Waarabu wa Morocco Wawashangaza Waafrika

Waarabu wa Morocco Wawashangaza Waafrika

Kwenye mashindano ya kombe la dunia lililopita walidai mafanikio yao sio kwa africa bali ni kwa waarabu na waislamu
Hivi huelewi kuwa Waarabu wengi wapo Afrika?

Afrika ni ni bara "kontinenti" siyo kabila, siyo rangi, siyo dini.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Vipi wakati dikteta Idi Amin alipokuwa akiwachinja waganda na Morocco hiyo ilikuwepo chini ya mfalme Hassan II
Huo ni uongo mtupu kama uongo mwengine. Idi Amin alishambuliwa kwa kubadilisha kanisa kuwa msikiti, na alikuwa na sababu nzuri sana. Kulikuwa na kesi za watoto kulawitiwa kanisani.

Si unafahamu mambo kibarikiwa hayaanza leo wala jana?

Naona hizi habari za Mfalme Mohamed wa Morocco hazijakufurahisha kabisa?
 
Baada ya nchi za Kiafrika Mali, Burkina Faso na Niger kutengwa na Waafrika wenzao ndani ya umoja wa ECOWAS na kutiwa adabu ya kufungiwa biashara zote, kufungiwa umeme na huduma zote za kibinadamu hadi chakula.

Wametengwa baada ya nchi hizo kupinduwa serikali zilizokuwa zinajineemesha kwa kundi la watu fulani tu na wakoloni waliokuwa wakiwadanganya kuwa wanaweza kuwalinda daima.

Cha ajabu, nchi za Kiafrika kama Nigeria na zote wanaowazunguka zilikutana na kuamuwa kuwatenga wenzao kwa kuwasikiliza wakoloni.

Katika sherehe za miaka 48 ya Morocco Mfalme Mohamed wa Morocco akatangaza kuzibeba nchi hizo zilizotengwa nankuwekewa vikwazo kwa hali na mali, na potelea mbali nchi zingine zote zilizowatenga zifanye zinavyotaka.

Amewaruhusu watumie bandari zake, Barabara na Raiway na amejitolea kujenga reli, barabra za kuwafikisha bandarini. Pia amewaambia na kuwaahidi kuwa chochote wanachohitaji wasihangaike, hao ni ndugu zake. Bila kuongea, ameonesha kuwa uzalendo wa Afrika haupo kwenye rangi zetu bali kwenye nia na mioyo yetu.

Viongozi wa nchi hizo walitokwa na machozi baada ya Mfalme wa Morocco kutangaza hayo bila kuombwa wala kutowa dalili za awali. Wanasema hawajategemea.

mengine zaidi jionee mwenyewe:


View: https://youtu.be/Eva9vB5Cexo?si=MC3nny7LL4Z6fnKM

Africa shall rise again
 
Huo ni uongo mtupu kama uongo mwengine. Idi Amin alishambuliwa kwa kubadilisha kanisa kuwa msikiti, na alikuwa na sababu nzuri sana. Kulikuwa na kesi za watoto kulawitiwa kanisani.

Si unafahamu mambo kibarikiwa hayaanza leo wala jana?

Naona hizi habari za Mfalme Mohamed wa Morocco hazijakufurahisha kabisa?
Huwezi ukanidanganya kitu, Uganda nimeenda sana na wananchi wa huko wanathibitisha mauaji ya kimbali yaliyofanyika chini ya utawala wa dikteta Idi Amin hadi Askofu Janun Luwum aliyekuwa akimkosoa kwa hayo mauaji aliuwawa kinyama.

Ila kwenu mwenye imani sawa na nyie hata achinje watu dunia nzima bado mtasema ni martyr.
 
Uarabu siyo rangi kijana. Wapo waarabu wengi sana weusi jirani zako tu, hapo Sudan.

Uarabu ni lugha na tamaduni.

Wewe siyo mstaarabu?

Hao unaowaona wewe Waafrika wa kweli ni nani kasimama kuwatetea hao vijana waliopinduwa huko, zaidi ya Mfalme Mohamed wa Morocco?

Tena si kuwatetea tu, na kuwashika mkono kuwanyanyuwa mpaka waweze kusimama wenyewe.

Hii kwa vyovyote ni historia ambayo haijawahi kutokea Afrika na hata duniani.
Wangekua wanashikana hivi na kuteteana hata huko mashariki ya kati wangekua wa maana,,,,, 6 day war waarabu walishindwa kwa kusnitchiana,,,, hata Palestina leo anapata shida sababu ya waarabu ndumi la kuwili
 
Wangekua wanashikana hivi na kuteteana hata huko mashariki ya kati wangekua wa maana,,,,, 6 day war waarabu walishindwa kwa kusnitchiana,,,, hata Palestina leo anapata shida sababu ya waarabu ndumi la kuwili
Waarabu ni binadam kama wewe, wapo wa kila aina.
 
Baada ya nchi za Kiafrika Mali, Burkina Faso na Niger kutengwa na Waafrika wenzao ndani ya umoja wa ECOWAS na kutiwa adabu ya kufungiwa biashara zote, kufungiwa umeme na huduma zote za kibinadamu hadi chakula.

Wametengwa baada ya nchi hizo kupinduwa serikali zilizokuwa zinajineemesha kwa kundi la watu fulani tu na wakoloni waliokuwa wakiwadanganya kuwa wanaweza kuwalinda daima.

Cha ajabu, nchi za Kiafrika kama Nigeria na zote wanaowazunguka zilikutana na kuamuwa kuwatenga wenzao kwa kuwasikiliza wakoloni.

