora, Kuna Mwanza Kahama, Kuna Mwanza To Dom nk.

Mzee Wake Amran Kifaru ameamua kumwachia umiliki na usimamizi Wa Hii Biashara Kubwa huyu Kijana Mdogo Kabisa.

Je, Sisi Tunakosea wapi Kwenye kuwaandaa Watoto wetu kufanya Na Kusimamia miradi mikubwa Kama Hii?

Screenshot_20221103-090354.jpg
 
Wakuu Wenzetu Waarabu na Wahindi Wanawaandaa Watoto Wao kuwa na uwezo wa ku manage Biashara kubwa kama hii ya mabus wakiwa vijana wadogo.

Huyu Anaitwa Amran Ally Mohamed Said au Amran Kifaru ndio mmiliki na msimamizi Mkuu wa Mabus ya Ally's Star.

Ally Star ni Mabus yanayofanya Root za Dar To Mwanza, Kuna Mwanza to Tabora, Kuna Mwanza Kahama, Kuna Mwanza To Dom nk.

Mzee Wake Amran Kifaru ameamua kumwachia umiliki na usimamizi Wa Hii Biashara Kubwa huyu Kijana Mdogo Kabisa.

Je, Sisi Tunakosea wapi Kwenye kuwaandaa Watoto wetu kufanya Na Kusimamia miradi mikubwa Kama Hii?

View attachment 2405585
Wa hindi na waharabu ni waminifu wenyewe kwa wenyewe wana pendana sanaa jambo ambalo sio kwa wa bongo
 
Shida ziko nyingi sana lakini nadhani hizo nazo tukaziangalie:

1. Wahindi au Waarabu kwao biashara ni uti wa mgongo wa maisha yao na WATOTO WAO WANAKULIA KATIKA KAZI HIZO tofauti na waswahili wengi ambao TUMEKULIA KATIKA UKULIMA NA UFUGAJI halafu unataka kufanya biashara ya kuuza na kununua au service. Kwa hakika watatoboa talented au walioamua kujitoa ila wengi watafeli.

2. Wengi wetu huwatenga watoto wetu na tunavyovifanya kama nyenzo za kujipatia vipato hivyo unakuja kulqzimisha kumfunza mtoto ameshakuwa mkubwa na YEYE ana ndoto zake hivyo LAZIMA AHARIBU.

3. Kujenga nidhamu na kusomesha watoto masomo yanayoendana na kile tulichowakuza nacho au kinafanywa na familia. wewe una biashara ya hapa na pale halafu TOTO linasoma SOCIOLOGY, lazima mvurugane kwa HATAWEZA KUMAINSTREAM BIASHARA YAKO..... Angalia MO DEWJI alichosomeshwa na WAZAZI wake na nafasi alipewa baada ya kumaliza SHULE!!!!

Ongeza na nyingine
 
Back
Top Bottom