Waarabuni wa Dubai waomba zabuni ya kuendesha Mabasi ya Mwendokasi

Waarabuni wa Dubai waomba zabuni ya kuendesha Mabasi ya Mwendokasi

Salaam Wakuu,

Baada ya Waziri wa Tamisemi kuagiza DART itafute muekezaji binafsi wa kuendesha Mabasi ya Mwendokasi, sasa mambo yamekuwa moto.

Hadi sasa Makampuni 30 yameomba kuendesha Mabasi hayo.

MY TAKE

Nani wa kitoboa mbele ya Mwaarabu?

=====

Dar es Salaam. Two Tanzanian companies are among 30 others that are competing to operate the Bus Rapid Transit (BRT) in a global tender to procure commuter buses in Dar es Salaam.

The government is looking for private investors to partner with and improve efficiency in the BRT.

Last week, the minister of State in the President’s Office - Regional Administration and Local Governments (PO-RALG), Mr Mohamed Mchengerwa, urged Dar es Salaam Rapid Transit Agency (Dart) to find a private investor by October 2024 to offer bus services and maintain efficiency.

Dart’s chief executive officer Athumani Kihamia told The Citizen that two Tanzanian firms were competing for the tender but said it’s too early to mention the names of the companies.

“It is not appropriate to name a corporation at this time because the tender to find a service provider is international. There are currently two businesses from the United Arab Emirates, one each from Asia and the United Kingdom, and numerous others from Africa,” he said.

“The procurement process is currently going on very well; once we get a qualified service provider and make an agreement, we will announce the company as soon as possible and make it public,” he said.

Mr Kihamia insisted that currently there is no company that has won or been awarded the tender so far, adding that Dart is a procurement entity that is handling the procurement process.

According to him, it is a procedure to get a service provider, because the procurement process involves various institutions such as the Ministry of Finance, the Attorney General’s Office, Public Procurement Regulatory Authority (PPRA) and the PO-RALG.

Kwa kukosa maono, fikra zenye ukungu, na mawazo Mando, hututachelewa kusikia serikali hii ya CCM Ikitoa zabuni ili kutafuta muekezaji binafsi wa Kiarabu ili kuweza kuiendesha Ikulu kwa ufanisi.
 
Hivi hii Serikali yetu inaweza kufanya kitu gani hasa?
Hilo moja, swali la pili ni kuwa hivi nyumbu mnaweza kufanya kitu gani zaidi ya kumuabudu mbowe na kumuongezea uenyekiti tu kila muda wake unapoisha?!!
 
Mwarabu apewe ru hiyo tenda, makampuni ya Tanzania hawawezi watatusumbua tu. Inahitajika umakini wa hali ya juu na uwekezaji wa mabasi mengi
 
Wawekezaji wanatulipa kwa dola kulipa hiyo mikopo tuliyokopa kwa dola

Daladala ukiwapa kuendesha wana uwezo wa kuilipa serikali kwa dola ili hiyo mikopo ya dola ilipike ?
Na watumiaji watalipa nauli kwa dola ili hao wawekezaji waweze kuzipata za kuilipa serikali siyo? Chawa wa hovyo wewe!
 
Hilo moja, swali la pili ni kuwa hivi nyumbu mnaweza kufanya kitu gani zaidi ya kumuabudu mbowe na kumuongezea uenyekiti tu kila muda wake unapoisha?!!
Ulitaka wakuabudu wewe kwa lipi? Ona sasa nawe umemwabudu Mbowe hapo. Tofauti yako na wao ni ipi?
 
Hujui kitu kama kimya. Mashirika yote Marekani yanaendeshwa na makampuni au sector binafsi. Hili ni swala la kitaalamu siyo kwamba Serikali haiwezi kuendesha hapana ila ni swala la multiplier effect tu
umejifikilia kweli?
 
"Waomba"????????
 

Attachments

  • IMG-20240327-WA0007.jpg
    IMG-20240327-WA0007.jpg
    135.6 KB · Views: 2
Hujui kitu kama kimya. Mashirika yote Marekani yanaendeshwa na makampuni au sector binafsi. Hili ni swala la kitaalamu siyo kwamba Serikali haiwezi kuendesha hapana ila ni swala la multiplier effect tu
Nafikiri wewe ndio wakukaa kimya, huwezi kuilinganisha Tanzania na US kwa kitu chochote kile, kiwe kibaya au kizuri.
 
Wawekezaji wanatulipa kwa dola kulipa hiyo mikopo tuliyokopa kwa dola

Daladala ukiwapa kuendesha wana uwezo wa kuilipa serikali kwa dola ili hiyo mikopo ya dola ilipike ?
Wewe unazalisha nini kinachouzwa nje? Ili upate hizo foreign currency 💲 .. hizo pesa za kununua magari zinapitia bank kuu? Uwezo mdogo wa kufikiri kwa hiyo inawapa foreigner kwa sababu ya dollar ..? Njoo na sababu nyingine ila sio sababu ya dollar ..
 
Hivi hii Serikali yetu inaweza kufanya kitu gani hasa?
... rafiki yangu Erythrocyte, hebu wakati mwingine tuweke siasa pembeni tuangalie na 'nature' ya hao wanaokabidhiwa majukumu ya kuendesha biashara za serikali KAMA WAAJIRIWA!
Wabongo wamefilisi Viwanda na Mashirika ya Umma kibao, vikiwemo vyama vya ushirika, ... na adui mkubwa tunamfahamu wote kuwa ni udokozi wa mali ya umma! ... kipuli cha laki moja si Ajabu watu hawa wakaandika wametumia million mbili na bado wakuletee kipuri fake kifanye kazi siku mbili kinunuliwe kingine!
... UBINAFSISHAJI, hata kama hauleti faida, unaleta uhakika wa huduma na kuzuia Hasara kubwakubwa!
 
Back
Top Bottom