ministrant
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 754
- 1,478
Kwa huku kwetu sio rahisi, ila nchini kwao wamejaa pomoniila ni nadra kukuta omba omba muarabu au muhindi kitaa! tofauti na wabongo
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa huku kwetu sio rahisi, ila nchini kwao wamejaa pomoniila ni nadra kukuta omba omba muarabu au muhindi kitaa! tofauti na wabongo
Kwa huku kwetu sio rahisi, ila nchini kwao wamejaa pomoni
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Ukinunua gari ya mkononi au ukiagiza nje na ikachakalia kwako na wewe si mtunzaji wa magari+ kubadili madereva kila siku, basi hio biashara wewe hauna ujuzi nayo na hautaweza kuwa kwenye hiyo biashara kwa muda mrefu na presha na sukari utaipata tuu.
Biashara ya gari inataka ulijue gari sawa na unaona huyo kijana hapo naye anaendesha lengo ni kuijua gari kiundani zaidi na zaidi.
Mimi naikubali sana hii biashara inalipa saana saaana lakini ndio hapo juu uwe umekamilika kuyajua magari na madereva tabia zao pia.
Sasa wewe mayu na magari wapi na wapi ndugu, wewe lima alizeti tuu ndio kitu unakiweza.Kama haujawahi kufanya biashara hii utakuwa unaongea tu utopolo
Aisee baadala ya kumfundisha mtoto awe afisa mifugo na biashara ili akuze Mali za familiaKWANZA HAO WAZAZI WENYE HIZO HELA KWA WAAFRICA NIWACACHE SANA NA BADO FACTORS ZAKO ZINACHANGIA SANA mzazi anauza mifugo ili mtoto akasomee ualimu
Mayu ni mjomba kwa kinyiramba huyo jamaa ndio namwabia kaa hana asili ni magari aendelee kulima alizeti na vitunguu, biashara ya nagari inataka uwe na uelewa kuaniza ndani ya familia sio unakurupuka tuu utapata hizo shida za presha.Kwahiyo hii Id ni ya Mayu ?
Kuna Dogo mmoja anaitwa elikanafx ni mtu wa forex alisema hayo mabasi anashare zake [emoji23][emoji23][emoji23]na yey ni mmiliki huyu kijana na mwanafunzi wa Ontario .
Mbona kuna watoto wakichaga wanawakimbiza hawa wahindi na waarabu
😂😂😂😂Achana na story za vijana wapuuzi wa forex ni wehu, pesa haijawahi kutafutwa kwa forex ushawahi kuona list ya matajiri duniani forex inatajwa kama chanzo cha utajiri?
Kwa michembe hapana labda kama unatania.Tunakosea kula michembe kama chakula. Unategemea nini?
Na hata walio nazo bado wanaubinafsi yaani sisi ni wabinafsi sijapata ona.Sisi watanzania tunaweza sana ila tatizo letu wazazi wetu hawana hizo mali [emoji16][emoji16]
Sisi huku wivu sana na roho mbaya vimetujaaHilo nakubaliana nalo kama la kwanza na la msingi!
Nenda kule kwenye nchi zao utashangaaila ni nadra kukuta omba omba muarabu au muhindi kitaa! tofauti na wabongo
Aaah nimekuelewa.Mayu ni mjomba kwa kinyiramba huyo jamaa ndio namwabia kaa hana asili ni magari aendelee kulima alizeti na vitunguu, biashara ya nagari inataka uwe na uelewa kuaniza ndani ya familia sio unakurupuka tuu utapata hizo shida za presha.
Dah sahihiSisi tunakosea 1. Umalaya 2. Ulevi 3. Kutaka jionyesha kuwa tuna pesa sasa.