Waarabu wakataa ujanja wa US. Waikatalia kujadili yahusuyo baada ya vita vya Gaza.Kinachotakiwa ni kusitishwa kwa vita na kufufuliwa kwa Palestina

Waarabu wakataa ujanja wa US. Waikatalia kujadili yahusuyo baada ya vita vya Gaza.Kinachotakiwa ni kusitishwa kwa vita na kufufuliwa kwa Palestina

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Ile dilomasia ya kinafiki ya Marekani kuwazuga waarabu inazidi kukwama.
Mawaziri wa nchi za nje wa jumuiya ya nchi za kiarabu wamemkatalia waziri wa masuala ya ulinzi wa Marekani kujadiliana nao juu ya namna ya kuiendesha Gaza baada ya vita kumalizika.Mazungumzo ya aina hiyo yamepata vikwazo mara kadhaa huko nyuma lakini bila haya Antony Blinken amekuwa akiyarudia kama kwamba anaozungumza nao ni misukule.

Hapo juzi mawaziri hao wakiongozwa na waziri wa mambo ya nje wa Saudia walimwambia suala la kuzungumzwa kwa sasa ni kusitishwa vita basi !

Wakaongeza kuwa na baada ya kusitishwa vita kinachotakiwa kujadiliwa ni kuundwa kwa taifa la Palestina kama ilivyo kwenye maazimio ya UN.
 
Kwa nini wanaomba vita visitishwe wakati wanadai Israel amezidiwa kivita, mimi nilifikiri ile ndoto ya waarabu ya kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia ndio muda wake sasa umewadia halafu wenyewe tena wanataka kuharibu move... 😛 😛😛
 
Kwa nini wanaomba vita visitishwe wakati wanadai Israel amezidiwa kivita, mimi nilifikiri ile ndoto ya waarabu ya kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia ndio muda wake sasa umewadia halafu wenyewe tena wanataka kuharibu move... [emoji14] [emoji14][emoji14]
Soma uelewe kilichoandikwa wewe umelowana mpaka unashindwa kuelewa?
 
Ile dilomasia ya kinafiki ya Marekani kuwazuga waarabu inazidi kukwama.
Mawaziri wa nchi za nje wa jumuiya ya nchi za kiarabu wamemkatalia waziri wa masuala ya ulinzi wa Marekani kujadiliana nao juu ya namna ya kuiendesha Gaza baada ya vita kumalizika.Mazungumzo ya aina hiyo yamepata vikwazo mara kadhaa huko nyuma lakini bila haya Antony Blinken amekuwa akiyarudia kama kwamba anaozungumza nao ni misukule.

Hapo juzi mawaziri hao wakiongozwa na waziri wa mambo ya nje wa Saudia walimwambia suala la kuzungumzwa kwa sasa ni kusitishwa vita basi !

Wakaongeza kuwa na baada ya kusitishwa vita kinachotakiwa kujadiliwa ni kuundwa kwa taifa la Palestina kama ilivyo kwenye maazimio ya UN.
Waarabu wasipoamka kipindi hiki , hawatakaa waamke tena usingizini .wanatakiwa wajitegemee wao wenyewe kwa kuunda baadhi ya zana zao haya mambo sijui ya USA kuwapa uzi hii ndangany toto

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom