Waarabu wa Morocco Wawashangaza Waafrika

Waarabu wa Morocco Wawashangaza Waafrika

Algeria mbona walisapoti nchi hizo hasa Niger na kuahidi kuisaidia endapo itashambuliwa na ecowas pia ulikataa anga la nchi take kutumiwa na wavamizi.
 
Naam, kweli kabisa lakini wako wapi ndugu zao weusi? Mbona wamewatenga wasiitumie firsa hiyo ya "hakuna cha bure"?
Nadhani bibi utakuwa na tatizo la kutokuelewa Nini amesema huyo uliyemnukuu . Ni hivi katika Dunia ya Leo ya kibepari hakuna nchi inafanya mambo Kwa kukurupuka bila kuzingatia mambo hayo yana maslahi gani. Hapo Morocco ameamua hizo nchi zitumie bandari yake unafikiri kafanya hivyo Kwa ajiri ya kuonekana mwema au Kwa maslahi kiuchumi?

Nafahamu, wengi mtaumizwa kwa hili na sababu nnazijuwa. Lakini ndiyo ukweli huo.
 
Nadhani bibi utakuwa na tatizo la kutokuelewa Nini amesema huyo uliyemnukuu . Ni hivi katika Dunia ya Leo ya kibepari hakuna nchi inafanya mambo Kwa kukurupuka bila kuzingatia mambo hayo yana maslahi gani. Hapo Morocco ameamua hizo nchi zitumie bandari yake unafikiri kafanya hivyo Kwa ajiri ya kuonekana mwema au Kwa maslahi kiuchumi?

= ajili.

Umesema kweli kabisa nna tatizo la "kutokuelewa" hujakosea. Sina tatizo la kuelewa.
 
Uarabu siyo rangi kijana. Wapo waarabu wengi sana weusi jirani zako tu, hapo Sudan.

Uarabu ni lugha na tamaduni.

Wewe siyo mstaarabu?

Hao unaowaona wewe Waafrika wa kweli ni nani kasimama kuwatetea hao vijana waliopinduwa huko, zaidi ya Mfalme Mohamed wa Morocco?

Tena si kuwatetea tu, na kuwashika mkono kuwanyanyuwa mpaka waweze kusimama wenyewe.

Hii kwa vyovyote ni historia ambayo haijawahi kutokea Afrika na hata duniani.
Ecowas imewatenga lini hao wenzao?
 
Baada ya nchi za Kiafrika Mali, Burkina Faso na Niger kutengwa na Waafrika wenzao ndani ya umoja wa ECOWAS na kutiwa adabu ya kufungiwa biashara zote, kufungiwa umeme na huduma zote za kibinadamu hadi chakula.

Wametengwa baada ya nchi hizo kupinduwa serikali zilizokuwa zinajineemesha kwa kundi la watu fulani tu na wakoloni waliokuwa wakiwadanganya kuwa wanaweza kuwalinda daima.

Cha ajabu, nchi za Kiafrika kama Nigeria na zote wanaowazunguka zilikutana na kuamuwa kuwatenga wenzao kwa kuwasikiliza wakoloni.

Katika sherehe za miaka 48 ya Morocco Mfalme Mohamed wa Morocco akatangaza kuzibeba nchi hizo zilizotengwa nankuwekewa vikwazo kwa hali na mali, na potelea mbali nchi zingine zote zilizowatenga zifanye zinavyotaka.

Amewaruhusu watumie bandari zake, Barabara na Raiway na amejitolea kujenga reli, barabra za kuwafikisha bandarini. Pia amewaambia na kuwaahidi kuwa chochote wanachohitaji wasihangaike, hao ni ndugu zake. Bila kuongea, ameonesha kuwa uzalendo wa Afrika haupo kwenye rangi zetu bali kwenye nia na mioyo yetu.

