Vipi wakati dikteta Idi Amin alipokuwa akiwachinja waganda na Morocco hiyo ilikuwepo chini ya mfalme Hassan IIHivi mauaji yanayofanywa na Magaidi wa kiislam kule Somalia na Sudan huyaoni?
Jifunze kukemea wenzako pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi wakati dikteta Idi Amin alipokuwa akiwachinja waganda na Morocco hiyo ilikuwepo chini ya mfalme Hassan IIHivi mauaji yanayofanywa na Magaidi wa kiislam kule Somalia na Sudan huyaoni?
Jifunze kukemea wenzako pia
Hivi huelewi kuwa Waarabu wengi wapo Afrika?Kwenye mashindano ya kombe la dunia lililopita walidai mafanikio yao sio kwa africa bali ni kwa waarabu na waislamu
Huo ni uongo mtupu kama uongo mwengine. Idi Amin alishambuliwa kwa kubadilisha kanisa kuwa msikiti, na alikuwa na sababu nzuri sana. Kulikuwa na kesi za watoto kulawitiwa kanisani.Vipi wakati dikteta Idi Amin alipokuwa akiwachinja waganda na Morocco hiyo ilikuwepo chini ya mfalme Hassan II
Sikwenda shule bali nilienda jandoni kufundishwa jinsi ya kumridhisha mwanamke kiasi kwamba nikikutana na wewe nikulize kitandaniHivi huelewi kuwa Waarabu wengi wapo Afrika?
Afrika ni ni bara "kontinenti" siyo kabila, siyo rangi, siyo dini.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Ndo huyo huyoHivi huyu nae alitengwa na AU
Baada ya nchi za Kiafrika Mali, Burkina Faso na Niger kutengwa na Waafrika wenzao ndani ya umoja wa ECOWAS na kutiwa adabu ya kufungiwa biashara zote, kufungiwa umeme na huduma zote za kibinadamu hadi chakula.
Wametengwa baada ya nchi hizo kupinduwa serikali zilizokuwa zinajineemesha kwa kundi la watu fulani tu na wakoloni waliokuwa wakiwadanganya kuwa wanaweza kuwalinda daima.
Cha ajabu, nchi za Kiafrika kama Nigeria na zote wanaowazunguka zilikutana na kuamuwa kuwatenga wenzao kwa kuwasikiliza wakoloni.
Katika sherehe za miaka 48 ya Morocco Mfalme Mohamed wa Morocco akatangaza kuzibeba nchi hizo zilizotengwa nankuwekewa vikwazo kwa hali na mali, na potelea mbali nchi zingine zote zilizowatenga zifanye zinavyotaka.
Amewaruhusu watumie bandari zake, Barabara na Raiway na amejitolea kujenga reli, barabra za kuwafikisha bandarini. Pia amewaambia na kuwaahidi kuwa chochote wanachohitaji wasihangaike, hao ni ndugu zake. Bila kuongea, ameonesha kuwa uzalendo wa Afrika haupo kwenye rangi zetu bali kwenye nia na mioyo yetu.
Viongozi wa nchi hizo walitokwa na machozi baada ya Mfalme wa Morocco kutangaza hayo bila kuombwa wala kutowa dalili za awali. Wanasema hawajategemea.
mengine zaidi jionee mwenyewe:
View: https://youtu.be/Eva9vB5Cexo?si=MC3nny7LL4Z6fnKM
Huwezi ukanidanganya kitu, Uganda nimeenda sana na wananchi wa huko wanathibitisha mauaji ya kimbali yaliyofanyika chini ya utawala wa dikteta Idi Amin hadi Askofu Janun Luwum aliyekuwa akimkosoa kwa hayo mauaji aliuwawa kinyama.Huo ni uongo mtupu kama uongo mwengine. Idi Amin alishambuliwa kwa kubadilisha kanisa kuwa msikiti, na alikuwa na sababu nzuri sana. Kulikuwa na kesi za watoto kulawitiwa kanisani.
Si unafahamu mambo kibarikiwa hayaanza leo wala jana?
Naona hizi habari za Mfalme Mohamed wa Morocco hazijakufurahisha kabisa?
Wangekua wanashikana hivi na kuteteana hata huko mashariki ya kati wangekua wa maana,,,,, 6 day war waarabu walishindwa kwa kusnitchiana,,,, hata Palestina leo anapata shida sababu ya waarabu ndumi la kuwiliUarabu siyo rangi kijana. Wapo waarabu wengi sana weusi jirani zako tu, hapo Sudan.
Uarabu ni lugha na tamaduni.
Wewe siyo mstaarabu?
Hao unaowaona wewe Waafrika wa kweli ni nani kasimama kuwatetea hao vijana waliopinduwa huko, zaidi ya Mfalme Mohamed wa Morocco?
Tena si kuwatetea tu, na kuwashika mkono kuwanyanyuwa mpaka waweze kusimama wenyewe.
Hii kwa vyovyote ni historia ambayo haijawahi kutokea Afrika na hata duniani.
Waarabu ni binadam kama wewe, wapo wa kila aina.Wangekua wanashikana hivi na kuteteana hata huko mashariki ya kati wangekua wa maana,,,,, 6 day war waarabu walishindwa kwa kusnitchiana,,,, hata Palestina leo anapata shida sababu ya waarabu ndumi la kuwili
Ni jamii moja ya watu wa hovyo sana.Waarabu ni binadam kama wewe, wapo wa kila aina.