Katika sherehe za miaka 48 ya Morocco Mfalme Mohamed wa Morocco akatangaza kuzibeba nchi hizo zilizotengwa nankuwekewa vikwazo kwa hali na mali, na potelea mbali nchi zingine zote zilizowatenga zifanye zinavyotaka.

Amewaruhusu watumie bandari zake, Barabara na Raiway na amejitolea kujenga reli, barabra za kuwafikisha bandarini. Pia amewaambia na kuwaahidi kuwa chochote wanachohitaji wasihangaike, hao ni ndugu zake. Bila kuongea, ameonesha kuwa uzalendo wa Afrika haupo kwenye rangi zetu bali kwenye nia na mioyo yetu.

Viongozi wa nchi hizo walitokwa na machozi baada ya Mfalme wa Morocco kutangaza hayo bila kuombwa wala kutowa dalili za awali. Wanasema hawajategemea.

mengine zaidi jionee mwenyewe:


View: https://youtu.be/Eva9vB5Cexo?si=MC3nny7LL4Z6fnKM

hakuna mfalme mwongo kama huyo, alisema atajenga uwanja Dodoma, ameshajenga. liongo sana hilo bwege.
 
Uarabu siyo rangi kijana. Wapo waarabu wengi sana weusi jirani zako tu, hapo Sudan.

Uarabu ni lugha na tamaduni.

Wewe siyo mstaarabu?

Hao unaowaona wewe Waafrika wa kweli ni nani kasimama kuwatetea hao vijana waliopinduwa huko, zaidi ya Mfalme Mohamed wa Morocco?

Tena si kuwatetea tu, na kuwashika mkono kuwanyanyuwa mpaka waweze kusimama wenyewe.

Hii kwa vyovyote ni historia ambayo haijawahi kutokea Afrika na hata duniani.
Usidanganye umma. Uarabuni ni rangi,
Mzungu ni rangi na kadhalika
 
Baada ya nchi za Kiafrika Mali, Burkina Faso na Niger kutengwa na Waafrika wenzao ndani ya umoja wa ECOWAS na kutiwa adabu ya kufungiwa biashara zote, kufungiwa umeme na huduma zote za kibinadamu hadi chakula.

Wametengwa baada ya nchi hizo kupinduwa serikali zilizokuwa zinajineemesha kwa kundi la watu fulani tu na wakoloni waliokuwa wakiwadanganya kuwa wanaweza kuwalinda daima.

Cha ajabu, nchi za Kiafrika kama Nigeria na zote wanaowazunguka zilikutana na kuamuwa kuwatenga wenzao kwa kuwasikiliza wakoloni.

Katika sherehe za miaka 48 ya Morocco Mfalme Mohamed wa Morocco akatangaza kuzibeba nchi hizo zilizotengwa nankuwekewa vikwazo kwa hali na mali, na potelea mbali nchi zingine zote zilizowatenga zifanye zinavyotaka.

Amewaruhusu watumie bandari zake, Barabara na Raiway na amejitolea kujenga reli, barabra za kuwafikisha bandarini. Pia amewaambia na kuwaahidi kuwa chochote wanachohitaji wasihangaike, hao ni ndugu zake. Bila kuongea, ameonesha kuwa uzalendo wa Afrika haupo kwenye rangi zetu bali kwenye nia na mioyo yetu.

Viongozi wa nchi hizo walitokwa na machozi baada ya Mfalme wa Morocco kutangaza hayo bila kuombwa wala kutowa dalili za awali. Wanasema hawajategemea.

mengine zaidi jionee mwenyewe:


View: https://youtu.be/Eva9vB5Cexo?si=MC3nny7LL4Z6fnKM

Sasa kwanini wanapindua viongozi wa kiraia! Hivi ndio ingekuwa Mama Samia amepinduliwa ingekuwa sawa!!!!!
 
Yaani unawa acha ndugu zako wa damu moja wafe nanjaa,kiu,baridi,nk Kisha chakula unawapelekea majirani wa ng'ambo
Cha ajabu jirani yako wa nyumba ya kushoto anaamua kuchukua blankets,maji,na chakula chake na kuwapa ndugu zako wa damu ambao wewe uliwanyima

Kwakifupi baada ya kupata habari hizo lazma utajiona wewe nikiumbe uliye kosa utu,hakili,ubinadamu,aibu,nahustahili,kuwa mmoja wa familia hiyo

Kwakifupi Samia ruto,akainde,mseveni, na viongozi woote wa Africa pamoja na AU yao wanajihisi hatia,usariti,na aibu,mioyoni mwao

Mungu ibariki Morocco mungu walaani washirika woote wa AU
 
Yaani unawa acha ndugu zako wa damu moja wafe nanjaa,kiu,baridi,nk Kisha chakula unawapelekea majirani wa ng'ambo
Cha ajabu jirani yako wa nyumba ya kushoto anaamua kuchukua blankets,maji,na chakula chake na kuwapa ndugu zako wa damu ambao wewe uliwanyima

Kwakifupi baada ya kupata habari hizo lazma utajiona wewe nikiumbe uliye kosa utu,hakili,ubinadamu,aibu,nahustahili,kuwa mmoja wa familia hiyo

Kwakifupi Samia ruto,akainde,mseveni, na viongozi woote wa Africa pamoja na AU yao wanajihisi hatia,usariti,na aibu,mioyoni mwao

Mungu ibariki Morocco mungu walaani washirika woote wa AU
= usaliti

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Back
Top Bottom