Waarabu wana mafanikio gani tangu waanze kufuzu Kombe la Dunia

Waarabu wana mafanikio gani tangu waanze kufuzu Kombe la Dunia

Rekodi za Nigeria, Ghana, Cameroon na Senegal zinaeleweka Kombe la Dunia huwa wanatufutia aibu.

Je, hawa Waarabu wanarekodi yoyote nzuri? Wakienda World Cup? Wameshawahi kuvuka hata makundi?

Kwa nini wamefanikiwa soka la Africa lakini wakivuka mpaka wa Bara wanakuwa kama timu za ndondo?
Algeria alitolewa na Germany extratime 2014 16 bora
 
Hii sio kweli, wajaluo hawana ukaribu wowote na waarabu wa Misri. Wakati waarabu wa Misri ni Semitic, wajaluo wao ni Nilotic asili yao ikiwa ni jimbo la Bahar El Ghazal ambayo leo iko kaskazini magharibi mwa South Sudan.
Wewe punguani unajua maana ya Nilo?
 
Wewe punguani unajua maana ya Nilo?
Unajua ukishazeeka unakuwa "Dotard" chance kubwa ni hiyo.

NILE:
"River in Africa, one of the world's oldest surviving place names, from a Semitic root nahal "river." Unnamed in Old Testament, it is always merely "the river" (Hebrew yeor)."

Hence: Prefix Nilo means pertaining to nile.
 
Unajua ukishazeeka unakuwa "Dotard" chance kubwa ni hiyo.

NILE:
"River in Africa, one of the world's oldest surviving place names, from a Semitic root nahal "river." Unnamed in Old Testament, it is always merely "the river" (Hebrew yeor)."

Hence: Prefix Nilo means pertaining to nile.
Exactly, sasa Wamisri are they pertaining to Nile or not? Wajaluo are they pertaining to Nile or not?

Ukijibu maswali hayo utakuwa ushaelewa nilichomaanisha. Labda uwe poyoyo wa makusudi tu.
 
Hili swali tamu kwa timu ya simba na kujipaisha kwao kimataifa
 
Attention: Fanya masahihisho hapo kwa Cameroon, walishiriki kombe la dunia mara ya kwanza mwaka 1982 na hawakuvuka hatua ya makundi lakini waliposhiriki kwa mara ya pili mwaka 1990 ndio wakafika robo fainali na kutolewa na England.

Umesema kweli kaka... upo sahihi 100%.. Nitarekebisha..
 
Exactly, sasa Wamisri are they pertaining to Nile or not? Wajaluo are they pertaining to Nile or not?

Ukijibu maswali hayo utakuwa ushaelewa nilichomaanisha. Labda uwe poyoyo wa makusudi tu.
In my context, I meant Nilotic as refers the classification of mankind, pigmentation and language rather than for the people whose origin is the geographical location of the river Nile.
 
JOHANNESBURG - Egypt coach Carlos Queiroz says his team "will defend with 16 players" when they protect a 1-0 lead over Senegal on Tuesday in the second leg of an African World Cup play-off.

"What I mean by 16 players is that each one must make the effort of two players, not just one player," said the Mozambique-born former Real Madrid manager and twice Manchester United assistant manager.

"We deservedly won the first leg against the best team in Africa and now we are going to Senegal to fight for every metre, every loose ball. Every Egyptian must double his efforts."

A play-off that pits Liverpool stars Mohamed Salah of Egypt and Sadio Mane of Senegal against each other is a repeat of the recent Africa Cup of Nations final, which Senegal won on penalties after a 0-0 draw.

Here, AFP Sport looks ahead to the second legs on Tuesday that will decide which five African teams go to the 2022 World Cup in Qatar.

SENEGAL VS EGYPT

Senegal coach Aliou Cisse says he does not want to see supporters wearing suits in the recently completed Stade du Senegal near Dakar when they confront Egypt.

"We need more fanaticism when it comes to supporting our national team, like they do in Egypt and other north African countries," he says.

"Those who wear suits to football matches must give their tickets to Senegalese supporters who wear football jerseys. We want to see only green, yellow and red (national flag colours) in the stands."

The outcome could hinge on Egypt snatching an 'away' goal - if they do Senegal will face the mammoth task of scoring at least three times to qualify.

NIGERIA VS GHANA
New Ghana coach Otto Addo is optimistic that the Black Stars can reach the World Cup despite being held 0-0 at home by Nigeria in the first leg.

"The pressure if off us and on them," he believes. "It was crucial that we did not conceded at home and any score draw in the return match takes us through.

"Our players recovered superbly from a terrible Cup of Nations campaign in January, matched Nigeria throughout the 90 minutes and created more scoring chances."

Star Nigeria forward Victor Osimhen admits the pressure is on the Super Eagles, saying "this match is about much more than football - the nation is relying on us to triumph".

ALGERIA VS CAMEROON

Cameroon coach Rigobert Song, who succeeded sacked Portuguese Toni Conceicao after the Cup of Nations hosts came third last month, says star forward Vincent Aboubakar should be fit to face Algeria.

The captain has been battling a heel problem and was taken off at half-time of the first leg in Douala, which Cameroon lost 1-0 with Islam Slimani nodding the match-winner off a late first-half free-kick.

"We are sure Vincent will be available," said Song, hoping the skipper, and fellow attackers Eric Maxim Choupo-Moting and Karl Toko Ekambi, can turn the tables.

It is a tall order as the match is set for Blida, 50 kilometres (30 miles) southwest of Algiers, and the Stade Mustapha Tchaker is called the "slaughterhouse" because Algeria regularly win handsomely there.

