Waarabu wanatuharibia mpira wa Ulaya

Waarabu wanatuharibia mpira wa Ulaya

Mzee asernal Wenger alipoulizwa na watu wa China ,Mzee Sisi tufanyeje tuwe kama nyinyi huko ulaya?Mzee asernal Wenger alijibu kama hivi;Uingereza iliwachukua miaka 150 kufika pale walipo!

Sasa mtoa mada huko uarabuni unakosema bado sana ,kuna sababu zinazofika 30 kuweza kufika Ile Hali unayoona pale England.

Nikuulize swali mwarabu yupi anakubali kulala na ngozi nyeusi ili tupate watoto?Jibu angalia England ilivyo wao wataweza?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sio kirahisi hivyo
Daa hapo ulipoingiza mambo ya kulalana tena ndo nimekuona kumbe huna akili sasa vina uhusiano gani na mpira? Kama ni hivyo hata kule West Africa wanajua sana mpira na waafrika wenzetu mbona sisi hatujui?
 
Wachezaji au vipaji haviwezi kuisha kufanya Ulaya ikose wachezaji. Saudi Arabia wana ligi na mashandino yanayotambulika na FIFA kama wanatoa pesa na mchezaji wanayemsajili anaridhika basi wana haki kama ligi nyingine Duniani.

Wachezaji pia wanataka pesa. Familia au maisha ya mtu hayawezi kuendeshwa na sifa. Watu wanatengeneza pesa za kulisha vizazi hadi vizazi (generational wealth) sioni tatizo la wachezaji kuondoka Europe kwenda Saudi, US au China. Maamuzi yao ukitoa ushabiki yanaeleweka kabisa.
 
Ili uitwe uarabuni inabidi ukakipige kwanza ulaya ili uonekane !! Kwa hiyo ulaya ni stage ya kuoneshea umahiri !! Baadae mabosi wanakuchukua
Ila waarabu wana mawe aseee mtu hizo figure analipwa budget ya baadhi ya nchi 😂😂😂 niliwahi kuona interview moja ya LIL WAYNE anasimuliwa alivyozawadiwa Lamborghin na mshikaji mmoja !! Yaan ni kama ile tunavyomwambia mtu huku kibongo bongo "Chukua Pepsi kwa mangi nitalipia "
 
Mzee asernal Wenger alipoulizwa na watu wa China ,Mzee Sisi tufanyeje tuwe kama nyinyi huko ulaya?Mzee asernal Wenger alijibu kama hivi;Uingereza iliwachukua miaka 150 kufika pale walipo!

Sasa mtoa mada huko uarabuni unakosema bado sana ,kuna sababu zinazofika 30 kuweza kufika Ile Hali unayoona pale England.

Nikuulize swali mwarabu yupi anakubali kulala na ngozi nyeusi ili tupate watoto?Jibu angalia England ilivyo wao wataweza?🤣🤣🤣🤣sio kirahisi hivyo
Nenda Kigoma ,Tabora Shinyanga Pembe Unguja kote kuna damu za Waarabu
 
Daa hapo ulipoingiza mambo ya kulalana tena ndo nimekuona kumbe huna akili sasa vina uhusiano gani na mpira? Kama ni hivyo hata kule West Africa wanajua sana mpira na waafrika wenzetu mbona sisi hatujui?
Jamaa ameiweka sana kitaalamu. Baada ya football kuna muingiliano wa kimaisha lazima uwepo.

Haohao Saudi ilibidi wapindishe sheria ili Ronaldo aweze kuishi na mwanamke ambaye hawana ndoa.

Nchi kama England wamewapa nafasi watu weusi kuingia kwenye jamii yao ndiyo maana ni nchi iliyopiga hatua kisoka. Wanachukua talents zote kwenye timu ya taifa bila ubaguzi wa rangi.

Soka ni maisha, kukiwa na dosari yoyote kwenye ligi: uvunjifu wa haki za binadamu, ubaguzi wa rangi n.k. inapunguza nafasi ya wachezaji wengi kwenda huko.