Viongozi wa nchi hizo walitokwa na machozi baada ya Mfalme wa Morocco kutangaza hayo bila kuombwa wala kutowa dalili za awali. Wanasema hawajategemea.

mengine zaidi jionee mwenyewe:


View: https://youtu.be/Eva9vB5Cexo?si=MC3nny7LL4Z6fnKM

kwan wamoroko wapo ndan ya AU sembuse ECOWAS ? hawafungaman na mtu hao , lkn waafrika tuwe makin tunaingizwa mkenge kwa kuwafurahia wanaotuletea ushetan wa mapinduz na kung'ang'ania madaraka ? kwann baada ya mapinduz wangesuka katiba na jeshi thabiti lisilo la kisiasa na kuandaa uchaguz wa kumpata kiongoz mpya
 
Kwani hujui kuwa waafrika hawapendani wao kwa wao Hata waarabu vilevile hawapendani wao kwa wao
 
Baada ya nchi za Kiafrika Mali, Burkina Faso na Niger kutengwa na Waafrika wenzao ndani ya umoja wa ECOWAS na kutiwa adabu ya kufungiwa biashara zote, kufungiwa umeme na huduma zote za kibinadamu hadi chakula.

Wametengwa baada ya nchi hizo kupinduwa serikali zilizokuwa zinajineemesha kwa kundi la watu fulani tu na wakoloni waliokuwa wakiwadanganya kuwa wanaweza kuwalinda daima.

Cha ajabu, nchi za Kiafrika kama Nigeria na zote wanaowazunguka zilikutana na kuamuwa kuwatenga wenzao kwa kuwasikiliza wakoloni.

Katika sherehe za miaka 48 ya Morocco Mfalme Mohamed wa Morocco akatangaza kuzibeba nchi hizo zilizotengwa nankuwekewa vikwazo kwa hali na mali, na potelea mbali nchi zingine zote zilizowatenga zifanye zinavyotaka.

Amewaruhusu watumie bandari zake, Barabara na Raiway na amejitolea kujenga reli, barabra za kuwafikisha bandarini. Pia amewaambia na kuwaahidi kuwa chochote wanachohitaji wasihangaike, hao ni ndugu zake. Bila kuongea, ameonesha kuwa uzalendo wa Afrika haupo kwenye rangi zetu bali kwenye nia na mioyo yetu.

Viongozi wa nchi hizo walitokwa na machozi baada ya Mfalme wa Morocco kutangaza hayo bila kuombwa wala kutowa dalili za awali. Wanasema hawajategemea.

mengine zaidi jionee mwenyewe:


View: https://youtu.be/Eva9vB5Cexo?si=MC3nny7LL4Z6fnKM

Uarabu ni lugha na tamaduni

Unamaanisha ukijua Kiarabu tu na ukaziishi tamadun8 zao wewe si Mwafrika tena🤣🤣
Aloo kumbe ndo maana unajikubali sana.

Nimependezwa na Hurka ya Mfalme wa Morocco ameugusa moyo wangu yuko positive sanaaaa.
 
Baada ya nchi za Kiafrika Mali, Burkina Faso na Niger kutengwa na Waafrika wenzao ndani ya umoja wa ECOWAS na kutiwa adabu ya kufungiwa biashara zote, kufungiwa umeme na huduma zote za kibinadamu hadi chakula.

Wametengwa baada ya nchi hizo kupinduwa serikali zilizokuwa zinajineemesha kwa kundi la watu fulani tu na wakoloni waliokuwa wakiwadanganya kuwa wanaweza kuwalinda daima.

Cha ajabu, nchi za Kiafrika kama Nigeria na zote wanaowazunguka zilikutana na kuamuwa kuwatenga wenzao kwa kuwasikiliza wakoloni.

Katika sherehe za miaka 48 ya Morocco Mfalme Mohamed wa Morocco akatangaza kuzibeba nchi hizo zilizotengwa nankuwekewa vikwazo kwa hali na mali, na potelea mbali nchi zingine zote zilizowatenga zifanye zinavyotaka.

Amewaruhusu watumie bandari zake, Barabara na Raiway na amejitolea kujenga reli, barabra za kuwafikisha bandarini. Pia amewaambia na kuwaahidi kuwa chochote wanachohitaji wasihangaike, hao ni ndugu zake. Bila kuongea, ameonesha kuwa uzalendo wa Afrika haupo kwenye rangi zetu bali kwenye nia na mioyo yetu.

Viongozi wa nchi hizo walitokwa na machozi baada ya Mfalme wa Morocco kutangaza hayo bila kuombwa wala kutowa dalili za awali. Wanasema hawajategemea.

mengine zaidi jionee mwenyewe:


View: https://youtu.be/Eva9vB5Cexo?si=MC3nny7LL4Z6fnKM

Iran nao wafanye hivyo kwa wapalestina wachukue wakimbizi,
 
Back
Top Bottom