Waasi wa M23 Wamedhibiti mji wa Bunagana uliopo Mpakani mwa DRC na Rwanda

Waasi wa M23 Wamedhibiti mji wa Bunagana uliopo Mpakani mwa DRC na Rwanda

Huo sio unafiki, sheria zao zinawataka ufanye disclosure ya mteja wa silaha unayemuuzia na wanajadiliana kama anastahili kuuziwa. Ndio maana deals nyingine wanakataa, Kenya ilikataliwa kununua helikopta kipindi cha Obama ila Trump akakubali baada ya sababu ya kupambana na Al Shabaab kuonekana nzito.

Na kila anayeenda kununua anajua kwamba atatajwa, vigezo na masharti kuzingatiwa kama hutaki nunua uko mafichoni. Alafu unadhani ukijua nchi fulani inamiliki silaha fulani ndio guarantee ya kushinda vita. Vita mnaanza mkijua almost silaha zote za adui ila kama mlikuwa wa kupigwa mtapigwa tu. Na kama huna uchumi hata ukijua Saudi Arabia kanunua silaha za $30 billion utatoa wapi hela kununua kama yeye
Kumbe unajua kuwa siraha za kisasa sio ishu Sana kwenye war, japo zinamsaada wake pia.
Unanikumbusa Vietnam war marekani walivyokuwa wanapitisha ndege zao za kivita angani hata kuhesabu unashidwa ila kiliwapata nn, waliondoka wenyewe.
 
T14 Armata

Mkuu Dunia mzima inajua kuwa technology inabadilika Sana na hata majeshi yote dunia hata la hapa kwetu wanajua Hilo kuwa hizi siraha zimepita na wakati tunahitaji zingine , wanajua Sana so Hakuna jeshi dunia lililokaa tuu na mabadiliko haya na dunia ya Sasa .
 
Kama ningekuwa Rais wa Tanzania basi bila kuchelewa ningeingia makubaliano na DRC hasa ya kibiashara, ikumbukwe DRC wanatumia Bandari yetu kwa kiasi kikubwa, hivyo kukosa amani maeneo hayo ni kutingisha uchumi wetu.

Ningepeleka kikosi si cha kulinda amani bali kuzichapa mazima na hao M23.

Wakati mwingine nchi huingilia nchi nyingine kwa maslahi mapana.

Rwanda hata awe vizuri vipi hawaiwezi Tanzania kwa kila kitu.

Ningeingia mazima kuwaondoa M23 afu mnakubaliana kwenye usafirishaji wa madini na bidhaa muhimu zipitie TZ
 
Inategemea siraha unanunua kwa Nani , kama unanunua kwa mshirika wako sio rahisi kukutobolea Siri, ukinunua kwenye makampuni ya USA wanaweka kwenye matangazo yao kwamba wateja wamekuja wamenunua hiki na hiki. Wazungu Ni wanafiki, na ndivyo wanavyowafanyia wa Saudi Arabia.
hahahaaaa mikataba bro , ukiona mtu katangazwa ujue kaingia makubaliano
 
M23 wanapigania haki gani? Kwamba Rwanda inawafadhili kwa kuwa wanaonewa sana nchini Congo
hao ni wakongo wanapigania haki zao kama wakongo , fuatilia acha kumezeshwa hz propaganda za kuwa wanapigania serikali ya Rwanda ( inaeza kuwa kweli ila tukimaliza primary cause then hiyo secondary cause hawatokuwa nayo )
 
