Waarabu ni wanafiki na waoga mno, wameshindwa kuisaidia Palestina na Iran

Waarabu ni wanafiki na waoga mno, wameshindwa kuisaidia Palestina na Iran

Familia ya kifalme ya Saudi Arabia ilichapisha kwenye tovuti yake kuhusu jukumu la nchi hiyo katika kuilinda Israel dhidi ya mashambulizi ya Iran.

Saudi Arabia ilikiri kwamba imesaidia muungano mpya wa kijeshi wa kikanda - Israel, Marekani, Jordan, Uingereza na Ufaransa - kuzima shambulio la Iran dhidi ya taifa la Kiyahudi mapema Jumapili asubuhi

Hadithi hiyo ilizungumzia ushiriki wa Saudia katika operesheni ya kujihami ya kijeshi ambapo 99% ya ndege zisizo na rubani na makombora ya Iran yaliharibiwa kabla ya kulenga shabaha zao.

Jordan na saudia zilikuwa haraka kusema kwamba katika kuisaidia Israeli, zilikuwa zinajilinda zenyewe.kutokana na zile drones na missles zilikuwa zinakatisha katika anga yao.

Na wakaenda mbali zaidi wakasema iran hakuwahi kuwa rafiki yao kisiasa kiuchumi na kidiplomasia ukilinganisha na urafiki wao na isratoo na nchi za magharibi.

Waharabu wao kwa wao huwa wanachuki binafsi na jeuri zilizokubuuu

Hiyo taarifa sio ya kweli.

Hiyo inayoitwa website ya houseofsaud sio website rasmi ya Saudi Arabia wala Familia ya kifalme ya Saudla.

Na Saudia wamekanusha taarifa hiyo.
 
Kila mara na kila wakati tumekuwa tukisema hapa JF, uislamu hauwezi kuwaunganisha waarabu na haujawahi kuwaunganisha waarabu (kwa sababu waarabu sio waumini wazuri wa kiislamu japokuwa hutumia uislamu kama utamaduni wao wa kujitambulisha, kujisambaza duniani na kufunikia mambo yao).
Ni rahisi sana kwa siasa na maslahi ya kiuchumi kuwaunganisha waarabu kuliko dini.

Kwa mfano tangu vita vya mashariki ya kati vilipuke 7 Oktoba, mpaka leo hii hakuna taifa lolote la kiarabu lililojitoa kimasomaso kuwaunga mkono kivita HAMAS. Jamaa wameendelea kutembezewa kichapo kutoka kwa Israel mpaka kupelekea karibu ukanda wote wa Gaza kufutika.

Sasa kimbembe kimemkuta Iran, kachokozwa na Israel kwa maafisa na makamanda wake kuuwawa kwa mabomu yaliyosambaratisha ubalozi wake kule Syria. Iran akachimba mkwara mzito, akajiandaa fresh kwa wiki mbili akaanza kufyatua makombora ya masafa ya mbali (Drones, cruise, missiles) zaidi ya 300 kuelekea maeneo mahususi ndani ya Israel lakini karibu yote yakizuiwa kirahisi kabisa huku nchi za kiarabu zenye misingi ya kiislamu kama Jordan na Saudi Arabia zikihusika kuisaidia Israel isiguswe na kombora lolote la Iran.

Kama vita hii itaendelea, huenda Israel ikatumia anga na ardhi ya nchi za kiarabu kuitandika Iran.

Zile fikra za watu weusi kuukumbatia uarabu kwa kigezo cha kudumisha umoja wa kiimani baina ya waumini wa kiislamu taratibu zinaanza kupungua na huko baadaye huenda zikafutika.
You watch too much cnn and bbc
Kwenye art of war kuna decoy strikes za kumfanya adui aconcetrate huko..
Makombora ya Iran waliyotaka yapige target yamepiga na danganya toto za kuwazuga ndo hizo unazosikia wameintercept
Kambi mvili za kijeshi za Israel zimechakazwa
Maana yake ni kwamba wameshindwa kudetect zile deadly cruise missiles.
Nchi 6 zimeshindwa kuzuia military bases za israel kudundwa.
 
kama mfalme wa Jordan no chotara wa kiingereza unategemea watoboe.
 
Kila mara na kila wakati tumekuwa tukisema hapa JF, uislamu hauwezi kuwaunganisha waarabu na haujawahi kuwaunganisha waarabu (kwa sababu waarabu sio waumini wazuri wa kiislamu japokuwa hutumia uislamu kama utamaduni wao wa kujitambulisha, kujisambaza duniani na kufunikia mambo yao).
Ni rahisi sana kwa siasa na maslahi ya kiuchumi kuwaunganisha waarabu kuliko dini.

Kwa mfano tangu vita vya mashariki ya kati vilipuke 7 Oktoba, mpaka leo hii hakuna taifa lolote la kiarabu lililojitoa kimasomaso kuwaunga mkono kivita HAMAS. Jamaa wameendelea kutembezewa kichapo kutoka kwa Israel mpaka kupelekea karibu ukanda wote wa Gaza kufutika.

Sasa kimbembe kimemkuta Iran, kachokozwa na Israel kwa maafisa na makamanda wake kuuwawa kwa mabomu yaliyosambaratisha ubalozi wake kule Syria. Iran akachimba mkwara mzito, akajiandaa fresh kwa wiki mbili akaanza kufyatua makombora ya masafa ya mbali (Drones, cruise, missiles) zaidi ya 300 kuelekea maeneo mahususi ndani ya Israel lakini karibu yote yakizuiwa kirahisi kabisa huku nchi za kiarabu zenye misingi ya kiislamu kama Jordan na Saudi Arabia zikihusika kuisaidia Israel isiguswe na kombora lolote la Iran.

Kama vita hii itaendelea, huenda Israel ikatumia anga na ardhi ya nchi za kiarabu kuitandika Iran.

Zile fikra za watu weusi kuukumbatia uarabu kwa kigezo cha kudumisha umoja wa kiimani baina ya waumini wa kiislamu taratibu zinaanza kupungua na huko baadaye huenda zikafutika.
Wewe kichwa chako kibovu sanaa hao waIran sio waarabu kwnz hata kiimani wapo tofauti na uislam hivyo basi ataiva vipi na msaudia?..isitoshe licha ya ivo chanzo cha mgogoro uliopo Gaza muhusika mkuu ni Iran ndo master planning wa yote..lazima uelewe tofauti zao za kiitikadi na kisiasa..Muirani lazima ujue ni Wahindi wa uajemi
 
ambacho kingewaunganisha hao mataifa ni "palestina" tu. ila ukiondoa palestina, wasaudia na mataifa ya kiarabu huwa yanamuona iran ambaye ni Mshia ni kafiri na sio muislam. wasuni wanaamini washia sio waislam.
 
Back
Top Bottom