Mfano kama Italy ingekuwa siyo ligi bora Europe wachezaji wengi weusi wasingeenda.

Ili Saudi wafike levels za ligi kama England kuna vitu watapaswa kufanya na hawataweza.
 
Ili uitwe uarabuni inabidi ukakipige kwanza ulaya ili uonekane !! Kwa hiyo ulaya ni stage ya kuoneshea umahiri !! Baadae mabosi wanakuchukua
Ila waarabu wana mawe aseee mtu hizo figure analipwa budget ya baadhi ya nchi [emoji23][emoji23][emoji23] niliwahi kuona interview moja ya LIL WAYNE anasimuliwa alivyozawadiwa Lamborghin na mshikaji mmoja !! Yaan ni kama ile tunavyomwambia mtu huku kibongo bongo "Chukua Pepsi kwa mangi nitalipia "
Aliempa alikuwa MBS jamaa alinmkera sana MBS jamaa akamuonesha jeuri ya pesa

Akamuulizs chagua kati Lamborghini au Ferrari Wayne akachagua Lambo.

Akamesmbia ya rangi Gani Wayne akasema nyeusi.

Jamaa akamwambia wiki 3 toka Sasa itakuwa mlangoni kwako.

Lamborghini zinatengezwa kwa order kumbuka.
 
Ili uitwe uarabuni inabidi ukakipige kwanza ulaya ili uonekane !! Kwa hiyo ulaya ni stage ya kuoneshea umahiri !! Baadae mabosi wanakuchukua
Ila waarabu wana mawe aseee mtu hizo figure analipwa budget ya baadhi ya nchi [emoji23][emoji23][emoji23] niliwahi kuona interview moja ya LIL WAYNE anasimuliwa alivyozawadiwa Lamborghin na mshikaji mmoja !! Yaan ni kama ile tunavyomwambia mtu huku kibongo bongo "Chukua Pepsi kwa mangi nitalipia "
[emoji1][emoji1]umenikumbusha wizkid nae aliendaga kufanya private party ilikua birthday ya mtoto wa don, dogo anamkubali sana wizkid akamwambie babaake nataka wizkid aje kuperform kwenye birthday yangu , wizkid mwenyew anasema ni kati ya show ambazo amelilipwa pesa nyingi tangu aanze mziki
 
Ruben Neves katika umri wa miaka 26 huku Barcelona wakiwa wanamuhitaji amechagua kwenda zake Uarabuni.

Huko Chelsea lundo la wachezaji wako mbioni kuelekea Uarabuni. Alianza Ngolo Kante, na sasa Koulibaly na golikipa Mendy muda wowote wataelekea Uarabuni.

Waarabu wamedhamiria kweli nina mashaka baada ya misimu michache wachezaji wengi wa daraja la juu watakuwa wanacheza huko uarabuni
Kwamba wakiondoka inakuwa sio fursa kwa vipaji vipya kuchomoza na kustawi? Au wanaojua mpira siku zote ni hao akina Ngolo?
 
Mzee asernal Wenger alipoulizwa na watu wa China ,Mzee Sisi tufanyeje tuwe kama nyinyi huko ulaya?Mzee asernal Wenger alijibu kama hivi;Uingereza iliwachukua miaka 150 kufika pale walipo!

Sasa mtoa mada huko uarabuni unakosema bado sana ,kuna sababu zinazofika 30 kuweza kufika Ile Hali unayoona pale England.

Nikuulize swali mwarabu yupi anakubali kulala na ngozi nyeusi ili tupate watoto?Jibu angalia England ilivyo wao wataweza?🤣🤣🤣🤣sio kirahisi hivyo
Unwaza ngono tu
 
Mzee asernal Wenger alipoulizwa na watu wa China ,Mzee Sisi tufanyeje tuwe kama nyinyi huko ulaya?Mzee asernal Wenger alijibu kama hivi;Uingereza iliwachukua miaka 150 kufika pale walipo!

