Waarabu ni wanafiki na waoga mno, wameshindwa kuisaidia Palestina na Iran

Waarabu ni wanafiki na waoga mno, wameshindwa kuisaidia Palestina na Iran

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Kila mara na kila wakati tumekuwa tukisema hapa JF, uislamu hauwezi kuwaunganisha waarabu na haujawahi kuwaunganisha waarabu (kwa sababu waarabu sio waumini wazuri wa kiislamu japokuwa hutumia uislamu kama utamaduni wao wa kujitambulisha, kujisambaza duniani na kufunikia mambo yao).
Ni rahisi sana kwa siasa na maslahi ya kiuchumi kuwaunganisha waarabu kuliko dini.

Kwa mfano tangu vita vya mashariki ya kati vilipuke 7 Oktoba, mpaka leo hii hakuna taifa lolote la kiarabu lililojitoa kimasomaso kuwaunga mkono kivita HAMAS. Jamaa wameendelea kutembezewa kichapo kutoka kwa Israel mpaka kupelekea karibu ukanda wote wa Gaza kufutika.

Sasa kimbembe kimemkuta Iran, kachokozwa na Israel kwa maafisa na makamanda wake kuuwawa kwa mabomu yaliyosambaratisha ubalozi wake kule Syria. Iran akachimba mkwara mzito, akajiandaa fresh kwa wiki mbili akaanza kufyatua makombora ya masafa ya mbali (Drones, cruise, missiles) zaidi ya 300 kuelekea maeneo mahususi ndani ya Israel lakini karibu yote yakizuiwa kirahisi kabisa huku nchi za kiarabu zenye misingi ya kiislamu kama Jordan na Saudi Arabia zikihusika kuisaidia Israel isiguswe na kombora lolote la Iran.

Kama vita hii itaendelea, huenda Israel ikatumia anga na ardhi ya nchi za kiarabu kuitandika Iran.

Zile fikra za watu weusi kuukumbatia uarabu kwa kigezo cha kudumisha umoja wa kiimani baina ya waumini wa kiislamu taratibu zinaanza kupungua na huko baadaye huenda zikafutika.
 
Irael ni taifa teule, hivyo nafsi na roho za maadui hufitinishwa kila wanapotaka kuungana.
 
Familia ya kifalme ya Saudi Arabia ilichapisha kwenye tovuti yake kuhusu jukumu la nchi hiyo katika kuilinda Israel dhidi ya mashambulizi ya Iran.

Saudi Arabia ilikiri kwamba imesaidia muungano mpya wa kijeshi wa kikanda - Israel, Marekani, Jordan, Uingereza na Ufaransa - kuzima shambulio la Iran dhidi ya taifa la Kiyahudi mapema Jumapili asubuhi

Hadithi hiyo ilizungumzia ushiriki wa Saudia katika operesheni ya kujihami ya kijeshi ambapo 99% ya ndege zisizo na rubani na makombora ya Iran yaliharibiwa kabla ya kulenga shabaha zao.

Jordan na saudia zilikuwa haraka kusema kwamba katika kuisaidia Israeli, zilikuwa zinajilinda zenyewe.kutokana na zile drones na missles zilikuwa zinakatisha katika anga yao.

Na wakaenda mbali zaidi wakasema iran hakuwahi kuwa rafiki yao kisiasa kiuchumi na kidiplomasia ukilinganisha na urafiki wao na isratoo na nchi za magharibi.

Waharabu wao kwa wao huwa wanachuki binafsi na jeuri zilizokubuuu
 
Zile fikra za watu weusi kuukumbatia uarabu kwa kigezo cha kudumisha umoja wa kiimani baina ya waumini wa kiislamu taratibu zinaanza kupungua na huko baadaye huenda zikafutika.
Shekh Mwaipopo alishazinduka na waarabu wa Middle East.

Wanatumia uislam kama hadaa kwa wanyonge lakini hawana uislam wale.
 
Iran sio waarabu Ni Persian.hata wao wana vurugu ya ndan kwa ndan sbb Islamic walibeba nchi hivo wapinzan hawawakubal kikiwaka si ajabu Israel ikapata wasaidiz wa ndan kuwabonda watawala
The Art of the War, Devil's Advocate Conspiracy!