MOROCCO VS DR CONGO

"Egypt rely heavily on Salah, Senegal on Mane and Algeria on (Riyad) Mahrez," says Morocco coach Vahid Halilhodzic, "but Morocco rely on 11 players."

The Bosnian coach was walking a tightrope by refusing to choose Chelsea winger Hakim Ziyech and Ajax Amsterdam full-back Noussair Mazraoui after a quarter-finals exit from the recent Cup of Nations.

When Halilhodzic attended a recent Wydad Casablanca match, many in the crowd chanted support for Ziyech, who the coach considers a "disruptive influence".

But after a poor start in the Democratic Republic of Congo, where they conceded once and could have trailed by three goals, Morocco missed a penalty and then equalised to force a 1-1 draw.

TUNISIA VS MALI

Four crazy minutes in Bamako for Mali defender Moussa Sissako gave Tunisia a 1-0 first-leg lead and, with home advantage, the Carthage Eagles are expected to seal a sixth World Cup appearance.

Sissako conceded an own goal on 36 minutes and was then sent off for a last-defender foul on Seifeddine Jaziri, which automatically rules him out of the return match.

Tunisia coach Jalel Kadri refused to accept that his team are almost there, however, warning his team that "the return match will be even more difficult".

Mali captain and defender Hamari Traore, a first-leg absentee due to a suspension, says "our players had sweat-soaked jerseys trying to stage a comeback last Friday. We have the means and will to succeed."
Source : AFP
 
Watanzania katika ubora wetu, tunajadili in details ya wenzetu, je sisi tutafika huko lini?,Africon ya mwisho 1980 loooooo, Peter Tino,Juma Pondamali, T.Ally, M.Salim, etc etc no Jella Mtagwa (legend)hawa wa sasa chips na mayai, hii team ya 1980 walikua wanakula shima ya Unga wa ngano!
Kwahiyo ile timu iliyocheza Afcon 2019 kule misri ni nchi gani
 
Acha waarabu wafuzu kwanza kuna pisi Kali nyingi sana huko, nilitaman sana Ethiopia nao wafuzu ila ndio hivyo.
 
Nigeria ana Record sawa na Morocco na Algeria kwanini unahisi hao waarabu hawafanyi vizuri na Nigeria anafanya?

Hii ni ramani ya Africa kwa Nchi zilizocheza world cup

View attachment 2165043


Tier 1 nchi ambazo zimefika Robo
-Ghana
-Cameroon
-Senegal

Tier 2 Nchi ambazo zimefika Mtoano (round 16)
-Nigeria
-Algeria
-Morocco

Tier 3 aka wasindikizaji
-South Africa
-Egpty
-Tunisia
-Angola
-Togo
-Congo


Hivyo mkuu nilichojifunza hapo
1. Ni Nchi 4 tu za kiarabu ambazo hufuzu world cup kuna Nchi kibao za kiarabu haziendi kama Libya, Mauritania, Sudan, western sahara etc.
2. Kati ya Nchi 4 za Kiarabu mbili zimefanya vizuri.
3. Nchi nyingi za kiafrica haziendi world cup, wanaoenda ni wale wale kila mwaka.
Asamoah Gyan lile tuta lakuipeleka Ghana na Africa Nusu fainali World Cup likagonga mwamba wa juu na refarii akapuliza kipyenga kuashiria mechi imefika tamati, niliumia sana.
 
Asamoah Gyan lile tuta lakuipeleka Ghana na Africa Nusu fainali World Cup likagonga mwamba wa juu na refarii akapuliza kipyenga kuashiria mechi imefika tamati, niliumia sana.
Wote hata Cameroon na Senegal walitoka Kizembe, Cameroon nasikia tu, ila senegal walitolewa na Uturuki kizembe nao Goli la Extra time. Ilhan mansiz anafunga.
 
Asamoah Gyan lile tuta lakuipeleka Ghana na Africa Nusu fainali World Cup likagonga mwamba wa juu na refarii akapuliza kipyenga kuashiria mechi imefika tamati, niliumia sana.

Mimi nilifurahi sana ghana wametolewa.
 
In my context, I meant Nilotic as refers the classification of mankind, pigmentation and language rather than for the people whose origin is the geographical location of the river Nile.
Pigmentation doesn't matter where you are geographically, pigmentation is simply melanin (biologically). Look at Egyptian Pharaohs. For your information, even Jesus was Black.

What are you talking about? You seem to touch a little bit of everything all at the same time. That simply means you are simply bogus and you don't understand what you are talking abot. You are arguing foolishly.

You've touched, pigmentation, geography, classification, language, all in one sentence, nonsensical.

Nilo is simply Nilo in whatever way you want to put it.

Read me; You are simply an uneducated fool from an uneducated school. You can't hold a straight educated argument. Do not waste my precious time.


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
2014 magiants wa afrika, Algeria alifanya vizuri

Algeria na Germany, sema bahati haikua yao
Aisee ile mechi ilikuwa kali.. Wazungu wana pumzi sio mchezo, sijui kwa nini wana endurance kubwa vile wakati wao wanaishi kimayai kuliko weusi
 
Hakufanya vizuri alishinda mechi moja pekee dhidi ya wabovu korea kusini
Alifika hatua ya 16 bora akakutana na Ujerumani, walipelekeshana sana wakatoka sare 0-0 dk 90

baada ya dakika 120 akapoteza kwa 2-1
Ujerumani ndio alikuja kuchukua kombe
 
Back
Top Bottom