Sasa mtoa mada huko uarabuni unakosema bado sana ,kuna sababu zinazofika 30 kuweza kufika Ile Hali unayoona pale England.

Nikuulize swali mwarabu yupi anakubali kulala na ngozi nyeusi ili tupate watoto?Jibu angalia England ilivyo wao wataweza?🤣🤣🤣🤣sio kirahisi hivyo
Kufika kimpira au kijamii?
 
[emoji1][emoji1]umenikumbusha wizkid nae aliendaga kufanya private party ilikua birthday ya mtoto wa don, dogo anamkubali sana wizkid akamwambie babaake nataka wizkid aje kuperform kwenye birthday yangu , wizkid mwenyew anasema ni kati ya show ambazo amelilipwa pesa nyingi tangu aanze mziki
Kuna watu pesa kwao sio tatizo , ana shida tu nyingine za kuwaonea huruma watu !
 
Aliempa alikuwa MBS jamaa alinmkera sana MBS jamaa akamuonesha jeuri ya pesa

Akamuulizs chagua kati Lamborghini au Ferrari Wayne akachagua Lambo.

Akamesmbia ya rangi Gani Wayne akasema nyeusi.

Jamaa akamwambia wiki 3 toka Sasa itakuwa mlangoni kwako.

Lamborghini zinatengezwa kwa order kumbuka.
Hivi hapa kwa Nyerere hawa wadosi wa hivi wapo ?
 
Hivi hapa kwa Nyerere hawa wadosi wa hivi wapo ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]utawaona wapi.

Hapa raia Wana ROHO MBAYA kupitiliza.

Akupe Lamborghini kizembe labda ukubali utolewe kafara.

Huku watu wanawaza magendo na kuuza nyara na rasimali za Taifa ndio akili zao zimegomea hapo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]utawaona wapi.

Hapa raia Wana ROHO MBAYA kupitiliza.

Akupe Lamborghini kizembe labda ukubali utolewe kafara.

Huku watu wanawaza magendo na kuuza nyara na rasimali za Taifa ndio akili zao zimegomea hapo
Wanajimwambafy kwenye kununua vinywaji na ticket za soka mkuu
 
Wachina nao walianza hivyo,
Sahv upepo umekata[emoji4]
 
Jamaa ameiweka sana kitaalamu. Baada ya football kuna muingiliano wa kimaisha lazima uwepo.

Haohao Saudi ilibidi wapindishe sheria ili Ronaldo aweze kuishi na mwanamke ambaye hawana ndoa.

Nchi kama England wamewapa nafasi watu weusi kuingia kwenye jamii yao ndiyo maana ni nchi iliyopiga hatua kisoka. Wanachukua talents zote kwenye timu ya taifa bila ubaguzi wa rangi.

Soka ni maisha, kukiwa na dosari yoyote kwenye ligi: uvunjifu wa haki za binadamu, ubaguzi wa rangi n.k. inapunguza nafasi ya wachezaji wengi kwenda huko.

Mfano kama Italy ingekuwa siyo ligi bora Europe wachezaji wengi weusi wasingeenda.

Ili Saudi wafike levels za ligi kama England kuna vitu watapaswa kufanya na hawataweza.
Mbona ligi na timu ya taifa ya Saudi imejaa watu weusi acha kukalili.

Kwanza nawashangaaga nyinyi mnao sema waarabu wanawadharau watu weusi hali ya kuwa waarabu ndo jamii pekee ya watu weupe wenye muingiliano mkubwa wa kimahusiano na watu weusi kuliko jamii nyingine.
 
Ndio watu wajue Cristiano Ronaldo ni nyota wa dunia kwenye mpira tAngu ahamie uarabuni wachezaji kibao wanaenda saudi arabia benzema,kante, Edouard mendy
 
Back
Top Bottom