Waarabu wa Sudan waapa hakuna kusitisha mapigano kwenye ramadhani, ni mdundano na kuuana na mpaka kieleweke

Waarabu wa Sudan waapa hakuna kusitisha mapigano kwenye ramadhani, ni mdundano na kuuana na mpaka kieleweke

Wote dini moja, tena ndugu ila wataingia kwenye mfungo wa ramadhani na kuteseka na njaa yake ilhali wakiendelea kuuana

AFP__20240220__34JQ2NG__v2__Preview__SsudanSudanConflictRefugees-1708493396.jpg


Senior Sudanese Armed Forces General Yasser al-Atta has said there will be no truce in Sudan during the Muslim holy month of Ramadan unless the Rapid Support Forces (RSF) paramilitary group leaves the homes and sites of civilians.

The statement follows an appeal by the United Nations Security Council for a truce during Ramadan, which begins this week. The RSF said it welcomed the truce call.

Si liende kanisa lako kusuluhisha ?? Au Sudani hakuna wakristo ??
 
Afu ndo wanataka israel asitishe vita kisa mwezi mtukufu
Wacha israel aendelee kuwauwa sabu ndo kitu wamezoea
Na next month waisrael wanafanya kafala ya kuchinja ng’ombe wekundu 3 af sasa vita ianze rasmi
 
Wote dini moja, tena ndugu ila wataingia kwenye mfungo wa ramadhani na kuteseka na njaa yake ilhali wakiendelea kuuana

AFP__20240220__34JQ2NG__v2__Preview__SsudanSudanConflictRefugees-1708493396.jpg


Senior Sudanese Armed Forces General Yasser al-Atta has said there will be no truce in Sudan during the Muslim holy month of Ramadan unless the Rapid Support Forces (RSF) paramilitary group leaves the homes and sites of civilians.

The statement follows an appeal by the United Nations Security Council for a truce during Ramadan, which begins this week. The RSF said it welcomed the truce call.
Waislam kupigana Ramadhan hakuna shida yoyote. Wakati wa Mtume mwenyewe alipigana na kuongoza vita kipindi cha Ramadan. Vita ilivyoongozwa na Mtume enzi zake wakati wa Ramadan ni vita ya Badr na vita dhidi ya Quaresh ambapo Makkah ilitekwa toka mikononi mwa wenyewe wapagani
 
Mungu fundi aligundua Hawa mabwana wakiongezeka sana Dunia itateseka Kwa hiyo wanabamizana wenyewe Ili ku maintain kutokuongezeka na vile hawana maarifa na elimu ukiwatifua kidogo tayari wanaanza kutoana roho
 
Naona roho mtakatifu wako kavaa kofia hapo
Mathayo (Mat) 12:32
Naye mtu ye yote atakayenena neno juu ya Mwana wa Adamu atasamehewa, bali yeye atakayenena neno juu ya Roho Mtakatifu hatasamehewa katika ulimwengu wa sasa, wala katika ule ujao.
 
Back
Top Bottom