Soma vizuri sijasema Tanzania tu SU-30 wala MIG -35 nenda kasome vizuri, nimesema ipo
MIG -29.
Mkuu hakuna nchi itakayo kuuzia siraha ambayo wao wanaiamini Sana kuwa Ni mzuri Sana kwa upande wao. Jua Hilo kwanza.
Mmarekani hata uwe msirika na wewe kivipi hawezi kufanya hivyo hata siku Mona , siraha zinazouzwa na USA hata na wengine Ni zile ambazo ambazo wao wameziweka kwa ajili ya biashara.
Kwanza Hakuna nchi inayoonyesha full strength yake ya jeshi lipoje hapa dunia Hakuna hio mkuu ,
Ni kweli Kenya ndo nchi inayongoza kujiami east na central Africa . Kuwekeza kwenye jeshi Sana sio kwamba ndo unauwezo Sana wa mapambano.
Hingekuwa hivyo USA ingekuwa Ni nchi inayoogopwa Sana hapa dunia mkuu. Na matifa yote hapa dunia na kwa tabia ya USA wangekuwa wanavamia tu kila nchi.
USA kuna kipindi badget yao inasemekana inafika mapka $800billion. Ila licha ya kuwa hivyo hawana ujeuli wa kutunisha kifua nchi zote hapa dunia. Na Mara nyingi uwezi just budget ya kweli ya jeshi nchi husika.
Na ishu ya Uganda , na ndo maana nimekuambia siraha unategemea umenunu kwa Nani mkuu.
Mrusi alikuwa anasuppy S-300 kwa Iran na hata North Korea pia, ila kwa iran kasitisha na North Korea Bado anaenedelea.
Mkuu pia kuhusu swala la jeshi nikupe mfano. Vita vya Iraq sadam hussen alikuwa anamiliki kifaa Cha urusi Cha radar na air defence system ya mwaka 1979. Na ndivyo hivyo alivyotumi kwenye Vita, na ilikuwa na uwezo wa kuangusha ndege za USA za kisasa kwa kipindi. Na ndo maana nilkuwambia kila nchi wanatechonlogy yake.
Mkuu Tanzania hiyo Mig-29 haipo. Hakuna nchi inanunua ndege mbili au tatu zikiwa fighters, labda ziwe maritime patrol, EW, CIWS au transport. Ukinunua ndege chache gharama za servicing ni kubwa mno haileti maana, na kufungua support facilities ni vigumu.

Saddam kuangusha ndege za Marekani vitani sio ajabu, hakuna ndege Marekani inatengeneza ikisema haitowahi kudondoshwa dunia hii. Mbona hujasema B-52 ambazo zimeundwa mwanzoni mwa miaka ya 1950 ila bado zilishiriki kudondosha mabomu Iraq na bado ziko kazini hadi 2030s uko. Na pia kalinganishe ndege ngapi za Marekani zilikuwa shotdown na za Iraq uone tofauti kubwa. Wewe unataka vita iwe ya upande mmoja kwamba mmoja anapigwa na mwingine ni immortal
 
hao ni wakongo wanapigania haki zao kama wakongo , fuatilia acha kumezeshwa hz propaganda za kuwa wanapigania serikali ya Rwanda ( inaeza kuwa kweli ila tukimaliza primary cause then hiyo secondary cause hawatokuwa nayo )
Narudia tena, haki gani wanazopigania?
Huhitaji kuwa baridi moto kuitetea Rwanda kwenye hili, Rais wa Congo sio mwehu kwamba aanze tu kuishutumu Rwanda.

Huyu Rais ameingia juzi tu lakini kuna Reports za UN zinazothibitisha uhusika wa Rwanda kwenye wizi wa rasilimali za Congo, anza na ya 2002 inayoonesha namna jeshi la Rwanda(RPA) linavyoiba madini ya Congo, pia kuna report ya 2012 ya Baraza la Usalama imeelezea kwa kina wakiambanisha na ushahidi juu ya uhusika wa Rwanda sio tu kwenye ufadhili wa hili kundi (M23)ila pia hata kwenye uanzishwaji wake na kuna Report nyingine ya mwaka jana(2021).

Unaweza kusema hizo Reports za UN ni propaganda za mabeberu, nieleweshe hili tukio la Laurent Nkunda kushikiliwa Rwanda, Unaona ni tukio la kawaida?
 
Narudia tena, haki gani wanazopigania?
Huhitaji kuwa baridi moto kuitetea Rwanda kwenye hili, Rais wa Congo sio mwehu kwamba aanze tu kuishutumu Rwanda.

Huyu Rais ameingia juzi tu lakini kuna Reports za UN zinazothibitisha uhusika wa Rwanda kwenye wizi wa rasilimali za Congo, anza na ya 2002 inayoonesha namna jeshi la Rwanda(RPA) linavyoiba madini ya Congo, pia kuna report ya 2012 ya Baraza la Usalama imeelezea kwa kina wakiambanisha na ushahidi juu ya uhusika wa Rwanda sio tu kwenye ufadhili wa hili kundi (M23)ila pia hata kwenye uanzishwaji wake na kuna Report nyingine ya mwaka jana(2021).

Unaweza kusema hizo Reports za UN ni propaganda za mabeberu, nieleweshe hili tukio la Laurent Nkunda kushikiliwa Rwanda, Unaona ni tukio ni kawaida?

