Waarabuni wa Dubai waomba zabuni ya kuendesha Mabasi ya Mwendokasi

Waarabuni wa Dubai waomba zabuni ya kuendesha Mabasi ya Mwendokasi

Hujui kitu kama kimya. Mashirika yote Marekani yanaendeshwa na makampuni au sector binafsi. Hili ni swala la kitaalamu siyo kwamba Serikali haiwezi kuendesha hapana ila ni swala la multiplier effect tu
CCM inazidi kudidimiza nchi ka sababu ya ''ubongo kisoda'' kama wewe. Ameuliza: hii serikali inaweza kufanya nini? Wewe unamletea habari za Marekani. Pumbavu kabisa. Haya Marekani wamesharusha rocket mpaka mwezini! Mbona sisi hatujarusha?
 
Ndio wakati wa mabadiliko tunausubiria
Weeee! Sijui; kwani waTz wakisha pewa kanga/vitenge na Kapero na ss wa huku vikijini tukinunuliwa makopo ya komoni na mchele tunapotezaga akili - hatuangalii tena mbele. Utaskia Mpeeeeee, na Apiteeeeee!
Kumbe akienda huko ni itapita miaka m3 hatumuoni tena na hoja zetu wala hazifikishwi kunakostahili ila kwenye runinga tatamwona akipiga usingizi wakati wa kuchangia hoja.
Sasa mtu kama huyo atajulia wapi habari za Mwarabu wa Dubai?Sana sana ataomba kufanyike ziara kwenda kuona Dubai
 
Watu mnasema mbona US na UK ,private sector zinaendesha uchumi.Okay je terms za mikataba yao na ya kwetu zinafanana?

Hamna anaye kataa wawekezaji ila kama taifa lina experience mbaya sana ya kupigwa kupitia mikataba.
 
Mimi napenda kuona kuna waTanzania wana pata fursa hiyo na kumudu. Vinginevyo, tujiulize ni hadi lini tutamudu mirador kama hiyo? Je, sisi tuliumbwa kuwa wachiuuzi tu?
 
Watu mnasema mbona US na UK ,private sector zinaendesha uchumi.Okay je terms za mikataba yao na ya kwetu zinafanana?

Hamna anaye kataa wawekezaji ila kama taifa lina experience mbaya sana ya kupigwa kupitia mikataba.
Broo; Tulijipiga ss wenyewe wala tusiwalaumu wawekezaji.
 
Hujui kitu kama kimya. Mashirika yote Marekani yanaendeshwa na makampuni au sector binafsi. Hili ni swala la kitaalamu siyo kwamba Serikali haiwezi kuendesha hapana ila ni swala la multiplier effect tu
Hata Marekani kuna makampuni yanayoendeshwa na serikali kwa Amtrak, ambalo linahusika na usafiri kwa njia ya reli
 
Si wampe hata mzawa basi.Aibu ya ccm kubinafsisha Kila kitu
Mhhh. Yan mkuu unatoa ushauri huo? Tutafika kweli? Eti mtu apewe simply kwa sababu ni Mzawa. Ukishaingiza humo habari za vyama vya siasa ujue 100% umeshafeli. 😳
 
Siyo kuuza ni kubinafsisha. Nchi zenye akili mashirika yote ya uma yanaendeshwa thru PPP ili kutengeneza matajairi zaidi na kukuza ajira na ufanisi. Shirika la ndege la marekani halieneshwi na serikali. Ukiona serikali inaendesha kila kitu basi watu wake ni maskini wa kutupwa kama ilivyokuwa kwa jpm ambapo kwa mara ya kwanza vyuma vilikaza kila kona
Hadi leo vyuma vimekaza
 
Hujui kitu kama kimya. Mashirika yote Marekani yanaendeshwa na makampuni au sector binafsi. Hili ni swala la kitaalamu siyo kwamba Serikali haiwezi kuendesha hapana ila ni swala la multiplier effect tu
Ulipoandika 'swala' ndo nikakuona malajaja
 
Sasa,kuliko kufanya hivo,si bora aajiliwe Manager wa BRT kutoka nchi wanayoitaka,kuliko kuibinafsisha!
Wangetafuta foreigner aongez
Watu mnasema mbona US na UK ,private sector zinaendesha uchumi.Okay je terms za mikataba yao na ya kwetu zinafanana?

Hamna anaye kataa wawekezaji ila kama taifa lina experience mbaya sana ya kupigwa kupitia mikataba.
umenena vema ni miaka 26 tokea mkapa aifungue nchi kwa kuleta waekezaji tuwe wa kweli hakuna cha maana walichofanya
 
Back
Top Bottom