Waarabu wa Gaza walalamika kulishwa ugali, wasema ni chakula cha Ndege

Waarabu wa Gaza walalamika kulishwa ugali, wasema ni chakula cha Ndege

Marekani Ndo Anawadekeza Waarabu anawapiga Huku anadondosha Mifuko ya Vyakula Sio Kwa Israel mtoa Roho Ni Kipigo Tuu Dawa Ya Jeuri Kiburi
 
Kwa hiyo hujaona alivyo leta mada kwa mtindo wa dhihaka ?
Kwani mahindi,mchele,shahiri,vyote si ndege wanakula , sasa ni kipi kibaya walicho kiongea,? alafu kingine hiyo habari aliyo iweka ameipotosha labda hajui kiingereza zivuri.

Kwa hiyo serikali ya CCM ikianzisha Vita dhidi ya Kenya basi hata ww na familia yako mnatakiwa kuuawa au kunyimwa chakula kisa serikali yenu ndo iliyo anzisha vita?

Hii tabia yenu ya kufurahia mateso ya binadamu wenzenu kisa nyinyi mpo kwenye nchi yenye amani ni tabia ya kipumbavu.
Vipi October 7 hukuona hao wanaolalamika kupewa chakula cha wanyama na Ndege walifurahia Gaza yote, wakiungwa mkono na Muslim wote.. Hii vita ya Magaidi imefunika upumbavu wa Hamas na kugeuza ni uonevu wa Israel na wasema ukweli.. ila takiya imeshindwa kifua dafu mbele ya ukweli.. geuza maneno yangu yote ila ukweli utabakia pale pale na uislam umejionesha ulivyo na walivyo kuwa ni ushetani.. hebu tuambie kama na wewe ulilaani kitendo cha Hamas ili tujue ulivyo
 
Kwa hiyo mm kuwa muislam kuna mahusiano gani na ww kufurahia mateso dhidi ya binadamu wenzao?
Kwahiyo Bible yako unayo isoma imekufundisha kuwa unatakiwa kufurahia mateso ya binadamu wenzio kisa sio wa dini yako?

Kitendo cha kuita binadamu wenzio majitu unaonesha jinsi gani ulivyo jaa chuki za kipumbavu, na bahati nzuri mungu wako yesu alisha sema chuki hukaa kifuani mwa mpumbavu hivyo ww ni mpumbavu.
Kwa hiyo mm kuwa muislam kuna mahusiano gani na ww kufurahia mateso dhidi ya binadamu wenzao?
Kwahiyo Bible yako unayo isoma imekufundisha kuwa unatakiwa kufurahia mateso ya binadamu wenzio kisa sio wa dini yako?

Kitendo cha kuita binadamu wenzio majitu unaonesha jinsi gani ulivyo jaa chuki za kipumbavu, na bahati nzuri mungu wako yesu alisha sema chuki hukaa kifuani mwa mpumbavu hivyo ww ni mpumbavu.
Mateso gani wanayopata Raia wa Gaza au maigizo yao yanakukosha sana enh.. ingekuwa katika Uislam uongo inhekuwa ni dhambi hakika ningewaomea huruma kiasi ila lazima wakubali kuwa walichofanya October 7 ni jambo la chukizo kwa dunia nzima na wasme kuwa hawatarudia tena kusheherekea lile tukio bila hivyo laana iendelee tu kwao na mashabiki wao.. Amen..

Kuhusu Yesu alizungumza hayo sio kwenye vita so acha uzembe maandiko yanasema anae ua kwa upanga auwawe kwa upanga.. so waliofanya mauaji October 7 bado wengine wapo hai.. subiri waishe vita itaisha ila kwa sasa bado sana hadi waombe msamaha wao na sio nyie
 
Vipi October 7 hukuona hao wanaolalamika kupewa chakula cha wanyama na Ndege walifurahia Gaza yote, wakiungwa mkono na Muslim wote.. Hii vita ya Magaidi imefunika upumbavu wa Hamas na kugeuza ni uonevu wa Israel na wasema ukweli.. ila takiya imeshindwa kifua dafu mbele ya ukweli.. geuza maneno yangu yote ila ukweli utabakia pale pale na uislam umejionesha ulivyo na walivyo kuwa ni ushetani.. hebu tuambie kama na wewe ulilaani kitendo cha Hamas ili tujue ulivyo
Mtu yyt mwenye Imani kuwa akizini , akiua akilawiti, kala rushwa, akibaka kisha weekend akaenda kanisani na kumkabidhi DHAMBI ZOOOTE HIZO YESU basi uwezo wa kuelewa kitu chochote kibaya kuhusu wayahudi HAIWEZEKANI.

Yaani Piga ua.

Hata akimkuta myahudi analawiti mtoto wake Atasema macho yake hayako sawa labda yule myahudi alikuwa anamfanyia tu maombi matakatifu mwanae au anamtoa majini yaliompitia ya waislamu .

Kwa imani yenu Hilo ni TAIFA TEULE .

Toka lini Taifa teule LIKAKOSEA?
[emoji1787][emoji1787]
 
Ni mtu mpumbavu pekee anaye weza kufurahia mateso ya binadamu mwenzie hali yakuwa yeye mwenyewe ajui ni kipi kitamtokea kesho.
Ww unawacheka hao kula ugali ila ww unaweza jikuta siku moja unakula mavi kabisa.
Wewe umeshawahi kula mavi?
Hujaelewa hata concept ya mleta mada, waarabu wanatudharau sana siye watu weusi,kiasi kwamba wanafananisha mahindi na chakula cha ndege,povu linakutoka kuwatetea hao mende,hivi unawajua vizuri kabisa waarabu wewe?
Au unateswa na udini tu?
Hebu niambie ni mtanzania gani unayemjua kaoa mwarabu na kuzaa naye?
Wazungu Tunaoleana bila tabu,nani alienda Oman, Saudi Arabia,Qatar, Bahrain akarudi na mke wa kiarabu? Povu linakutoka kutetea hao human animals, Eti kwa sababu ni Waislamu wenzako
 
Walivyoanza ugaidi na kuua watu hovyo walitegemea watalishwa pilau?!
Pumbavu kabisa
 
Mtu yyt mwenye Imani kuwa akizini , akiua akilawiti, kala rushwa, akibaka kisha weekend akaenda kanisani na kumkabidhi DHAMBI ZOOOTE HIZO YESU basi uwezo wa kuelewa kitu chochote kibaya kuhusu wayahudi HAIWEZEKANI.

Yaani Piga ua.

Hata akimkuta myahudi analawiti mtoto wake Atasema macho yake hayako sawa labda yule myahudi alikuwa anamfanyia tu maombi matakatifu mwanae au anamtoa majini yaliompitia ya waislamu .

Kwa imani yenu Hilo ni TAIFA TEULE .

Toka lini Taifa teule LIKAKOSEA?
[emoji1787][emoji1787]
Uislam ni Program ya Allah na Muhamed.. kila kitu anapanga Allah so huna cha kuongea wacha niongee na Allah wako akupangie cha kuongea na mimi.. sema Inshallah! haraka
 
Back
Top Bottom