Hakuna vita isiyokuwa na maslahi ya upande mmoja
Kagame amevuna sana Congo na bado wanamchekea Yaani hao wakongo 95m wameshindwa kuungana wakatetea ardhi yao
Lakini mwizi mkubwa hapo ni Mfaransa huyu hata Algeria wamemshindwa ni jambazi linalotumia njia nyingi kwa kuwafadhili waasi na hata wenyewe kwa wenyewe

France hakuanza leo kuiibia africa na raslimali zetu
 
Robert Mugabe, Jacob Zuma, Dosantos na Kikwete ndio walikuwa na uwezo wa kudhiti ujeuri na ajenda za siri za uogozi na jeshi la Rwanda kuhusu Jimbo la Kivu lote - Haya ya M23 ni maigizo tu i.e wanatumiwa kama chambo cha kujenga hoja kutaka Kivu ijitenge na kujiunga na Rwanda yanayo endelea Ukraine ndio yatakuja kujitokeza huko Congo kati ya jeshi ła Congo DRC na wanao
jitambulisha kama M23 a.k.a RPF - ushauri wangu: Viongozi wa SADC, Afrika kusini na Angola waionye Rwanda kwamba ikijaribu kuivamia na kukalia jimbo la Kivu kwa kisigizio chochote kile, basi majeshi yote ya nchi tajwa yataungana na kusäidia Congo DRC dhidi ya uvamizi wa kutaka kuimega Jimbo la Kivu.
Great ..na ndivyo inakuja kuwa
 
Hakuna vita isiyokuwa na maslahi ya upande mmoja
Kagame amevuna sana Congo na bado wanamchekea Yaani hao wakongo 95m wameshindwa kuungana wakatetea ardhi yao
Lakini mwizi mkubwa hapo ni Mfaransa huyu hata Algeria wamemshindwa ni jambazi linalotumia njia nyingi kwa kuwafadhili waasi na hata wenyewe kwa wenyewe

France hakuanza leo kuiibia africa na raslimali zetu
Wafaransa ni tatizo, hawa wamegoma kabisa kuyaacha makoloni yao yawe na uhuru wa kweli.
 
Hakuna vita isiyokuwa na maslahi ya upande mmoja
Kagame amevuna sana Congo na bado wanamchekea Yaani hao wakongo 95m wameshindwa kuungana wakatetea ardhi yao
Lakini mwizi mkubwa hapo ni Mfaransa huyu hata Algeria wamemshindwa ni jambazi linalotumia njia nyingi kwa kuwafadhili waasi na hata wenyewe kwa wenyewe

France hakuanza leo kuiibia africa na raslimali zetu
Sasa hizo rasimali Kama zinaweza kuifaidisha Rwanda zinashindwaje kuifanya Congo ikawa tajiri?
 
Mkuu Tanzania hiyo Mig-29 haipo. Hakuna nchi inanunua ndege mbili au tatu zikiwa fighters, labda ziwe maritime patrol, EW, CIWS au transport. Ukinunua ndege chache gharama za servicing ni kubwa mno haileti maana, na kufungua support facilities ni vigumu.

Saddam kuangusha ndege za Marekani vitani sio ajabu, hakuna ndege Marekani inatengeneza ikisema haitowahi kudondoshwa dunia hii. Mbona hujasema B-52 ambazo zimeundwa mwanzoni mwa miaka ya 1950 ila bado zilishiriki kudondosha mabomu Iraq na bado ziko kazini hadi 2030s uko. Na pia kalinganishe ndege ngapi za Marekani zilikuwa shotdown na za Iraq uone tofauti kubwa. Wewe unataka vita iwe ya upande mmoja kwamba mmoja anapigwa na mwingine ni immortal
Naona huyu yupo JF kupoteza muda kwa kubisha bisha..hajui hata anachozungumza..mpuuze..ukisoma hoja zake utajua anatakiwa akasome kwanza
 
Cha kusikitisha

UN wako kimya,
EU wako kimya,
NATO wako kimya[emoji848]
Ukraine wako kimya[emoji848]
USA wako kimya[emoji848]
UK wako kimya[emoji848]
Na Urusi pia kimyaaaa. Yani Kagame anaogopwa.
 
Sasa hizo rasimali Kama zinaweza kuifaidisha Rwanda zinashindwaje kuifanya Congo ikawa tajiri?

Mkuu Ndio maana unaona machafuko hayaishi
Wanachonganishwa na France yuko nyuma mali zinaenda Paris Mkuu

Siku wakijielewa wataungana na kuzuia mali zao ili ziwafaidishe na wao
Dunia hii
Magogo yanamalizwa kwenda Ulaya na sasa China
Angalia YouTube wanavyosomba mali

Hawa France hawajui mwisho wao wamejimilikisha tangu 1800 nchi nyingi na mpaka leo wanavuna taratibu

Hawawezi kuifanya Congo tajiri kwa sababu ya ujinga wao na kukubali kuchonganishwa
 
Back
Top Bottom