rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Algeria mbona walisapoti nchi hizo hasa Niger na kuahidi kuisaidia endapo itashambuliwa na ecowas pia ulikataa anga la nchi take kutumiwa na wavamizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani bibi utakuwa na tatizo la kutokuelewa Nini amesema huyo uliyemnukuu . Ni hivi katika Dunia ya Leo ya kibepari hakuna nchi inafanya mambo Kwa kukurupuka bila kuzingatia mambo hayo yana maslahi gani. Hapo Morocco ameamua hizo nchi zitumie bandari yake unafikiri kafanya hivyo Kwa ajiri ya kuonekana mwema au Kwa maslahi kiuchumi?Naam, kweli kabisa lakini wako wapi ndugu zao weusi? Mbona wamewatenga wasiitumie firsa hiyo ya "hakuna cha bure"?
Nafahamu, wengi mtaumizwa kwa hili na sababu nnazijuwa. Lakini ndiyo ukweli huo.
Nadhani bibi utakuwa na tatizo la kutokuelewa Nini amesema huyo uliyemnukuu . Ni hivi katika Dunia ya Leo ya kibepari hakuna nchi inafanya mambo Kwa kukurupuka bila kuzingatia mambo hayo yana maslahi gani. Hapo Morocco ameamua hizo nchi zitumie bandari yake unafikiri kafanya hivyo Kwa ajiri ya kuonekana mwema au Kwa maslahi kiuchumi?
🤣🤣= ajili.
Umesema kweli kabisa nna tatizo la "kutokuelewa" hujakosea. Sina tatizo la kuelewa.
Unatoka nje ya mada kiongozi 😂Sikwenda shule bali nilienda jandoni kufundishwa jinsi ya kumridhisha mwanamke kiasi kwamba nikikutana na wewe nikulize kitandani
Mambo mengi 😂👍🏾hakuna mfalme mwongo kama huyo, alisema atajenga uwanja Dodoma, ameshajenga. liongo sana hilo bwege.
Ecowas imewatenga lini hao wenzao?Uarabu siyo rangi kijana. Wapo waarabu wengi sana weusi jirani zako tu, hapo Sudan.
Uarabu ni lugha na tamaduni.
Wewe siyo mstaarabu?
Hao unaowaona wewe Waafrika wa kweli ni nani kasimama kuwatetea hao vijana waliopinduwa huko, zaidi ya Mfalme Mohamed wa Morocco?
Tena si kuwatetea tu, na kuwashika mkono kuwanyanyuwa mpaka waweze kusimama wenyewe.
Hii kwa vyovyote ni historia ambayo haijawahi kutokea Afrika na hata duniani.
Kwa akili timamu inayofanya kazi sawasawa, Wao wenyewe kwa moyo mmoja unadhani wanaweza ku-admit hilo kwamba wao ni waafrika unadhani? 😊Kwani Wamorocco siyo Waafrika?
Baada ya nchi za Kiafrika Mali, Burkina Faso na Niger kutengwa na Waafrika wenzao ndani ya umoja wa ECOWAS na kutiwa adabu ya kufungiwa biashara zote, kufungiwa umeme na huduma zote za kibinadamu hadi chakula.
Wametengwa baada ya nchi hizo kupinduwa serikali zilizokuwa zinajineemesha kwa kundi la watu fulani tu na wakoloni waliokuwa wakiwadanganya kuwa wanaweza kuwalinda daima.
Cha ajabu, nchi za Kiafrika kama Nigeria na zote wanaowazunguka zilikutana na kuamuwa kuwatenga wenzao kwa kuwasikiliza wakoloni.
Katika sherehe za miaka 48 ya Morocco Mfalme Mohamed wa Morocco akatangaza kuzibeba nchi hizo zilizotengwa nankuwekewa vikwazo kwa hali na mali, na potelea mbali nchi zingine zote zilizowatenga zifanye zinavyotaka.
Amewaruhusu watumie bandari zake, Barabara na Raiway na amejitolea kujenga reli, barabra za kuwafikisha bandarini. Pia amewaambia na kuwaahidi kuwa chochote wanachohitaji wasihangaike, hao ni ndugu zake. Bila kuongea, ameonesha kuwa uzalendo wa Afrika haupo kwenye rangi zetu bali kwenye nia na mioyo yetu.