Vp ujaona Morocco anavyomtawala Jamhuri ya Sahara? Au Jamhuri ya Sahara siyo waAfrika?Hayo matukio yapo sana tu.
Mimi naongelea kuziokowa nchi tatu kwa mpigo, au hujaiona mada? Siongelei matukio kwenye huu uzi, naongelea maendeleo.
Baada ya nchi za Kiafrika Mali, Burkina Faso na Niger kutengwa na Waafrika wenzao ndani ya umoja wa ECOWAS na kutiwa adabu ya kufungiwa biashara zote, kufungiwa umeme na huduma zote za kibinadamu hadi chakula.
Wametengwa baada ya nchi hizo kupinduwa serikali zilizokuwa zinajineemesha kwa kundi la watu fulani tu na wakoloni waliokuwa wakiwadanganya kuwa wanaweza kuwalinda daima.
Cha ajabu, nchi za Kiafrika kama Nigeria na zote wanaowazunguka zilikutana na kuamuwa kuwatenga wenzao kwa kuwasikiliza wakoloni.
Katika sherehe za miaka 48 ya Morocco Mfalme Mohamed wa Morocco akatangaza kuzibeba nchi hizo zilizotengwa nankuwekewa vikwazo kwa hali na mali, na potelea mbali nchi zingine zote zilizowatenga zifanye zinavyotaka.
Amewaruhusu watumie bandari zake, Barabara na Raiway na amejitolea kujenga reli, barabra za kuwafikisha bandarini. Pia amewaambia na kuwaahidi kuwa chochote wanachohitaji wasihangaike, hao ni ndugu zake. Bila kuongea, ameonesha kuwa uzalendo wa Afrika haupo kwenye rangi zetu bali kwenye nia na mioyo yetu.
Viongozi wa nchi hizo walitokwa na machozi baada ya Mfalme wa Morocco kutangaza hayo bila kuombwa wala kutowa dalili za awali. Wanasema hawajategemea.
mengine zaidi jionee mwenyewe:
View: https://youtu.be/Eva9vB5Cexo?si=MC3nny7LL4Z6fnKM
I can agree with you to certain extent.Ni kama jamii yoyote tu, wapo wema na wapo wasio wema.
uzuri wao, hata wale wabaya wao hawauwi kibaka wa simu au mwizi wa chupi kama Watanzania.
Usidanganye umma. Uarabuni ni rangi,Uarabu siyo rangi kijana. Wapo waarabu wengi sana weusi jirani zako tu, hapo Sudan.
Uarabu ni lugha na tamaduni.
Wewe siyo mstaarabu?
Hao unaowaona wewe Waafrika wa kweli ni nani kasimama kuwatetea hao vijana waliopinduwa huko, zaidi ya Mfalme Mohamed wa Morocco?
Tena si kuwatetea tu, na kuwashika mkono kuwanyanyuwa mpaka waweze kusimama wenyewe.
Hii kwa vyovyote ni historia ambayo haijawahi kutokea Afrika na hata duniani.
Baada ya nchi za Kiafrika Mali, Burkina Faso na Niger kutengwa na Waafrika wenzao ndani ya umoja wa ECOWAS na kutiwa adabu ya kufungiwa biashara zote, kufungiwa umeme na huduma zote za kibinadamu hadi chakula.
Wametengwa baada ya nchi hizo kupinduwa serikali zilizokuwa zinajineemesha kwa kundi la watu fulani tu na wakoloni waliokuwa wakiwadanganya kuwa wanaweza kuwalinda daima.
Cha ajabu, nchi za Kiafrika kama Nigeria na zote wanaowazunguka zilikutana na kuamuwa kuwatenga wenzao kwa kuwasikiliza wakoloni.
Katika sherehe za miaka 48 ya Morocco Mfalme Mohamed wa Morocco akatangaza kuzibeba nchi hizo zilizotengwa nankuwekewa vikwazo kwa hali na mali, na potelea mbali nchi zingine zote zilizowatenga zifanye zinavyotaka.
Amewaruhusu watumie bandari zake, Barabara na Raiway na amejitolea kujenga reli, barabra za kuwafikisha bandarini. Pia amewaambia na kuwaahidi kuwa chochote wanachohitaji wasihangaike, hao ni ndugu zake. Bila kuongea, ameonesha kuwa uzalendo wa Afrika haupo kwenye rangi zetu bali kwenye nia na mioyo yetu.
Viongozi wa nchi hizo walitokwa na machozi baada ya Mfalme wa Morocco kutangaza hayo bila kuombwa wala kutowa dalili za awali. Wanasema hawajategemea.
mengine zaidi jionee mwenyewe:
View: https://youtu.be/Eva9vB5Cexo?si=MC3nny7LL4Z6fnKM
= usalitiYaani unawa acha ndugu zako wa damu moja wafe nanjaa,kiu,baridi,nk Kisha chakula unawapelekea majirani wa ng'ambo
Cha ajabu jirani yako wa nyumba ya kushoto anaamua kuchukua blankets,maji,na chakula chake na kuwapa ndugu zako wa damu ambao wewe uliwanyima
Kwakifupi baada ya kupata habari hizo lazma utajiona wewe nikiumbe uliye kosa utu,hakili,ubinadamu,aibu,nahustahili,kuwa mmoja wa familia hiyo
Kwakifupi Samia ruto,akainde,mseveni, na viongozi woote wa Africa pamoja na AU yao wanajihisi hatia,usariti,na aibu,mioyoni mwao
Mungu ibariki Morocco mungu walaani washirika woote wa AU