Israel ina mtaji wa kutosha wa Wapiganaji Vita ndani ya Taifa la Iran. Wapinzani wa ndani wa utawala wa kidhalimu wa Kiislamu uliopo Iran watatumika kama mtaji wa Vita kwa taifa la Israel ktk kuupiga vita utawala wa Iran
 
Punguza mambo ya udini ndugu. Mambo ya Uislam na Ukiristo hayahusiani na hii vita. Anyway Israel sio hata wakristo na hawaamini kabisaa kama yesu ni mkombozi.
Hakuna mahali nimetaja ukristo, mimi nimezungumzia Uarabu katika kivuli cha dini ya kiislamu.

Narudia kusema tena, Uislamu hauwezi kuwaunganisha waarabu, na uarabu hauwezi kuwaunganisha waislamu.

Watu weusi waanze sasa kujitambua.
 
Hao Hamas hata ww ungekuwa Kiongozi mmojawapo wanchi huko mashariki ya kati usingewasaidia, hawasaidiki hao watu kwanza hawana shukrani waliowafungia milango Wana akili zao timamu tu, Egypt sio mjinga kujenga ukuta kule Rafah anawajua vizuri hao mbuzi,
Kila mara na kila wakati tumekuwa tukisema hapa JF, uislamu hauwezi kuwaunganisha waarabu na haujawahi kuwaunganisha waarabu (kwa sababu waarabu sio waumini wazuri wa kiislamu japokuwa hutumia uislamu kama utamaduni wao wa kujitambulisha, kujisambaza duniani na kufunikia mambo yao).
Ni rahisi sana kwa siasa na maslahi ya kiuchumi kuwaunganisha waarabu kuliko dini.

Kwa mfano tangu vita vya mashariki ya kati vilipuke 7 Oktoba, mpaka leo hii hakuna taifa lolote la kiarabu lililojitoa kimasomaso kuwaunga mkono kivita HAMAS. Jamaa wameendelea kutembezewa kichapo kutoka kwa Israel mpaka kupelekea karibu ukanda wote wa Gaza kufutika.

Sasa kimbembe kimemkuta Iran, kachokozwa na Israel kwa maafisa na makamanda wake kuuwawa kwa mabomu yaliyosambaratisha ubalozi wake kule Syria. Iran akachimba mkwara mzito, akajiandaa fresh kwa wiki mbili akaanza kufyatua makombora ya masafa ya mbali (Drones, cruise, missiles) zaidi ya 300 kuelekea maeneo mahususi ndani ya Israel lakini karibu yote yakizuiwa kirahisi kabisa huku nchi za kiarabu zenye misingi ya kiislamu kama Jordan na Saudi Arabia zikihusika kuisaidia Israel isiguswe na kombora lolote la Iran.

Kama vita hii itaendelea, huenda Israel ikatumia anga na ardhi ya nchi za kiarabu kuitandika Iran.

Zile fikra za watu weusi kuukumbatia uarabu kwa kigezo cha kudumisha umoja wa kiimani baina ya waumini wa kiislamu taratibu zinaanza kupungua na huko baadaye huenda zikafutika.
 
Familia ya kifalme ya Saudi Arabia ilichapisha kwenye tovuti yake kuhusu jukumu la nchi hiyo katika kuilinda Israel dhidi ya mashambulizi ya Iran.

Saudi Arabia ilikiri kwamba imesaidia muungano mpya wa kijeshi wa kikanda - Israel, Marekani, Jordan, Uingereza na Ufaransa - kuzima shambulio la Iran dhidi ya taifa la Kiyahudi mapema Jumapili asubuhi

Hadithi hiyo ilizungumzia ushiriki wa Saudia katika operesheni ya kujihami ya kijeshi ambapo 99% ya ndege zisizo na rubani na makombora ya Iran yaliharibiwa kabla ya kulenga shabaha zao.

Jordan na saudia zilikuwa haraka kusema kwamba katika kuisaidia Israeli, zilikuwa zinajilinda zenyewe.kutokana na zile drones na missles zilikuwa zinakatisha katika anga yao.

Na wakaenda mbali zaidi wakasema iran hakuwahi kuwa rafiki yao kisiasa kiuchumi na kidiplomasia ukilinganisha na urafiki wao na isratoo na nchi za magharibi.

Waharabu wao kwa wao huwa wanachuki binafsi na jeuri zilizokubuuu
Baada ya hili tukio Marekani itakita miziz zaidi hapo mashariki ya kati huku iran ikibaki pekeake.
 
Back
Top Bottom