Viongozi wa nchi hizo walitokwa na machozi baada ya Mfalme wa Morocco kutangaza hayo bila kuombwa wala kutowa dalili za awali. Wanasema hawajategemea.
mengine zaidi jionee mwenyewe:
View: https://youtu.be/Eva9vB5Cexo?si=MC3nny7LL4Z6fnKM
Huyo najuana nae vizuriUnatoka nje ya mada kiongozi 😂
Ivi ule uwanja wetu Mmorocco anakuja kujenga lini?Sema Morocco sio Nchi ya kuamini kabisa, huyo mfalme ana sura mbili.
Baada ya nchi za Kiafrika Mali, Burkina Faso na Niger kutengwa na Waafrika wenzao ndani ya umoja wa ECOWAS na kutiwa adabu ya kufungiwa biashara zote, kufungiwa umeme na huduma zote za kibinadamu hadi chakula.
Wametengwa baada ya nchi hizo kupinduwa serikali zilizokuwa zinajineemesha kwa kundi la watu fulani tu na wakoloni waliokuwa wakiwadanganya kuwa wanaweza kuwalinda daima.
Cha ajabu, nchi za Kiafrika kama Nigeria na zote wanaowazunguka zilikutana na kuamuwa kuwatenga wenzao kwa kuwasikiliza wakoloni.
Katika sherehe za miaka 48 ya Morocco Mfalme Mohamed wa Morocco akatangaza kuzibeba nchi hizo zilizotengwa nankuwekewa vikwazo kwa hali na mali, na potelea mbali nchi zingine zote zilizowatenga zifanye zinavyotaka.
Amewaruhusu watumie bandari zake, Barabara na Raiway na amejitolea kujenga reli, barabra za kuwafikisha bandarini. Pia amewaambia na kuwaahidi kuwa chochote wanachohitaji wasihangaike, hao ni ndugu zake. Bila kuongea, ameonesha kuwa uzalendo wa Afrika haupo kwenye rangi zetu bali kwenye nia na mioyo yetu.
Viongozi wa nchi hizo walitokwa na machozi baada ya Mfalme wa Morocco kutangaza hayo bila kuombwa wala kutowa dalili za awali. Wanasema hawajategemea.
mengine zaidi jionee mwenyewe:
View: https://youtu.be/Eva9vB5Cexo?si=MC3nny7LL4Z6fnKM
Baada ya nchi za Kiafrika Mali, Burkina Faso na Niger kutengwa na Waafrika wenzao ndani ya umoja wa ECOWAS na kutiwa adabu ya kufungiwa biashara zote, kufungiwa umeme na huduma zote za kibinadamu hadi chakula.
Wametengwa baada ya nchi hizo kupinduwa serikali zilizokuwa zinajineemesha kwa kundi la watu fulani tu na wakoloni waliokuwa wakiwadanganya kuwa wanaweza kuwalinda daima.
Cha ajabu, nchi za Kiafrika kama Nigeria na zote wanaowazunguka zilikutana na kuamuwa kuwatenga wenzao kwa kuwasikiliza wakoloni.
Katika sherehe za miaka 48 ya Morocco Mfalme Mohamed wa Morocco akatangaza kuzibeba nchi hizo zilizotengwa nankuwekewa vikwazo kwa hali na mali, na potelea mbali nchi zingine zote zilizowatenga zifanye zinavyotaka.
Amewaruhusu watumie bandari zake, Barabara na Raiway na amejitolea kujenga reli, barabra za kuwafikisha bandarini. Pia amewaambia na kuwaahidi kuwa chochote wanachohitaji wasihangaike, hao ni ndugu zake. Bila kuongea, ameonesha kuwa uzalendo wa Afrika haupo kwenye rangi zetu bali kwenye nia na mioyo yetu.
Viongozi wa nchi hizo walitokwa na machozi baada ya Mfalme wa Morocco kutangaza hayo bila kuombwa wala kutowa dalili za awali. Wanasema hawajategemea.
mengine zaidi jionee mwenyewe:
View: https://youtu.be/Eva9vB5Cexo?si=MC3nny7LL4Z6fnKM
Aliye kwambia kujua r&l ndo usomi Nani?= usaliti
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Nitajie msomi mtz ambaye hakusomea ujingaMimi nnakwambia hivi kama hujuwi R na L zinakaa wapi ulienda shule kusomea ujinga.